Mdude: Tunaipa Serikali siku 30 wafute mkataba
real
Kwanini mkuu
I mean this time toka alivokamatwa then kuachiwa na kurudi kukamia kama hakijatokea kitu means kishakua recruited Ili Kuna watu wanatafutwa yeye anatumika tu Sasa hivi. Time will tell.
 

Mdude ametoa tamko hilo rasmi katika mkutano unaoendelea wakati huu tarehe 5/9/2023 akiwa na kina Dr. Slaa, Mwabukusi na Joseph Mbatia, akiongeza wakati wanasubiri hizo siku 30 wanaenda kwenye mikutano ya hadhara kuwaandaa Watanzania kufanya maandamanao nchi nzima.

Maandamano yatakayokuwa ya mfano, yatakoandikwa kwenye historia, maandamano ambayo yatashirikisha watu wa vyama vyote na dini zote nchi nzima, kufanya maandamano halali ya amani ya kupigania taifa hili.
MAPUMBAVU HAYA YALIYOKOSA KAZI ZA KUFANYA SHENZI TYPE. /
Watanzania sio wajinga kiasi hicho, mmezoea kuwageuza watanzania wajinga ngazi zenu za showoff ili mpate ulaji.
 
Tungojee vifo vya Wananchi kwa kupigwa na Mapolisi lohh Majangaa nchi yetu ya Kibongo, Wabongo wameshachoka na utawala wa CCM.
 

Mdude ametoa tamko hilo rasmi katika mkutano unaoendelea wakati huu tarehe 5/9/2023 akiwa na kina Dr. Slaa, Mwabukusi na Joseph Mbatia, akiongeza wakati wanasubiri hizo siku 30 wanaenda kwenye mikutano ya hadhara kuwaandaa Watanzania kufanya maandamanao nchi nzima.

Maandamano yatakayokuwa ya mfano, yatakoandikwa kwenye historia, maandamano ambayo yatashirikisha watu wa vyama vyote na dini zote nchi nzima, kufanya maandamano halali ya amani ya kupigania taifa hili.
In short anaongea ujingaaaaa!
 

Mdude ametoa tamko hilo rasmi katika mkutano unaoendelea wakati huu tarehe 5/9/2023 akiwa na kina Dr. Slaa, Mwabukusi na Joseph Mbatia, akiongeza wakati wanasubiri hizo siku 30 wanaenda kwenye mikutano ya hadhara kuwaandaa Watanzania kufanya maandamanao nchi nzima.

Maandamano yatakayokuwa ya mfano, yatakoandikwa kwenye historia, maandamano ambayo yatashirikisha watu wa vyama vyote na dini zote nchi nzima, kufanya maandamano halali ya amani ya kupigania taifa hili.
 

Mdude ametoa tamko hilo rasmi katika mkutano unaoendelea wakati huu tarehe 5/9/2023 akiwa na kina Dr. Slaa, Mwabukusi na Joseph Mbatia, akiongeza wakati wanasubiri hizo siku 30 wanaenda kwenye mikutano ya hadhara kuwaandaa Watanzania kufanya maandamanao nchi nzima.

Maandamano yatakayokuwa ya mfano, yatakoandikwa kwenye historia, maandamano ambayo yatashirikisha watu wa vyama vyote na dini zote nchi nzima, kufanya maandamano halali ya amani ya kupigania taifa hili.
"Watazungumza na viongozi wote wa dini wawaambie waumini wao kwenye makanisa.......".
Mdude kachanganyikiwa.Kasahau kuwa waislamu hatuingii makanisani.Hatatupata kabisa. Nakusudia hana diplomasia ya kukushanya watu wafanye analolipendelea. Si mwanasiasa kabisa. Sasa watu wakishaandamana wakamuondoa raisi wataongozwa na nani.Yeye au Dr Slaa. Hawawezi kabisa.
 
Tunatarajia Mdude ataongoza haya maandamano. Sisi tunasubiri aongoze ili tuungane naye. Shime Mdude usikose kwenye hili. Kituo cha kuanzia ni kipi?

Maandamano amani ni haki kwa mujibu wa Katiba. Atakuwa mwenda wazimu atakayepanga kuyazuia kinyume na katiba.

Kamanda Mdude hata kama hatayaongoza wapiganaji mbona wapo lukuki?

Wanasema wavumao baharini ni papa ..
 
Maandamano amani ni haki kwa mujibu wa Katiba. Atakuwa mwenda wazimu atakayepanga kuyazuia kinyume na katiba.

Kamanda Mdude hata kama hatayaongoza wapiganaji mbona wapo lukuki?

Wanasema wavumao baharini ni papa ..
Mkuu ni sawa. Natarajia Mdude ashiriki ili aone ni kwa namna gani wananchi wanaungana naye. Kutokushiriki kwake kutapelekea maswali mengi dhidi yake. Vipi akae nyumbani huku sisi tunaandamana! Huku kwetu huwa tunasema "shikeshike na mwenyewe nyuma". Nawe kwenye hili nakushauri pia.
 

Mdude ametoa tamko hilo rasmi katika mkutano unaoendelea wakati huu tarehe 5/9/2023 akiwa na kina Dr. Slaa, Mwabukusi na Joseph Mbatia, akiongeza wakati wanasubiri hizo siku 30 wanaenda kwenye mikutano ya hadhara kuwaandaa Watanzania kufanya maandamanao nchi nzima.

Maandamano yatakayokuwa ya mfano, yatakoandikwa kwenye historia, maandamano ambayo yatashirikisha watu wa vyama vyote na dini zote nchi nzima, kufanya maandamano halali ya amani ya kupigania taifa hili.
Tunahesabu kufika leo bado siku 27 tuone huyu MPUMBAVU mvuta bangi atafanya nini!!
 
Mkuu ni sawa. Natarajia Mdude ashiriki ili aone ni kwa namna gani wananchi wanaungana naye. Kutokushiriki kwake kutapelekea maswali mengi dhidi yake. Vipi akae nyumbani huku sisi tunaandamana! Huku kwetu huwa tunasema "shikeshike na mwenyewe nyuma". Nawe kwenye hili nakushauri pia.

Uzuri ni kuwa hizi ni jitihada za ukombozi na si kwa maslahi binafsi.
 

Mdude ametoa tamko hilo rasmi katika mkutano unaoendelea wakati huu tarehe 5/9/2023 akiwa na kina Dr. Slaa, Mwabukusi na Joseph Mbatia, akiongeza wakati wanasubiri hizo siku 30 wanaenda kwenye mikutano ya hadhara kuwaandaa Watanzania kufanya maandamanao nchi nzima.

Maandamano yatakayokuwa ya mfano, yatakoandikwa kwenye historia, maandamano ambayo yatashirikisha watu wa vyama vyote na dini zote nchi nzima, kufanya maandamano halali ya amani ya kupigania taifa hili.
Kuna mtu kanufafanua huyu jamaa nadhani hayuko mbali na hali halisi alivyomuelezea
 
Back
Top Bottom