Umeelewa concept niliyokuwa naijenga?
Au unaandika kubishana?
Mimi sijakataa kuwa basic ya h2h haiiangalii mechi 5 za mwisho.
Mimi nimezungumzia overall
Ili kuweka balance ionekane Mamelodi kacheza mechi 8 sawa na Simba, ukaambiwa upunguze mechi za Mamelodi kufanya idadi ziwe 8 utapunguza mechi za mwisho au za mwanzoni?
Hili ndio swali
Ok kwahiyo kwako timu bora ni tumefungwa ila chenga tumewala,Kufungwa kwa aina yoyote hakuna furaha Ila hapa linakuja suala la ubora wa timu hata kama haina bahati. Timu bora ni timu bora saa yoyote inadhihirisha ubora wake.
Timu imecheza vizuri sana, imetengeneza nafasi sana, imekosa magoli sana ni bora kuliko Timu haitengenezi nafasi, imepata nafasi kibahati bahati ikaitumia kupata goli.
Umeshawahi sikia msemo "WAMESHINDA ILA HAWANA AMANI NA TIMU YAO" Mara nyingi huu msemo ni kwa timu inayoshinda kwa kubahatisha, huoni nafasi ikitengenezwa kwa mipango.
Unajua timu bora ni timu bora. Kama imepoteza sababu ya kutokuwa na bahati kwenye mechi husika au mechi mbili au tatu hata nne huwezi futa ubora wake, wakati wowote inaweza kukuadhibu sababu ni bora na inatengeneza nafasi.Ok kwahiyo kwako timu bora ni tumefungwa ila chenga tumewala,
Tumefungwa ila moto tuliowapelekea watasimulia.
Wakati ukiamini hivyo, wapo wanaoamini timu bora sio inayocheza vizuri bali ni ile inayopata matokeo.
Al ahly aliweka rekodi ya kumpiga mtu goli 5 tena kwenye kipindi cha kwanza tu hakika ile ilikuwa rekodi ya kusisimua mnoCAF yote inajua mechi yao bora ni ya Ijumaa.
Na ndio maana wameipa heshima kuwa siku hiyo kutakuwa na mechi moja tu.
Kwanini? Kwasababu ndio Derby ya Africa mpaka sasa.
Al Ahly na Simba hakuna mbabe katika mechi zote walizokutana.
Maana yake ulimwengu mzima kwa siku ya Ijumaa ukiwa unataka kuangalia mechi za CAF, utakuwa unatazama mechi moja tu ya Simba dhidi ya Al Ahly.
Baada ya hapo ndio watafuata wacheza makida kujirusha rusha nao kukamilisha ratiba.