Akipelekwa mahakamani msilalamike kuwa anaonewaWw nani uliemuonea huruma? Nyinyi ndio mliokua mkipiga kelele asitoke, lugha za ukakasi ndio zinakunyima usingizi? Kama kavunja sheria peleka mashtaka mahakamani sio kutupigia kelele humu
Sasa ww ulitakajeHuyo mama anayesema atamnyoa angeweza kukazia kwamba yale madawa aliyobambikiziwa ni yake na angeenda jela maisha kelele zingepigwa kisha zingesahaulika na maisha yangeendelea bila yeye
Dogo akiendelea asijekulialia tena atapotezwa vilevile na hakuna kitu Chadema watafanya.Hajifunzi huyu dogo mbona mama hatuna shida naye atapoteza relevance yake.
Kuheshimu watu waliomzidi umri.Adabu gani uliokua ukitaka awe nayo
Infact alionewa[emoji16][emoji16]mama hakujua huyu jamaa hana adabu,akadhani alionewa.
jeuri mama kashaileta, awaulize wenzie kuhusu Katiba Mpya.Ushaambiwa akileta jeuri
Asipoleta jeuri jamaa hatomnyoa[emoji1]
Mdude kazidi ujinga aisee, hata jinsi alivokuwa ana mshambulia jiwe ni kwamba kakosa adabu kwa wakubwa wake.Ushaambiwa akileta jeuri
Asipoleta jeuri jamaa hatomnyoa[emoji1]
Wapuuzi sio waliomuweka mwaka mzima gerezani, ni yeye ambaye hakutambua anawaingiza vidole machoni watu wenye uwezo wa kumfanya vyoyote.Infact alionewa
Tafuteni sababu zenye mashiko kumfunga sio kumbambikizia madawa ya kulevya na uhujumu uchumi
Inawafanya nyie muonekane wapuuzi
Kazi mmezoea kuishi kinafki tuAkipelekwa mahakamani msilalamike kuwa anaonewa
Dogo hajifunzi huyu aiseehuyo mama anayesema atamnyoa angeweza kukazia kwamba yale madawa aliyobambikiziwa ni yake na angeenda jela maisha kelele zingepigwa kisha zingesahaulika na maisha yangeendelea bila yeye
mnafiki ni wewe unayempa kichwa mtu anayeropoka.Kazi mmezoea kuishi kinafki tu
Ajifunnze kuwa na limit na adabu aisee Ben saanane alikujaga kupotea na alikuwa mstaarabu sana tu.Dogo akiendelea asijekulialia tena atapotezwa vilevile na hakuna kitu chadema watafanya
Hata mandela angekuwa muoga kama wewe S.A isingepata uhuru watu kama mdude wasipokuwepo CCM itatawala milele daima na kufanya ujinga wa kila ainaSasa hivi wakimkamata wamfunge maisha kijana Hana busara huyu hafu eti husoma na biblia kabisa. Mdude ajifunnze na aache ujinga Tena amshukuru mama ingekuwa jiwe angeozea jela
Sasa hivi wamfunge Moja kwa mojakuheshimu watu waliomzidi umri.
anadhani ushahidi ndio umemwachia huru[emoji16][emoji16].