Mechi za Simba SC kuonyeshwa Dstv

Mbumbumbu at their own peak, Simba wanachokitafuta watakipata, time will tell
 
Nyie simba na mashabiki wa simba ni komeo sana, hili wazo mmekurupuka bila kutumia bongo zenu sawa sawa

Ni watu wangapi wanauwezo wa kumudu DSTV?
 
Sasa umbumbu umetoka wapi, maana umeeleza vizuri sana. Na aliyetoa post kwenye tetesi yake amemaanisha hivyo
 
Mbumbumbu at their own peak, Simba wanachokitafuta watakipata, time will tell
Nyani anaenyonyesha,anapojitahidi kumshauli mfalme wa nyika mnyama Simba jinsi ya kuwinda,angalia sana wewe nyani nyama yako ni tamu kwa Simba utaliwa wewe na vinyani vyako unavyo nyonyesha.
 
Na za Ligi Kuu nazo mtaonyeshea wapi?
Wajnajitekenya na kucheka wao wenyewe.

SuperSport hao hao walioshindwa kuonyesha KPL kwa changamoto ya pesa, leo ndio ikatoe dau nono kwa Simba (tena mechi 4 tu za CAFCL). Hahahaha
 
CAF Champions league SuperSport ndie alienunua haki ya kuonyesha mechi zote kuanzia hatua ya Makundi sio kama Simba ndio kaamua hivyo.
Mkuu usihangaike, ila kumbuka tu kuwa Rage ni jiniasi sana, hawa jamaa wanahitaji msaada wa Madocta wa Milembe
 
Nyani anaenyonyesha,anapojitahidi kumshauli mfalme wa nyika mnyama Simba jinsi ya kuwinda,angalia sana wewe nyani nyama yako ni tamu kwa Simba utaliwa wewe na vinyani vyako unavyo nyonyesha.
Sawa mbumbumbu
 
Jamaa unamkosea sana Mola wako unakosea sana kumuita binadam mwenzako jina la kifedhuli kumbuka hata ww utakuja kuwa na watoto nakushaur edit hilo neno lako
 
safi sana. simba sasa inatakiwa kuonekana duniani

Dunia gan? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] af kuna majinga yanajuaga dstv iko labda na ulaya [emoji23][emoji23][emoji23] we fala dstc ni Africa kusini mwa jangwa la sahara pekeee hata kule juu kwa warabu haipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…