Mdude: Tunaipa Serikali siku 30 wafute mkataba
View attachment 2739633

Mdude ametoa tamko hilo rasmi katika mkutano unaoendelea wakati huu tarehe 5/9/2023 akiwa na kina Dr. Slaa, Mwabukusi na Joseph Mbatia, akiongeza wakati wanasubiri hizo siku 30 wanaenda kwenye mikutano ya hadhara kuwaandaa Watanzania kufanya maandamanao nchi nzima.

Maandamano yatakayokuwa ya mfano, yatakoandikwa kwenye historia, maandamano ambayo yatashirikisha watu wa vyama vyote na dini zote nchi nzima, kufanya maandamano halali ya amani ya kupigania taifa hili.
Tunatarajia Mdude ataongoza haya maandamano. Sisi tunasubiri aongoze ili tuungane naye. Shime Mdude usikose kwenye hili. Kituo cha kuanzia ni kipi?
 
View attachment 2739633

Mdude ametoa tamko hilo rasmi katika mkutano unaoendelea wakati huu tarehe 5/9/2023 akiwa na kina Dr. Slaa, Mwabukusi na Joseph Mbatia, akiongeza wakati wanasubiri hizo siku 30 wanaenda kwenye mikutano ya hadhara kuwaandaa Watanzania kufanya maandamanao nchi nzima.

Maandamano yatakayokuwa ya mfano, yatakoandikwa kwenye historia, maandamano ambayo yatashirikisha watu wa vyama vyote na dini zote nchi nzima, kufanya maandamano halali ya amani ya kupigania taifa hili.
He! Si tuliambiwa warakq wa TEC ushamaliza na unasomwa makanisani kila Jumapili?
 
View attachment 2739633

Mdude ametoa tamko hilo rasmi katika mkutano unaoendelea wakati huu tarehe 5/9/2023 akiwa na kina Dr. Slaa, Mwabukusi na Joseph Mbatia, akiongeza wakati wanasubiri hizo siku 30 wanaenda kwenye mikutano ya hadhara kuwaandaa Watanzania kufanya maandamanao nchi nzima.

Maandamano yatakayokuwa ya mfano, yatakoandikwa kwenye historia, maandamano ambayo yatashirikisha watu wa vyama vyote na dini zote nchi nzima, kufanya maandamano halali ya amani ya kupigania taifa hili.
Duh huyu Mdude ni Noma mpaka Dr. Slaa naona kama anaogopa!
 
"Tunaipa serikali siku 30"

images - 2023-09-05T134350.776.jpeg

images - 2023-09-05T134336.026.jpeg
 
Nitafurahi sana nanyi waTanganyika mkifanya maandamano maana siku zote mkiwaachia WaZanzibari wapaparishwe kwa risasi za moto.
WaZenji wakiitisha mandamano nchi nzima nyinyi WaTanganyika mkijiona mabana wakubwa.
Sasa mtafahamu na maana ya kwanini Nyani haoni.
 
View attachment 2739633

Mdude ametoa tamko hilo rasmi katika mkutano unaoendelea wakati huu tarehe 5/9/2023 akiwa na kina Dr. Slaa, Mwabukusi na Joseph Mbatia...

Ha ha ha mm ningekuwa mshauri wa serikali ningewaambia waache wafanye hayo maandamano

Yan mtu mmoja anaweza kuipa serikali siku 30?

Yan hawa kuwajibu ni kuwaongezea kujulikana, serikali ikae kimya then tuone after 30days watafanya nini
 
Back
Top Bottom