Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huu mkataba utakusaidi kupata mitumba yako haraka zaidi ya sasaSamia anatakiwa kutuelewa, mkataba wa DPW haufai ni mbovu, kiburi chake cha kujinga kuwapa zawadi waovu wanaotetea ule mkataba hakiwezi kutukatisha tamaa, kinatushangaza tu tulivyo na kiongozi juha.
Bado siku 10 tumuone huyu hayawani akianzisha maandamano. Namkumbusha tu
Mdude ametoa tamko hilo rasmi katika mkutano unaoendelea wakati huu tarehe 5/9/2023 akiwa na kina Dr. Slaa, Mwabukusi na Joseph Mbatia, akiongeza wakati wanasubiri hizo siku 30 wanaenda kwenye mikutano ya hadhara kuwaandaa Watanzania kufanya maandamanao nchi nzima.
Maandamano yatakayokuwa ya mfano, yatakoandikwa kwenye historia, maandamano ambayo yatashirikisha watu wa vyama vyote na dini zote nchi nzima, kufanya maandamano halali ya amani ya kupigania taifa hili.
Sasa amebadili kauli. Anasema Tulia anapanga kumuuaBado siku 10 tumuone huyu hayawani akianzisha maandamano. Namkumbusha tu
Slaa sio mchaga ni mmbulu, Mdude ni mtu wa MbeyaSiku ya maandamano yeye, slaa na mbatia wakae mstari wa mbele, tuone huo ujasiri wao na uchungu kwa taifa.
Nitawashangaa watakao andamana, ilhali waliowatuma wapo manyumbani mwao na familia zao wanakula bata, wewe hata ufe hawatakuja kuchukua maiti yako.
Hawa ndio wa kupewa nchi kweli!! Kauli zao tu zinaleta ukakasi wataweza kweli kutuongoza!! Amani itakuwepo kweli!!
Hivi huyu mdude ni kabila gani? Ni mtu wa wapi?? Slaa anajulikana ni mtu wa kaskazini kwa wachagga, mbatia ni wa huko huko uchagani, je mdude ni wawapi?
Slaa Rais, Mdude Waziri Mkuu, Mwabukusi Makamu... Muungano tunauvunja"Watazungumza na viongozi wote wa dini wawaambie waumini wao kwenye makanisa.......".
Mdude kachanganyikiwa.Kasahau kuwa waislamu hatuingii makanisani.Hatatupata kabisa. Nakusudia hana diplomasia ya kukushanya watu wafanye analolipendelea. Si mwanasiasa kabisa. Sasa watu wakishaandamana wakamuondoa raisi wataongozwa na nani.Yeye au Dr Slaa. Hawawezi kabisa.
Kupata vichekesho vingine kama hivi bonyeza sifuri.
Mdude ametoa tamko hilo rasmi katika mkutano unaoendelea wakati huu tarehe 5/9/2023 akiwa na kina Dr. Slaa, Mwabukusi na Joseph Mbatia, akiongeza wakati wanasubiri hizo siku 30 wanaenda kwenye mikutano ya hadhara kuwaandaa Watanzania kufanya maandamanao nchi nzima.
Maandamano yatakayokuwa ya mfano, yatakoandikwa kwenye historia, maandamano ambayo yatashirikisha watu wa vyama vyote na dini zote nchi nzima, kufanya maandamano halali ya amani ya kupigania taifa hili.
We wa hovyo sana, kwa nini una generalise, we unadhani kila mtu anashikiwa akili na watu wenye kichaa kama nyie machadema, akili zenu sawa na za ng'ombe tu.Samia anatakiwa kutuelewa, mkataba wa DPW haufai ni mbovu, kiburi chake cha kujinga kuwapa zawadi waovu wanaotetea ule mkataba hakiwezi kutukatisha tamaa, kinatushangaza tu tulivyo na kiongozi juha.
Huyu Mdude hata huko Mbeya hajulikani ndugu zake ni nani. Anaweza akawabni mhamiaji toka DRC. Hatuna watanzania wenye chuki na matusi kama MdudeSlaa sio mchaga ni mmbulu, Mdude ni mtu wa Mbeya
Siku 30 zinaisha tarehe 5 Oktoba 2023 kuanzia tarehe 6 Oktoba 2023 na kuendelea tutarajie nini?
Mdude ametoa tamko hilo rasmi katika mkutano unaoendelea wakati huu tarehe 5/9/2023 akiwa na kina Dr. Slaa, Mwabukusi na Joseph Mbatia, akiongeza wakati wanasubiri hizo siku 30 wanaenda kwenye mikutano ya hadhara kuwaandaa Watanzania kufanya maandamanao nchi nzima.
Maandamano yatakayokuwa ya mfano, yatakoandikwa kwenye historia, maandamano ambayo yatashirikisha watu wa vyama vyote na dini zote nchi nzima, kufanya maandamano halali ya amani ya kupigania taifa hili.
Haya mapimbi yako wapi sasa? Si yalisema yanaipa Serikali siku 30 la sivyo yanaitisha maandamano?
Mdude ametoa tamko hilo rasmi katika mkutano unaoendelea wakati huu tarehe 5/9/2023 akiwa na kina Dr. Slaa, Mwabukusi na Joseph Mbatia, akiongeza wakati wanasubiri hizo siku 30 wanaenda kwenye mikutano ya hadhara kuwaandaa Watanzania kufanya maandamanao nchi nzima.
Maandamano yatakayokuwa ya mfano, yatakoandikwa kwenye historia, maandamano ambayo yatashirikisha watu wa vyama vyote na dini zote nchi nzima, kufanya maandamano halali ya amani ya kupigania taifa hili.
Huwa nawashangaa sawa kuna Watanzania wanashikiwa akili na mdude.
Mdude ametoa tamko hilo rasmi katika mkutano unaoendelea wakati huu tarehe 5/9/2023 akiwa na kina Dr. Slaa, Mwabukusi na Joseph Mbatia, akiongeza wakati wanasubiri hizo siku 30 wanaenda kwenye mikutano ya hadhara kuwaandaa Watanzania kufanya maandamanao nchi nzima.
Maandamano yatakayokuwa ya mfano, yatakoandikwa kwenye historia, maandamano ambayo yatashirikisha watu wa vyama vyote na dini zote nchi nzima, kufanya maandamano halali ya amani ya kupigania taifa hili.
Usimuamini Mdude yule akili zake haziko sawa.Hivi siku 30 hazijaisha?