Bangi zinasingiziwa tu , nafikiri matumizi mabaya ya bangi na tatizo la afya ya akili inapelekea mwananchi mmoja kutoka mbeya kuiamuru serikali iache majukumu yake ya kawaida.
 
Mdude hana cha kupoteza baada yabkupoteza marinda. Waache waendelee kumfuata
Ukiona mtumzima anaandika hoja kama hii ni wa kumuepuka maana hana tofauti na mwendawazimu. Hivi unafikiri kama kweli jambo hilo lilifanywa, waliofanya wako timamu? Na kama walitumwa na serikali yenu kufanya hivyo hiyo serikali inaweza kuwa na baraka za Mungu? Wakati mwingine muende kwenye vioo na kujiangalia huku mkijiuliza jee mimi ni mtu au nyani? Mbona nina fikra kama mnyama?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…