Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
Upo TEMEKE?Nakatika siku zote za wiki, leo ndio nimeona mvua nyingi mno. kwa huku mitaa yangu imeanza sa 12 asubuhi till now
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo TEMEKE?Nakatika siku zote za wiki, leo ndio nimeona mvua nyingi mno. kwa huku mitaa yangu imeanza sa 12 asubuhi till now
Kwani huo uwanja wa Mkapa hauna underground drainage? Kama hauna, basi wachina walitupiga; waturudishie chenji zetu.Mpaka sasa mvua inaanguka heavy maeneo mengi ya jiji la Dar es salaam. Kuna mawili either game isogezwe mbele or kupigwa mbele ya mashabiki wachache sana.
NIPO KINONDONI MKUUUpo TEMEKE?
labda ipo mkuu, walioko uwanjani watupe updates za pitchKwani huo uwanja wa Mkapa hauna underground drainage? Kama hauna, basi wachina walitupiga; waturudishie chenji zetu.
itaisha kwa matokeoHii mvua haitakatika mapema, mechi itakuwa mbovu sana
pitch imejaa maji kama yotelabda ipo mkuu, walioko uwanjani watupe updates za pitch
umeonaa eeh, mfano mm mitaa yangu watu tuko ndani tu. na mvua inaanguka bado aiseehHii mvua haitakatika mapema, mechi itakuwa mbovu sana
sema mechi itakuwa mbovu, butua butua tu mradi mpira uende mbele, uwanja umejaa majiitaisha kwa matokeo
hapo unakuta TFF anawa consult Simba na yanga ili wasogeze mechi mbele, huenda mmoja anagomea ili ipigiwe hivyo hivyopitch imejaa maji kama yote
labda ipo mkuu, walioko uwanjani watupe updates za pitch
Simba wanaamini kwenye mvua wanapata matokeohapo unakuta TFF anawa consult Simba na yanga ili wasogeze mechi mbele, huenda mmoja anagomea ili ipigiwe hivyo hivyo
si ulisikia mkandarasi wa kichina alinyongwa chief!Nashangaa pitch imejengwa kwa viwango vya kimataifa halafu watu wanauliza uwanja kujaa maji. Mbona hatujawahi kushuhudia pitches za Old Trafford, Stamford Bridge au Anfield zikiwa na shida kwenye mvua. Na kumbuka viwanja hivi vilijengwa karne ya 19. Sasa iweje kiwanja kimejengwa karne ya 21 kinakuwa na tatizo la kujaa maji? Shame on us. Basi wachina walitupiga. Mbona viwanja wanavyojenga kule kwao havijai maji? Nonsense!
📌📌Simba leo watafungwa 3-0
huu uwanja aibu tupu, una vidimbwi vidimbwi vya kutosha, hasa hasa huku pembeni karibu na konaNashangaa pitch imejengwa kwa viwango vya kimataifa halafu watu wanauliza uwanja kujaa maji. Mbona hatujawahi kushuhudia pitches za Old Trafford, Stamford Bridge au Anfield zikiwa na shida kwenye mvua. Na kumbuka viwanja hivi vilijengwa karne ya 19. Sasa iweje kiwanja kimejengwa karne ya 21 kinakuwa na tatizo la kujaa maji? Shame on us. Basi wachina walitupiga. Mbona viwanja wanavyojenga kule kwao havijai maji? Nonsense!
Game ipo kama kawaida, gharama kubwa sana zimeshatumika mpaka sasa.Hakuna game leo.....
Ni aibu Sana halafu wanajitapa wameboresha. Kamvua kadogo Tu unakuta maji yametuama kwenye pitch wakati ulaya hata mvua iwe kubwa vipi huoni maji viwanjani.Nashangaa pitch imejengwa kwa viwango vya kimataifa halafu watu wanauliza uwanja kujaa maji. Mbona hatujawahi kushuhudia pitches za Old Trafford, Stamford Bridge au Anfield zikiwa na shida kwenye mvua. Na kumbuka viwanja hivi vilijengwa karne ya 19. Sasa iweje kiwanja kimejengwa karne ya 21 kinakuwa na tatizo la kujaa maji? Shame on us. Basi wachina walitupiga. Mbona viwanja wanavyojenga kule kwao havijai maji? Nonsense!
Mkuu tupia basi picha pichahuu uwanja aibu tupu, una vidimbwi vidimbwi vya kutosha, hasa hasa huku pembeni karibu na kona
yaah sahihi chiefGame ipo kama kawaida, gharama kubwa sana zimeshatumika mpaka sasa.