The Lastdream
JF-Expert Member
- Jan 23, 2024
- 1,970
- 4,616
Usiochelewa neno akabiki halimaanishi literal mara zote hakabiki.Wew inaonesha uyo Messi umetazama mechi zake chache Sana unapenda kuskiliza stori za watu sana angekuaa hakabiki si angefunga ata Goli nane tu kwenye france leauge one kwenye msimu wake wa kwanza
Ni vile unashindwa kuelewa lugha. Mimi ninaweza kusema Lebron au steph curry ni mashooter wazuri sana hawakosi, haimaanishi hawakosi hapana ila 95% Akishoot hakosi.Ndio tumekupa mifano uache kuskiliza propaganda za watu na Hakuna sehemu tumekwambia Ronaldo hadhuiliki ayo Maneno yakusema Messi hadhuiliki umeyaleta wrw
angekua ana uwezo wakufanya lolote kwa wakati wowote angeisadia PSG kushinda Champions leauge na Pia angekua amevunja rekodi zote za soka la DuniaUsiochelewa neno akabiki halimaanishi literal mara zote hakabiki.
Ila ni mchezaji hatari kwa asilimia kubwa na ana uwezo wa kfanya lolote kwa mda wowote unaelewa lakini?
Tuonyeshe kombe la dunia la ronaldo?
Messi hajawahi kushinda champions league katika career yake?angekua ana uwezo wakufanya lolote kwa wakati wowote angeisadia PSG kushinda Champions leauge na Pia angekua amevunja rekodi zote za soka la Dunia
Mahesabu ya muda kwenye mpira baada ya mchezaji kufunga goli hayatambui sekundeMimi nimeuliza hivi, kabla dakika haijakamilika huwa ipo sekunde,
Mpira ukianza huwa unaanza na namba zipi? Ili na mm nikuomyeshe ni vipi ronaldo hajavunja hizo rekodi
Basi ngoja nikurahishie UEFA champions leauge maana unaonekana umekaza FuvuMessi hajawahi kushinda champions league katika career yake?
sasa mpira ukianza hua ni 00:00 ronaldo hajawahi kushinda katika hiyo 00:00 regardless sheria za mpira hazitambui hilo. Lakini kashindwa kuvunja hio rekodi ya kufunga 00:00 kwahyo hata yeye katika suala la muda hajamalizaMahesabu ya muda kwenye mpira baada ya mchezaji kufunga goli hayatambui sekunde
Ronaldo kafunga goli sekunde ya 45 lakini katika algorithm za mpira hiyo ni dakika moja.
Takwimu za mpira zime lay kwenye 1-90 sio 00-90
Nihakikishie kwamba messi hana UEFA katika careet yake?Basi ngoja nikurahishie UEFA champions leauge maana unaonekana umekaza Fuvu
Sasa kama sheria hazitambui, hiyo sheria yako ya 00:00 huoni kuwa ni wishfully thinking?sasa mpira ukianza hua ni 00:00 ronaldo hajawahi kushinda katika hiyo 00:00 regardless sheria za mpira hazitambui hilo. Lakini kashindwa kuvunja hio rekodi ya kufunga 00:00 kwahyo hata yeye katika suala la muda hajamaliza
wew nimgumu kuelewa nimekwambia messi alishindwa kuisaidia PSG kushinda UEFA sjakwambia Messi hajawah kushinda UEFANihakikishie kwamba messi hana UEFA katika careet yake?
Ronaldo na Kibu Dennis wanafanana maana wote hawana kombe la dunia...afu mwakani utasikia Messi anabeba Tuzo ya mchezaji bora wa mwaka wa FIFA na Ballon dor ju na kuna mbuzi inakaa chini inakwambia Messi ni greatest player of all time PSG kakimbia palimshinda na Marekani nako kwenye ligi ya mbuzi pamemshinda sjui this time atakimbila wapi
2021/22 france leauge one Messi alifunga goli sita kwenye mechi 26 Messi ni wakufunga Goli sita kwenye ligi ya ajabu kama ile kama sio failure ni Nini Msimu wa 2022/2023 alifunga Goli 16 Messi ni wakufunga Goli 16 kweny ligi mbovu kama sio failure Ni Kitu gani uje uko kwenye ligi yenu ya ovyo ndio aibu tupu
Achana na tuzo za Golden Ball, tuje kwenye MOTM awards ambazo huwa anapewa mchezaji kutokana na ubora wake kwenye mechi anazocheza.
Messi amepewa kwenye mechi 395, Ronaldo anazo 176. Bado unataka niendelee? au niishie hapa?
Anti Messi gang mmeshapata la kusema.Messi kaingia dakika ya 83 wakati Ronaldo yupo jukwaani akiikosa mechi kwasababu ya majeraha.
Je hii inathibitisha kauli ya Ronaldo aliyoitoa siku za hivi karibuni kuhusu ubora wa ligi yao?
Na wale waliokuwa wanasema Saudia kuna hela hakuna mpira nadhani leo tumepata majibu