Mechi ya simba vs yanga ya tarehe 5-11-2023 huenda ikasogezwa mbele, mvua inaanguka

Mechi ya simba vs yanga ya tarehe 5-11-2023 huenda ikasogezwa mbele, mvua inaanguka

Ni Nani alikarabati uwanja kwa ela nyingi kiasi kile na akashindwa kukarabati pitch iendane na ya kisasa ?
Pitch ingenyanyuliwa juu maji yawe yanatoka sio kusimama Kama dimbwi na kupelekea tope !
Mbona viwanja vya waliondelea kuna msimu maji yanafululiza kumwagika lakini pitch ni kavu haiweki maji au kuleta tope ?
itabidi tuanzie hapo kuhoji chief
 
Wasi wasi wangu siku ya leo ni hali ya pitch na uwepo wa mashabiki uwanjani kuwa hafifu sana
 
Halafu joto kali na hewa kavu. Sijui ndio nini hii sasa
Sometimes I wonder
Huu mkoa kuufanya makao makuu tumekwama nimezaliwa hapa lakini sioni progress zozote .

Vumbi kali, jua la utosi, mvua hakuna, mimea inakauka ..!

Strange zaidi ni watu bado wanakata miti
 
Back
Top Bottom