Rare Sapphire
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 590
- 1,648
Siku hiyo utoke frontAsante Mdude
Mungu awabariki
Huyo mdude kammiss basha wake jela arudishwe harakaMdude ametoa tamko hilo rasmi katika mkutano unaoendelea wakati huu tarehe 5/9/2023 na kusema wakati wanasubiri hizo siku 30 wanaenda kwenye mikutano ya hadhara kuwaandaa Watanzania kufanya maandamanao nchi nzima.
Maandamano yatakayokuwa ya mfano, yatakoandikwa kwenye historia, maandamano ambayo yatashirikisha watu wa vyama vyote na dini zote nchi nzima.
Hata mimi nitatoka.Siku hiyo utoke front
Sio ujifungie ndani na mkeo.
Tusije tukawa peke yetu tu! watu 8 Kama siku ile postaHata mimi nitatoka.