Mechi ya Fainali kwa Mkapa Yanga Vs Usm Alger kampeni na mikakati kabambe ianze mara moja.

Mechi ya Fainali kwa Mkapa Yanga Vs Usm Alger kampeni na mikakati kabambe ianze mara moja.

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
60,050
Reaction score
104,466
Bila kujari Yanga itaanzia wapi lakini natowa wito kwa matawi yote ya Yanga nchi nzima na kwa uongozi wa Yanga huu ndio muda sahihi wa kupanga mkakati kabambe kuhakikisha Mwarabu anakufa nyingi kwa Mkapa.

Sasa ni wazi Yanga ifunguwe Amari zote za silaha kama tunaanzia fainali kwa Mkapa basi fainali yetu tuimalizie hapohapo kwa Mkapa kwa margin ya magoli mengi na clean sheet.

Kwa upande wa hamasa unapaswa ticket ziishe siku mbili kabla ya mechi, tunahitaji full house kwa Mkapa na si vinginevyo, hakuna kipindi cha mwananchi kushiriki kuipa mafanikio timu kama kununuwa tickets hata kama huna mzuka wa kwenda uwanjani wagawie tickets wapenda vibe la uwanjani.

Hii ni historia katika kipindi cha uhai wetu usikubali kuwa nje ya historia hii adhimu.

Kama una ushauri zaidi wa kuhakikisha Mwarabu anakufa nyingi kwa Mkapa hebu na wewe tiririka viongozi wanasoma maoni yetu.
 
Bila kujari Yanga itaanzia wapi lakini natowa wito kwa matawi yote ya Yanga nchi nzima na kwa uongozi wa Yanga huu ndio muda sahihi wa kupanga mkakati kabambe kuhakikisha Mwarabu anakufa nyingi kwa Mkapa.

Sasa ni wazi Yanga ifunguwe Amari zote za silaha kama tunaanzia fainali kwa Mkapa basi fainali yetu tuimalizie hapohapo kwa Mkapa kwa margin ya magoli mengi na clean sheet.

Kwa upande wa hamasa unapaswa ticket ziishe siku mbili kabla ya mechi, tunahitaji full house kwa Mkapa na si vinginevyo, hakuna kipindi cha mwananchi kushiriki kuipa mafanikio timu kama kununuwa tickets hata kama huna mzuka wa kwenda uwanjani wagawie tickets wapenda vibe la uwanjani.

Hii ni historia katika kipindi cha uhai wetu usikubali kuwa nje ya historia hii adhimu.

Kama una ushauri zaidi wa kuhakikisha Mwarabu anakufa nyingi kwa Mkapa hebu na wewe tiririka viongozi wanasoma maoni yetu.
Mm mchango wangu hapo upon kunduchi bichi. Naenda kuongeza na mijini yangu mechi namalizana nayo kabla haijapangwa walahi
 
Kiingilio kiwe bureeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Lakini mpaka Yanga inafika fainali unamjuwa timu imespend cash kiasi gani?

Halafu hii mentality ya bure utashow love lini kwa timu yako kwa kuisupport kipesa?

Malumo walioffer mechi yao watu kuingia bure kwa sababu South Africa timu zenye watu ni Orlando Pirates na Kaizer Chiefs, haya hao Mamelodi Sundowns licha ya kwamba wao ndio wanatawwla soka la South Africa kwa sasa lakini bado INA mashabiki wa kawaida tu, vibe lipo kwa Orlando Pirates na Kaizer Chiefs.
 
Mjinga mjub
Bila kujari Yanga itaanzia wapi lakini natowa wito kwa matawi yote ya Yanga nchi nzima na kwa uongozi wa Yanga huu ndio muda sahihi wa kupanga mkakati kabambe kuhakikisha Mwarabu anakufa nyingi kwa Mkapa.

Sasa ni wazi Yanga ifunguwe Amari zote za silaha kama tunaanzia fainali kwa Mkapa basi fainali yetu tuimalizie hapohapo kwa Mkapa kwa margin ya magoli mengi na clean sheet.

Kwa upande wa hamasa unapaswa ticket ziishe siku mbili kabla ya mechi, tunahitaji full house kwa Mkapa na si vinginevyo, hakuna kipindi cha mwananchi kushiriki kuipa mafanikio timu kama kununuwa tickets hata kama huna mzuka wa kwenda uwanjani wagawie tickets wapenda vibe la uwanjani.

Hii ni historia katika kipindi cha uhai wetu usikubali kuwa nje ya historia hii adhimu.

Kama una ushauri zaidi wa kuhakikisha Mwarabu anakufa nyingi kwa Mkapa hebu na wewe tiririka viongozi wanasoma maoni yetu.
Wa we
 
Chi
Bila kujari Yanga itaanzia wapi lakini natowa wito kwa matawi yote ya Yanga nchi nzima na kwa uongozi wa Yanga huu ndio muda sahihi wa kupanga mkakati kabambe kuhakikisha Mwarabu anakufa nyingi kwa Mkapa.

Sasa ni wazi Yanga ifunguwe Amari zote za silaha kama tunaanzia fainali kwa Mkapa basi fainali yetu tuimalizie hapohapo kwa Mkapa kwa margin ya magoli mengi na clean sheet.

Kwa upande wa hamasa unapaswa ticket ziishe siku mbili kabla ya mechi, tunahitaji full house kwa Mkapa na si vinginevyo, hakuna kipindi cha mwananchi kushiriki kuipa mafanikio timu kama kununuwa tickets hata kama huna mzuka wa kwenda uwanjani wagawie tickets wapenda vibe la uwanjani.

Hii ni historia katika kipindi cha uhai wetu usikubali kuwa nje ya historia hii adhimu.

Kama una ushauri zaidi wa kuhakikisha Mwarabu anakufa nyingi kwa Mkapa hebu na wewe tiririka viongozi wanasoma maoni yetu.
Zi maarifa we endelea na phd yako ya mchongo hiyo! Idiot we
 
USM Alger kashafungwa na Marumo Gallants mwezi March mwaka huu, na 2018 Yanga iliifunga USM Alger 2-1 Makambo akiwa striker wetu, mimi sina shaka, Yanga hili kombe letu watanzania, kwa mara ya kwanza tunachukua kombe la Shirikisho la Africa.. Hakika Mama Samia kaja na baraka tele.
 
Back
Top Bottom