Objective football
JF-Expert Member
- Oct 21, 2023
- 1,195
- 2,771
- Thread starter
-
- #41
itabidi tuanzie hapo kuhoji chiefNi Nani alikarabati uwanja kwa ela nyingi kiasi kile na akashindwa kukarabati pitch iendane na ya kisasa ?
Pitch ingenyanyuliwa juu maji yawe yanatoka sio kusimama Kama dimbwi na kupelekea tope !
Mbona viwanja vya waliondelea kuna msimu maji yanafululiza kumwagika lakini pitch ni kavu haiweki maji au kuleta tope ?
hahahaa dahNdio hivyo amri kiemba amecheza simba na yanga anasema kipindi anacheza yanga mvua ikinyesha siku ya mechi ya derby wanakuwa hawana amani.
sawa chiefHuku mvua inayesha na kukata mkuu
Historia iwe hivyo. Mechi ilichezwa kwenye mvua. Mimi napinga mechi kuhairishwa najua wengi watapinga.tutaua utamu wa derby mkuu
sawa chief lakini mamlaka zipo kimya,ujue gemu inapigwaHistoria iwe hivyo. Mechi ilichezwa kwenye mvua. Mimi napinga mechi kuhairishwa najua wengi watapinga.
vp hali ya uwanja chief ?Acha nongwa game ipo kama kawa haiairishwi wengine ndio tunaingia ground muda huu mtu nyomi
mi mwenyewe nitacheki kupitia azam tvKwa Hali ya hewa kaa utazame mpira nyumbani kwako na Familia yako.
mi mwenyewe nitacheki kupitia azam tvKwa Hali ya hewa kaa utazame mpira nyumbani kwako na Familia yako.
mi mwenyewe nitacheki kupitia azam tvKwa Hali ya hewa kaa utazame mpira nyumbani kwako na Familia yako.
Kuna mtu namuona anahangaika ananyeshewa mvua huku na huku kisa MPIRA akipata homa sijui itakuajemi mwenyewe nitacheki kupitia azam tv
yaah walioko mkapa,watupe updatesMlioko dar hali ya hewa ikoje? Uwanja upo vipi?
Shabiki lialia huwambii kituKuna mtu namuona anahangaika ananyeshewa mvua huku na huku kisa MPIRA akipata homa sijui itakuaje
Sometimes I wonderHalafu joto kali na hewa kavu. Sijui ndio nini hii sasa