changaule
JF-Expert Member
- Jan 10, 2020
- 6,039
- 10,151
Hapana timu inayoweza kutumia nafasi chache ndio ya kuigopa hiyo, kutengeneza nafasi ni ishu moja na kutumia nafasi ni ishu nyingine. Hadi pale itakavyoweza kuitumia nafasi ipasavyoTimu yenye uwezo wa kutengeneza nafasi nyingi ni ya kuiogopa, saa yoyote chochote kinatokea.