Ustaadhi 22
JF-Expert Member
- Sep 5, 2021
- 996
- 1,907
Hakuna maandamano,,,mdude Tulia Acha fujo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii nchi inaenda kutoka mikononi mwa wajinga wa sampuli yako, wale waliokata tamaa, wasiojiweza kwa lolote, ila wana midomo mirefu tu ya kupuuza movement za wengine.Siku hiyo utoke front
Sio ujifungie ndani na mkeo.
Kwanini mkuuI think Mdude kishakua compromised.
Tunatarajia Mdude ataongoza haya maandamano. Sisi tunasubiri aongoze ili tuungane naye. Shime Mdude usikose kwenye hili. Kituo cha kuanzia ni kipi?View attachment 2739633
Mdude ametoa tamko hilo rasmi katika mkutano unaoendelea wakati huu tarehe 5/9/2023 akiwa na kina Dr. Slaa, Mwabukusi na Joseph Mbatia, akiongeza wakati wanasubiri hizo siku 30 wanaenda kwenye mikutano ya hadhara kuwaandaa Watanzania kufanya maandamanao nchi nzima.
Maandamano yatakayokuwa ya mfano, yatakoandikwa kwenye historia, maandamano ambayo yatashirikisha watu wa vyama vyote na dini zote nchi nzima, kufanya maandamano halali ya amani ya kupigania taifa hili.
He! Si tuliambiwa warakq wa TEC ushamaliza na unasomwa makanisani kila Jumapili?View attachment 2739633
Mdude ametoa tamko hilo rasmi katika mkutano unaoendelea wakati huu tarehe 5/9/2023 akiwa na kina Dr. Slaa, Mwabukusi na Joseph Mbatia, akiongeza wakati wanasubiri hizo siku 30 wanaenda kwenye mikutano ya hadhara kuwaandaa Watanzania kufanya maandamanao nchi nzima.
Maandamano yatakayokuwa ya mfano, yatakoandikwa kwenye historia, maandamano ambayo yatashirikisha watu wa vyama vyote na dini zote nchi nzima, kufanya maandamano halali ya amani ya kupigania taifa hili.
Tumwone akiwa mbele ya maandamanoMdude ni jasiri kwelikweli.
Watanzania wa kwenye PlayStationNgoja tuone hao wananchi wanaoandaliwa na Mdude ni wa Kenya au Wa Tanzania!
Duh huyu Mdude ni Noma mpaka Dr. Slaa naona kama anaogopa!View attachment 2739633
Mdude ametoa tamko hilo rasmi katika mkutano unaoendelea wakati huu tarehe 5/9/2023 akiwa na kina Dr. Slaa, Mwabukusi na Joseph Mbatia, akiongeza wakati wanasubiri hizo siku 30 wanaenda kwenye mikutano ya hadhara kuwaandaa Watanzania kufanya maandamanao nchi nzima.
Maandamano yatakayokuwa ya mfano, yatakoandikwa kwenye historia, maandamano ambayo yatashirikisha watu wa vyama vyote na dini zote nchi nzima, kufanya maandamano halali ya amani ya kupigania taifa hili.
We mwenyewe utatoka?Hii nchi inaenda kutoka mikononi mwa wajinga wa sampuli yako, wale waliokata tamaa, wasiojiweza kwa lolote, ila wana midomo mirefu tu ya kupuuza movement za wengine.
Wanaume wakiwa wanazungumza usipende kujichekelesha mbele yao.
Duh
Ova
Hata wewe atakupumlia tuHuyo mdude kammiss basha wake jela arudishwe haraka
Kwahiyo unawastua kuwa mnara wa Babeli umenza?. hii project ya "kudai Bandari" iko hatarini😁Ujasiri wa kumwamini Mbatia wanautoa wapi??
View attachment 2739633
Mdude ametoa tamko hilo rasmi katika mkutano unaoendelea wakati huu tarehe 5/9/2023 akiwa na kina Dr. Slaa, Mwabukusi na Joseph Mbatia...
Lazima nitoke kukukomboa msukule wa Samia.We mwenyewe utatoka?