Mechi ya Taifa Stars na Uganda yasimama kwa muda kutokana na taa za uwanjani kupungua mwanga. Taa ziliwaka ikaendelea

Mechi ya Taifa Stars na Uganda yasimama kwa muda kutokana na taa za uwanjani kupungua mwanga. Taa ziliwaka ikaendelea

Hii tabia ya kusema zile hela zilizofanya hiki si zingefanya hiki muache ni upuuzi na umaskini. Kwani kuna kitu hakitakiwi kufanyika, vipaumbele vyote vinazingatiwa. Wangelipisha kiingilio watu wakakosa kabisa uwanjani bado ungesema kwanini serikali haikutoa hela kulipia kiingilio.

Ndio maana kuna kitu kinaitwa bajeti. Wizara, taasisi, idara, vyombo na kila kitu vina bajeti zao. Serikali ikitoa motisha ya milioni 5 asitokee mtu akaitaka ilipie dawa hospitalini kule Mpwayungu, afya nayo ina bajeti yake.

Huo uwanja ni chawote, mara kwaya mara kukimbia mara singeli sijui vuka kabla hujavuka. Matokeo yake unakuwa chandimu. Nyasi nazo zimeisha na vyoo vichafu siku zote
 
Tulizungumza hili jambo tukaonekana wabaya, huyu kipara ni maharage ndani ya wizara.Ukiacha Uganda ambapo nchi nzima inatazama mpira,Dunia nzima inashangaa! Hii ni aibu kubwa sana! Ilipaswa wawajibike kwa kujiuzulu ila huenda wote ni walamba asali hakuna atakayewajibika!
 
Back
Top Bottom