Mdude: Tunaipa Serikali siku 30 wafute mkataba

Mdude ametoa tamko hilo rasmi katika mkutano unaoendelea wakati huu tarehe 5/9/2023 akiwa na kina Dr. Slaa, Mwabukusi na Joseph Mbatia, akiongeza wakati wanasubiri hizo siku 30 wanaenda kwenye mikutano ya hadhara kuwaandaa Watanzania kufanya maandamanao nchi nzima.

Maandamano yatakayokuwa ya mfano, yatakoandikwa kwenye historia, maandamano ambayo yatashirikisha watu wa vyama vyote na dini zote nchi nzima, kufanya maandamano halali ya amani ya kupigania taifa hili.
Siku hiyo utoke front

Sio ujifungie ndani na mkeo.
[emoji23][emoji23]
 
Siku ya maandamano yeye, slaa na mbatia wakae mstari wa mbele, tuone huo ujasiri wao na uchungu kwa taifa.

Nitawashangaa watakao andamana, ilhali waliowatuma wapo manyumbani mwao na familia zao wanakula bata, wewe hata ufe hawatakuja kuchukua maiti yako.

Hawa ndio wa kupewa nchi kweli!! Kauli zao tu zinaleta ukakasi wataweza kweli kutuongoza!! Amani itakuwepo kweli!!

Hivi huyu mdude ni kabila gani? Ni mtu wa wapi?? Slaa anajulikana ni mtu wa kaskazini kwa wachagga, mbatia ni wa huko huko uchagani, je mdude ni wawapi?
 
Uzuri ni kuwa hizi ni jitihada za ukombozi na si kwa maslahi binafsi.

Ni kweli ila ikitokea mtu anasema bila kutekeleza kutakuwa kuna walakini. Tambua, kama ulivyosema, hizi ni jitihada za ukombozi, hivyo ni vyema sote tushiriki na tuonekane tunashiriki, yaani mimi, wewe, Mdude na wengine wenye moyo. Kuacha kushiriki kwa kishingizio chochote kile ni usaliti ambao ama unatokana na uoga au unafiki.
 
🤓Labda serikali ya wanafunzi.
Hata ivo ni siku nyingi mno kwa mtu mwenye maamuzi na malengo ya Kujenga au kubomoa.
 
Maandamano amani ni haki kwa mujibu wa Katiba. Atakuwa mwenda wazimu atakayepanga kuyazuia kinyume na katiba.

Kamanda Mdude hata kama hatayaongoza wapiganaji mbona wapo lukuki?

Wanasema wavumao baharini ni papa ..
Kufika leo zimebakia siku 24. Nataka nione haws MABAZAZI 3 watakuja na nyimbo gani
 
Kufika leo zimebakia siku 24. Nataka nione haws MABAZAZI 3 watakuja na nyimbo gani

Mtabana lakini mtaachia. Mtake mstake:

F5qZCaiXEAEMnK2.jpeg
 

Mdude ametoa tamko hilo rasmi katika mkutano unaoendelea wakati huu tarehe 5/9/2023 akiwa na kina Dr. Slaa, Mwabukusi na Joseph Mbatia, akiongeza wakati wanasubiri hizo siku 30 wanaenda kwenye mikutano ya hadhara kuwaandaa Watanzania kufanya maandamanao nchi nzima.

Maandamano yatakayokuwa ya mfano, yatakoandikwa kwenye historia, maandamano ambayo yatashirikisha watu wa vyama vyote na dini zote nchi nzima, kufanya maandamano halali ya amani ya kupigania taifa hili.
Hivi kwanini serikali ya CCM wanakazana kuuza nchi kwa warabu bila kusikiliza kilio na maoni ya wazalendo? Ni lini hasa washenzy hawa wataacha kutapanya rasilimali za watanzania?
 

Mdude ametoa tamko hilo rasmi katika mkutano unaoendelea wakati huu tarehe 5/9/2023 akiwa na kina Dr. Slaa, Mwabukusi na Joseph Mbatia, akiongeza wakati wanasubiri hizo siku 30 wanaenda kwenye mikutano ya hadhara kuwaandaa Watanzania kufanya maandamanao nchi nzima.

Maandamano yatakayokuwa ya mfano, yatakoandikwa kwenye historia, maandamano ambayo yatashirikisha watu wa vyama vyote na dini zote nchi nzima, kufanya maandamano halali ya amani ya kupigania taifa hili.
Aliye juu ya Serikali ni Mungu tu na siyo mudude maana mudude siyo Mungu.
 

Mdude ametoa tamko hilo rasmi katika mkutano unaoendelea wakati huu tarehe 5/9/2023 akiwa na kina Dr. Slaa, Mwabukusi na Joseph Mbatia, akiongeza wakati wanasubiri hizo siku 30 wanaenda kwenye mikutano ya hadhara kuwaandaa Watanzania kufanya maandamanao nchi nzima.

Maandamano yatakayokuwa ya mfano, yatakoandikwa kwenye historia, maandamano ambayo yatashirikisha watu wa vyama vyote na dini zote nchi nzima, kufanya maandamano halali ya amani ya kupigania taifa hili.
Ataandamana na mkewe na watoto kama ameoa
 
Ataandamana na mkewe na watoto kama ameoa

Unaonekana kuchafukwa kulikoni ndugu?

Tupo wengi sana tutakaoandamana naye. Mkewe na watoto hatuwahitaji. Hadi hapo unasema je, ndugu?
 
Unaonekana kuchafukwa kulikoni ndugu?

Tupo wengi sana tutakaoandamana naye. Mkewe na watoto hatuwahitaji. Hadi hapo unasema je, ndugu?
Unaandamana kwenye keyboard tu wewe.
 
Back
Top Bottom