Ndio mpk sasa naona hiko kitu anaachaje kumtoa akamweka phiri ambae ameonyesha uwezo binafsi.Anatuangusha sana kiukweli halafu naona kama anabebwa na kocha
wote wapo uwanjani mkuu kwa sasaNdio mpk sasa naona hiko kitu anaachaje kumtoa akamweka phiri ambae ameonyesha uwezo binafsi.
Halafu Simba inacheza kawaida tuJamaa wameikamia SIMBA kinoma
Mbona nasikia hajaingia?wote wapo uwanjani mkuu kwa sasa
Mbona sioni muunganiko wowote pale mbele!? hilp goli litatoka wapi mkuuAise kumbe Phiri kaingia, ebu nhoja tuone hii kona kama wataitumia vizuri
Labda amechokaKama kuna kaukweli