verifaidi yuza
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 2,930
- 5,913
Viungo hao wavunja kuni kina Fred ndo mlikua mnawategemea?Safari hii Brazil hawatokubali kuwa wateja tena!!
Ufaransa haina viungo wakukabiliana na wa Brazil!!
Ufaransa Wana washambuliaji tu na Beki wazuri!
Brazil Wana Beki,viungo na washambuliaji hatari sana!
Brazil atashinda Battle Kati Kati ya uwanja na Hapo Ndipo mechi itaamuliwa!!
Wote wametinga.Pia unavyodhani inaweza isiwe hivyo. France au Argentina mmojawapo anaweza asiguse hata nusu fainal.
Kweli mkuu!Mimi mwenyewe sijui hata nilikoment lini!!Mtoto kaiba simu?[emoji23]
Chalii mazeeLete updates mkuu.
Umesahau chuma kingine, Croatia. Hao si watu wazuri wanaweza kuishangaza DuniaBaada ya kuziangalia timu zote kwenye mechi zilizowapeleka robo fainali, imekuwa dhahiri kwangu kwamba fainali itakuwa kati ya timu hizo.
Brazil anaweza kumtoa Croatia ingawa sitarajii iwe hivyo. Argentina atamtoa Uholanzi kisha ataenda na kumtoa Brazil/Croatia kwenye nusu fainali
Ureno atamtoa Morocco kirahisi kuliko inavyodhaniwa. Ufaransa atamtoa uingereza halafu ataenda kumtoa ureno kwenye nusu fainali.
Hapa naongelea kiufundi zaidi baada ya kuziona hizi timu kwa kuzingatia ubora pamoja na madhaifu yao.
Ile mechi ya mtoano wa 16 bora pale urusi mwaka 2018 inaenda kujirudia kwenye fainali ya mwaka huu pale Qatar. France vs Argentina.
Sitegemei kama Argentina atakubali kufungwa mara ya pili. Ngojea tusubirie muda utatujibu.
Agentina anachukua ndooBaada ya kuziangalia timu zote kwenye mechi zilizowapeleka robo fainali, imekuwa dhahiri kwangu kwamba fainali itakuwa kati ya timu hizo.
Brazil anaweza kumtoa Croatia ingawa sitarajii iwe hivyo. Argentina atamtoa Uholanzi kisha ataenda na kumtoa Brazil/Croatia kwenye nusu fainali
Ureno atamtoa Morocco kirahisi kuliko inavyodhaniwa. Ufaransa atamtoa uingereza halafu ataenda kumtoa ureno kwenye nusu fainali.
Hapa naongelea kiufundi zaidi baada ya kuziona hizi timu kwa kuzingatia ubora pamoja na madhaifu yao.
Ile mechi ya mtoano wa 16 bora pale urusi mwaka 2018 inaenda kujirudia kwenye fainali ya mwaka huu pale Qatar. France vs Argentina.
Sitegemei kama Argentina atakubali kufungwa mara ya pili. Ngojea tusubirie muda utatujibu.
Kombe la dunia sio la kubetia kuanzia hatua ya 16. Mechi hazitabilikiMy friend ni Morocco vs Croatia. Lazima watu wa betting wawafilisi....na nasema wawafilisi hasa mpaka mkome wenyewe kuibiwa.
Mimi wala sifanyi betting. Ninaupenda mpira wa miguu. Morocco vs Croatia ni mechi ya mshindi wa tatu jumamosi ya tarehe 17 December.My friend ni Morocco vs Croatia. Lazima watu wa betting wawafilisi....na nasema wawafilisi hasa mpaka mkome wenyewe kuibiwa.