Killing machine
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 2,052
- 2,995
Karibu bongo nchi yenye wana harakati wa kisiasa wasio na uwezo wa kumiliki hata kifaru kimoja🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna sisimizi yeyote kati ya hawa Mdude, Slaa au Mwabukusi ambaye anaweza kuanzisha maandamano.
Nikuulize ndugu mfia CCM... Kwann mnaogopa watu wakiandamana? Kwan mkiweka ulinz raia waandamane ni kosa kisheria? Nn hasa mnaogopa?Hakuna sisimizi yeyote kati ya hawa Mdude, Slaa au Mwabukusi ambaye anaweza kuanzisha maandamano.
Watu wako na mishe zao za kutafuta fedha, waache waje waunge hawa malaya wa kisiasa. !! Nani anamuamini Slaa sasa hivi? Mtu ambaye kakataliwa mpaka na familia yake na chama chake.
Utajua wakati ukifika.Hayo maandamano ya kwenye cm au?
Stupd, Rais ni zaidi ya baba yako? wewe una akili mavi kabisaNi katiba tu ndio yenye mamlaka ya kumpa Rais ' ultimatum ' na sio kila mtu. Alichosema Mdude ni mojawapo wa vituko vya mtu mweusi
Kwani Mdude ni mwanaume? Au kwa vile amevaa suruali? Huyo alishaolewa akiwa jela na manyampala kipindi cha Mwendazake na ndiyo yamemharibu akili!!Hii nchi inaenda kutoka mikononi mwa wajinga wa sampuli yako, wale waliokata tamaa, wasiojiweza kwa lolote, ila wana midomo mirefu tu ya kupuuza movement za wengine.
Wanaume wakiwa wanazungumza usipende kujichekelesha mbele yao.