makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Man City kaleta saana utoto game hii, ila bado naamini city anapenya, akienda Madrid akakutana na livekuku kuna uwezekano mkubwa liverkuku akabeba hii ndoo.Penati aisee. Yanibhii gemu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Man City kaleta saana utoto game hii, ila bado naamini city anapenya, akienda Madrid akakutana na livekuku kuna uwezekano mkubwa liverkuku akabeba hii ndoo.Penati aisee. Yanibhii gemu
Hawa City kwenye UEFA huwa wanakuwa na ufala fulani hivi na kwa hii mechi bado mambo sio mepesi hivyo kwa City mkuu.Unawajua City vizuri mkuu?
City hawana na uwanja wa ugenini, wao popote wanakutawala na kukufunga.
Japo ninaamini mechi ya pili itaisha kwa sare maana City anajihami sana akiwa ugenini.
Kwa matokeo haya,fainali ni Madrid vs LiverpoolLigi ya mabingwa ulaya inaendelea usiku hatimaye imefikia hatua nusu fainali , usiku huu kuna mtanange wa kufa mtu ukikutanisha miamba kati ya real manchester city vs real madrid ni mechi kali yenye mvuto wa kipekee itakuwa mechi ya kimbinu zaidi . Mtazamo wangu bado kipara nampa nafasi kutokana na mbinu zake ,karibuni wadau kwenye uchambuzi wa mechi hii
Hakuna aggregate? Unaelewa ulichoandika? Hakuna goli la ugenini, aggregate inakuwaje hakuna?Hakuna aggregate mheshimiwa
UCL ishafuta magoli ya ugenini, kwahiyo madrid akishinda moja bila ngoma inaongezwa dakikaLini imeondolewa
Agrigate itambeba Madrid marudiano.
Mtateseka Sana , [emoji28] city on the way to finalKwa matokeo haya,fainali ni Madrid vs Liverpool
Liver tutajipigia tu kama kawaida yetuMtateseka Sana , [emoji28] city on the way to final
Which way? They're going nowhereMtateseka Sana , [emoji28] city on the way to final
unajua maana ya agregate?
ile sheria ilikua sio.Hakuna aggregate mheshimiwa
My bad, nimechanganya. Kuna mtu ashaliongelea hapo juu.ile sheria ilikua sio.
Wat if Madrid akashinda 2 kwa 1 inakuaje auunajua maana ya agregate?
madrid akishinda 3-1 atakua kamtoa city kwa agregate ya 6-5
usichangaye kati ya agregate na away goal rule
Mechi itaenda extra time maana itakuwa 5-5Wat if Madrid akashinda 2 kwa 1 inakuaje au
Aggregate IPO mbona mechi ya simba na Orlando ilikuwepo au hii haifuati sheria za mabeberuHakuna aggregate mheshimiwa
CAF wanatumia sheria ya aggregate pamoja na goli la ugenini. Ila UEFA wamefuta goli la ugenini wanangalia aggregate pekeeAggregate IPO mbona mechi ya simba na Orlando ilikuwepo au hii haifuati sheria za mabeberu
OK mkuuCAF wanatumia sheria ya aggregate pamoja na goli la ugenini. Ila UEFA wamefuta goli la ugenini wanangalia aggregate pekee