Objective football
JF-Expert Member
- Oct 21, 2023
- 1,195
- 2,771
- Thread starter
- #21
Muda bado upo tuone hali itakuwaje kufika jioni hasa hasa huko temeke sijui hali ikoje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huku mvua inayesha na kukata mkuuMuda bado upo tuone hali itakuwaje kufika jioni hasa hasa huko temeke sijui hali ikoje
Kuna nni leo sasaHakuna game leo.....
Mikeka kuchanikaKuna nni leo sasa
Ndio hivyo amri kiemba amecheza simba na yanga anasema kipindi anacheza yanga mvua ikinyesha siku ya mechi ya derby wanakuwa hawana amani.hili bogi linaua game mentality ya fans wa yanga. vijiweni jana wanadai mvua hii ni uchawi wa simba
Muda wa mechi ukiwadia mvua itakata vyura wanyolewe vizuriMpaka sasa mvua inaanguka heavy maeneo mengi ya jiji la Dar es salaam. Kuna mawili either game isogezwe mbele or kupigwa mbele ya mashabiki wachache sana.
Ichezwe hivyi hivyo yujue nani anaweza hata kwenye mvua.Mpaka sasa mvua inaanguka heavy maeneo mengi ya jiji la Dar es salaam. Kuna mawili either game isogezwe mbele or kupigwa mbele ya mashabiki wachache sana.
Halafu joto kali na hewa kavu. Sijui ndio nini hii sasaShida tupu yaani jua kali na mvua hakuna
Na Waarabu tuliwagonga kwenye mvuaRaja aliwagonga kwenye mvua, Mwanza tuliwagonga kwenye mvua sema kingine
Wamejaa wezi na omba ombaDodoma jangwa la sahara mvua itoke wapi
mkuu ya kweli hayoo??Simba leo watafungwa 3-0
mkuu una iattack sana domu, kwa sasa ni mji mzuri na STL kama zote. kifupi mji mzuri na napenda kuishi pale town one dayWamejaa wezi na omba omba
tutaua utamu wa derby mkuuIchezwe hivyi hivyo yujue nani anaweza hata kwenye mvua.
sawa chief ila mingurumo na mvua ni tatizoMechi ichezwe, msituletee ujinga hapa.
Boss kwahiyo Yanga wanakaa goli 4 leooMuda wa mechi ukiwadia mvua itakata vyura wanyolewe vizuriView attachment 2804500
Sent using Jamii Forums mobile app