Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani kakwambia sipendi kusikia? Nani kakwambia kuna kinacho nikwaza..?, Pepsi ipo, Azam Cola ipo, Mo cola ipo, Coca cola ipo na Jambo cola ipo piaKwaiyo we hupend kuskia kuna superwoman? Kinacho kukwaza nini? Mbona pepsi ipo na coca ipo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaonekana tu superwoman imekuumiza sana.. mi nilfkr ungepongeza swala la platform kama hizi za kuinua dada zetu.wee unakimbilia copy and paste kuliko impact ya jambo lenyewenani kakwambia sipendi kusikia..?, nani kakwambia kuna kinacho nikwaza..?, Pepsi ipo, Azam Cola ipo, Mo cola ipo, Coca cola ipo na Jambo cola ipo pia
Break fast Club ya marekani na wao wana peruzi na kudadisi..?, na wao wana ripoti ya Bonge..? lile ni jina tu, RFA Kaiga kipindi gani..? Sito sahau na Njia panda ni vitu viwili tofauti
Ukiangalia nilichoandika ni Super Woman pekee ndio imeainishwa?Unaonekana tu superwoman imekuumiza sana.. mi nilfkr ungepongeza swala la platform kama hizi za kuinua dada zetu.wee unakimbilia copy and paste kuliko impact ya jambo lenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
sawa mkuuVipindi karibia vyote hapo mawingu ni C&P kutoka radio One n Radio free..! Mawingu waliweza kujiongeza zaidi tu...Kwa mtu ambaye ameanza kusikiliza radio muda mrefu ataelewa hili.! Kuiga si dhambi ila unatakiwa ufanye kwa ubora wa hali ya juu
Sent using Jamii Forums mobile app
notedSito sahau na njia panda n vitu vinafanana sema mmoja aliamua kujiongeza zaid mkuu.. usipende kuegemea upande flani
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona ndio kilicho kustua.. kwan siku zote ulikua wapiukiangalia nilichoandika ni Super woman pekee ndio imeainishwa..?,
hahaha mimi niemcheka hapo kwenye "Vumbi Cup"Wanacopy sana idea za clouds!!
haya mbwiga kaja na sodo cup, mpira unachezwa kwenye kiwanja katikati kuna mnazi, hakuna kuvaa viatu! Waganga ruksa wanavunja mayai uwanjani [emoji23][emoji23][emoji23] hakuna offside
Sent using Jamii Forums mobile app
hahaha mbaya zaidi hadi muda wa vipindi husika mnaiga.Hapa swala sio copy and paste..hapo ni unajarbu tu kuweka league
Kuna vitu ni common..kinachotakiwa ni uboreshaj tu...
Kwani radio ngapi zina top 10 au top 20? Kwaiyo hapo tuseme nazo ni copy n paste?
Vipindi vya taarabu nazo ni copy n paste? Vipo vingap hpa Tanzania?
Swala ni uboreshaji tu na ubunifu kwa vipind hivyo hivyo vilivyopo
Kwaiyo kisa kuna peps,hutak Coca-Cola iwepo?
Ndiomana kuna matamasha vile vile...kila mmoja ana uboreshaji wake...
Anyways mkuu msalmie diva hapo mjengon
Sent using Jamii Forums mobile app
Wema punguza jazba basi....Wasafi wasipoiga watafanya Nini? Wao wanachojua ni unafiki na uchawi damuni, lol mweeeeeeeeeeeh.
Sent using Jamii Forums mobile app
hahaha mbaya zaidi hadi muda wa vipindi husika mnaiga.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkorofi weweWema punguza jazba basi....
Wanacopy sana idea za clouds!!
haya mbwiga kaja na sodo cup, mpira unachezwa kwenye kiwanja katikati kuna mnazi, hakuna kuvaa viatu! Waganga ruksa wanavunja mayai uwanjani [emoji23][emoji23][emoji23] hakuna offside
Sent using Jamii Forums mobile app