Uchaguzi 2020 Mechi kali nne za Uchaguzi Mkuu wa Wabunge ni majimbo ya Arusha Mjini, Kawe, Mbeya Mjini na Tarime Vijijini

Uchaguzi 2020 Mechi kali nne za Uchaguzi Mkuu wa Wabunge ni majimbo ya Arusha Mjini, Kawe, Mbeya Mjini na Tarime Vijijini

Mbatia atapata ushindi wa kishindo. Kimei maisha yake yote alikuwa buisy DSM akiwa mkurugenzi mkuu wa benki ya crdb. Wanavunjo wanamjua Mbatia tu na Lyatonga Mrema.
Hata Kimei naye ana ushawishi mkubwa hasa Vunjo Mashariki...
Usimdharau hata kidogo..

Na mbatia naye anakubalika upande wa Magharibi...

Halafu ujue Tangu 1995 uchaguzi wa kwanza. Wa vyama vingi hakuna mgombea aliye wahi kutetea vipindi viwili mfululizo kwa jimbo LA Vunjo
Labda mbatia avunje rekodi mwaka huu

Na vunjo si ya watu wajinga Eti ujitetee nimewaletea Maji Umeme Madawati na madawa hospitali ili uchaguliwe .

Mwaka 1995 - 2000 - Mbatia NCCR

Mwaka 2000 - 2005 - Jesse Makundi TLP

Mwaka 2005-2010 - Aloyce kimaro - CCM

Mwaka 2010 - 2015 - Mrema TLP

Mwaka 2015-2020 Mbatia NCCR

Alafu pamoja na kutawaliwa mara nyingi na upinzani,
Kule vunjo chadema haina nguvu kabisa kwenye masuala ya ubunge, udiwani na serikali za Mitaa
 
Mbeya ya wapi mkuu unayo izungumzia? kikwete amewahi pigwa mawe na wana mbeya, kuna mkuu wa wilaya juzi apa alinyeshewa mvua ya mawe, je ni mbeya ipi unayoizungimzia?
Kikwete hakupigwa mawe Mbeya Ila Chunya. Au mwenzangu umeshindwa kung'amua kuwa msingi wa post hii ni Jimbo la Mbeya. Chunya huko ni ngome ya CCM.
 
Waitara atapigwa chini, gwajima atagalagazwa,gumbo atanyukwa, tulia atatulizwa
1: Mwita Waitara Vs John Heche - Tarime Vijijini

2: Tulia Acskon Vs Sugu - Mbeya Mjini

3: Askofu Gwajima Vs Halima Mdee - Kawe

4: Mrisho Gambo Vs Godbless Lema - Arusha Mjini

Hizi ni mechi kali sana za kukata na shoka .

Nategemea wote wafanye kampeni za kistaarabu, wakinadi sera zao ili tuamue nani wawe wawakilishi.
 
Kwa gwajima, ccm msitafute mchawi, wanaccm wengi wa kawe hawajapenda mlichokifanya.subirini adhabu yenu.
 
Karata Joker ni ya CCM.
Kazi ya JPM ilishauzika na upinzani walishaonyesha rangi halisi, ushindi hapo ni CCM.
Labda kina Heche ndiyo watatoa upinzani, lakini Arusha ambako nakaa sasa hivi Lema kwa heri. Hii kauli mtaikumbuka.
ARUSHA IPI MBONA UNAKUA SI MKWELI MKUU GAMBO KASHINDA KWA FEDHA HAMUWEZI LEMA
 
1: Mwita Waitara Vs John Heche - Tarime Vijijini

2: Tulia Acskon Vs Sugu - Mbeya Mjini

3: Askofu Gwajima Vs Halima Mdee - Kawe

4: Mrisho Gambo Vs Godbless Lema - Arusha Mjini

Hizi ni mechi kali sana za kukata na shoka .

Nategemea wote wafanye kampeni za kistaarabu, wakinadi sera zao ili tuamue nani wawe wawakilishi.
Hakuna mechi kalii Chadema watashinda majimbo mengi sana ccm mwaka huu wanapigwa chini nchi mzima kwasabau ya sera mbaya za uchumi
 
Karata Joker ni ya CCM.
Kazi ya JPM ilishauzika na upinzani walishaonyesha rangi halisi, ushindi hapo ni CCM.
Labda kina Heche ndiyo watatoa upinzani, lakini Arusha ambako nakaa sasa hivi Lema kwa heri. Hii kauli mtaikumbuka.
Naungana na wewe!
Kwa Arusha Lema hana tena ile amsha amsha ya kisiasa aliyokuwa nayo mwanzo pia utendaji wake jimboni ulipoa sana baada ya kuwekwa rumande, kwa ujumla ameshuka sana kisiasa.

Ukija kwa Gambo, huyu hana kelele nyingi ila ni mzee wa fitna...mambo yake chini chini na ni mzuri wa kujenga makundi na mikakati ya wazi na isiyo ya wazi. Halali na isiyo halali.
Kwa kifupi ni mjanja kwenye hizi siasa za chini kwa chini. Anamfahamu Lema vizuri kwa uwezo wake na huu udhaifu wake wa sasa...hivyo Lema kuchomoka ni vigumu sana.
 
1: Mwita Waitara Vs John Heche - Tarime Vijijini

2: Tulia Acskon Vs Sugu - Mbeya Mjini

3: Askofu Gwajima Vs Halima Mdee - Kawe

4: Mrisho Gambo Vs Godbless Lema - Arusha Mjini

Hizi ni mechi kali sana za kukata na shoka .

Nategemea wote wafanye kampeni za kistaarabu, wakinadi sera zao ili tuamue nani wawe wawakilishi.
1. Heche
2. Tulia
3. Mdee
4.Gambo.
Ngoma draw hapo- (2-2)
 
Back
Top Bottom