Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,263
Hakuna MKULIMA, mfanyakazi, mfanyabiashara, msataaf au MWANAFUNZI anayeweza kuipigia kura ccm...Ukiulizwa nini ambacho ulitaka kifanyike ndani ya hii miaka mitano na hakikufanyika, hautakuwa na jibu zuri zaidi ya kusema unataka demokrasia.
Sasa miaka mitano mmeendeleza wapi? Chato?