Mdude: Tunaipa Serikali siku 30 wafute mkataba

Mdude ametoa tamko hilo rasmi katika mkutano unaoendelea wakati huu tarehe 5/9/2023 akiwa na kina Dr. Slaa, Mwabukusi na Joseph Mbatia, akiongeza wakati wanasubiri hizo siku 30 wanaenda kwenye mikutano ya hadhara kuwaandaa Watanzania kufanya maandamanao nchi nzima.

Maandamano yatakayokuwa ya mfano, yatakoandikwa kwenye historia, maandamano ambayo yatashirikisha watu wa vyama vyote na dini zote nchi nzima, kufanya maandamano halali ya amani ya kupigania taifa hili.
JamiiForums-1147096054.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Mdude ametoa tamko hilo rasmi katika mkutano unaoendelea wakati huu tarehe 5/9/2023 akiwa na kina Dr. Slaa, Mwabukusi na Joseph Mbatia, akiongeza wakati wanasubiri hizo siku 30 wanaenda kwenye mikutano ya hadhara kuwaandaa Watanzania kufanya maandamanao nchi nzima.

Maandamano yatakayokuwa ya mfano, yatakoandikwa kwenye historia, maandamano ambayo yatashirikisha watu wa vyama vyote na dini zote nchi nzima, kufanya maandamano halali ya amani ya kupigania taifa hili.
wameshassikia, wamebadilisha vipengele. hongereni kutuwakilisha sauti ya wengi.
 
Mdude hana cha kupoteza baada yabkupoteza marinda. Waache waendelee kumfuata
waliompotezea marinda, na wao watoto wao watafumuliwa tu, hivi unajua malipo ni hapa hapa duniani? amini usiamini, Mungu yupo na anaona. kama mhalifu hakutakiwa kufanywa hivyo, na pia, kama alipata madhira hayo kweli (kama ni kweli) wakati akipambania rasilimali zetu, basi huyo alijisacrifice sana yapasa tumwombee.
 
waliompotezea marinda, na wao watoto wao watafumuliwa tu, hivi unajua malipo ni hapa hapa duniani? amini usiamini, Mungu yupo na anaona. kama mhalifu hakutakiwa kufanywa hivyo, na pia, kama alipata madhira hayo kweli (kama ni kweli) wakati akipambania rasilimali zetu, basi huyo alijisacrifice sana yapasa tumwombee.
Ujinga wake tu ndiyo umempoteza wala alikuwa hahangaikii masilahi yetu. Ni lini tulimtuma?
 
Mbm hii ni ya mda mrefu kwani siku 30 mbn zishakwisha tunaitaji mrejesho

Mdude ametoa tamko hilo rasmi katika mkutano unaoendelea wakati huu tarehe 5/9/2023 akiwa na kina Dr. Slaa, Mwabukusi na Joseph Mbatia, akiongeza wakati wanasubiri hizo siku 30 wanaenda kwenye mikutano ya hadhara kuwaandaa Watanzania kufanya maandamanao nchi nzima.

Maandamano yatakayokuwa ya mfano, yatakoandikwa kwenye historia, maandamano ambayo yatashirikisha watu wa vyama vyote na dini zote nchi nzima, kufanya maandamano halali ya amani ya kupigania taifa hili.
 

Mdude ametoa tamko hilo rasmi katika mkutano unaoendelea wakati huu tarehe 5/9/2023 akiwa na kina Dr. Slaa, Mwabukusi na Joseph Mbatia, akiongeza wakati wanasubiri hizo siku 30 wanaenda kwenye mikutano ya hadhara kuwaandaa Watanzania kufanya maandamanao nchi nzima.

Maandamano yatakayokuwa ya mfano, yatakoandikwa kwenye historia, maandamano ambayo yatashirikisha watu wa vyama vyote na dini zote nchi nzima, kufanya maandamano halali ya amani ya kupigania taifa hili.
Chizi maarifa katoka wodini
 
Back
Top Bottom