Media za Wenzetu Zinafanya Endorsment, Je Ni Wakati Muafaka Sasa Media za Tanzania Tuanze Kufanya Endorsment?. Kati FAM na TAL, JF Tumuendorse Nani?

Media za Wenzetu Zinafanya Endorsment, Je Ni Wakati Muafaka Sasa Media za Tanzania Tuanze Kufanya Endorsment?. Kati FAM na TAL, JF Tumuendorse Nani?

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
53,857
Reaction score
121,995
Wanabodi,
Mada kama hii niliileta 2015 Kuelekea Octoba 2015: Je, Sasa ni Wakati wa Media Zetu Kufanya Endorsement ya Wagombea?

Mfano mzuri wa endorsment ni huu
Uliofanywa na jf member huyu

Japo JF members we are all equal, lakini lazima tukubali watu hatulingani uwezo!, kuna wenzetu wana uwezo kuliko wengine mfano mwana jf huyu
Sasa kama mwanachama mwandamizi hivi wa jf, kama huyu ame muendorse Tundu Lissu, who are we or are you usimuendorse?.

Kwanini sisi JF katika umoja wetu tusimuendorse Tundu Lissu, kama ana sifa za msingi despite all the odds, (hakuna mkamilifu), tusimame nae, kwanza kwa kuanzia tuhakikishe asibwage manyanga, asimame na Mbowe na kukomaa nae mpaka kieleweke dakika ya mwisho, akishindwa na manyumbu, ndipo sasa awaachie hawa Wachagga hii saccos yao, wao na manyumbu wao, waendelee kuwa wapinzani milele huku wakiendelea kuwa mbwa koko wakibweka bweka hapa na pale kuizungunga meza kuu huku wakitupiwa makombo na kujilia, na kuneneoeana,

Kisha TL ateam up na Zitto, kwenye siasa hakuna rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu, tusahau yaliyopita, tumuunge mkono, tumuingize Ikulu 2025?.

Hivyo nauliza, kwa vile Media za Wenzetu Zinafanya Endorsment, Je Ni Wakati Muafaka Sasa Media za Tanzania Tuanze Kufanya Endorsment?.

Sisi JF pia tufanye endorsment Kati FAM na TAL, JF Tumuendorse Nani? kwenye uchaguzi wa Chadema, kama waandamizi wetu wame muendorse Lissu, JF katika umoja wetu tusimame na Lissu?.

Na 2025 ama tusimame na chama kubwa ama the opposition tufanye endorsment?.

Paskali.
 
Wanabodi,
Mada kama hii niliileta 2015 Kuelekea Octoba 2015: Je, Sasa ni Wakati wa Media Zetu Kufanya Endorsement ya Wagombea?

Media za Wenzetu Zinafanya Endorsment, Je Ni Wakati Muafaka Sasa Media za Tanzania Tuanze Kufanya Endorsment?. Kati FAM na TAL, JF Tumuendorse Nani?
Japo JF members we are all equal, lakini lazima tukubali watu hatulingani uwezo!, kuna wenzetu wana uwezo kuliko wengine mfano huyu

Kama mwanachama mwandamizi hivi wa jf, ame muendorse Lissu, kwanini JF katika umoja wetu tusimuendorse Lissu, tusimame nae, asibwage manyanga, asimame na Mbowe mpaka dakika ya mwisho, akishindwa ndipo awaachie hawa Wachagga hii saccos yao, wao na manyumbu wao, ateam up na Zitto, tumuingize Ikulu 2025?.

Hivyo nauliza, kwa vile Media za Wenzetu Zinafanya Endorsment, Je Ni Wakati Muafaka Sasa Media za Tanzania Tuanze Kufanya Endorsment?. Sisi JF pia tufanye endorsment Kati FAM na TAL, JF Tumuendorse Nani?. Kama waandamizi wetu wame muendorse Lissu, JF katika umoja wetu tusimame na Lissu?.

Paskali.
Kwa ccm unaweza kufanya? Uanze huko kwanza kama wewe kweli mwanamme
 
Wanabodi,
Mada kama hii niliileta 2015 Kuelekea Octoba 2015: Je, Sasa ni Wakati wa Media Zetu Kufanya Endorsement ya Wagombea?

Media za Wenzetu Zinafanya Endorsment, Je Ni Wakati Muafaka Sasa Media za Tanzania Tuanze Kufanya Endorsment?. Kati FAM na TAL, JF Tumuendorse Nani?


Japo JF members we are all equal, lakini lazima tukubali watu hatulingani uwezo!, kuna wenzetu wana uwezo kuliko wengine mfano mwana jf huyu

Kama mwanachama mwandamizi hivi wa jf, ame muendorse Lissu, who are you usimuendorse?.

Kwanini sisi JF katika umoja wetu tusimuendorse Tundu Lissu, despite all the odds, hakuna mkamilifu, tusimame nae, asibwage manyanga, asimame na Mbowe na kukomaa nae mpaka kieleweke dakika ya mwisho, akishindwa ndipo awaachie hawa Wachagga na hii saccos yao, wao na manyumbu wao, ateam up na Zitto, tumuingize Ikulu 2025?.

Hivyo nauliza, kwa vile Media za Wenzetu Zinafanya Endorsment, Je Ni Wakati Muafaka Sasa Media za Tanzania Tuanze Kufanya Endorsment?. Sisi JF pia tufanye endorsment Kati FAM na TAL, JF Tumuendorse Nani?.

Kama waandamizi wetu wame muendorse Lissu, JF katika umoja wetu tusimame na Lissu?.

Paskali.
Kaka heshima kwako,

Mbona siku hizi umeanza kutokua na akili? Shida nini, umri au maslahi?

Zamani ulikua hutabiriki ila sasa unajitabiri mwenyewe. Poor you brother!!

Rudi kwenye mstari..
(Nb: click to Expand quotation usome nilichobold)
 
Wanabodi,
Mada kama hii niliileta 2015 Kuelekea Octoba 2015: Je, Sasa ni Wakati wa Media Zetu Kufanya Endorsement ya Wagombea?

Media za Wenzetu Zinafanya Endorsment, Je Ni Wakati Muafaka Sasa Media za Tanzania Tuanze Kufanya Endorsment?. Kati FAM na TAL, JF Tumuendorse Nani?


Japo JF members we are all equal, lakini lazima tukubali watu hatulingani uwezo!, kuna wenzetu wana uwezo kuliko wengine mfano mwana jf huyu

Kama mwanachama mwandamizi hivi wa jf, ame muendorse Lissu, who are you usimuendorse?.

Kwanini sisi JF katika umoja wetu tusimuendorse Tundu Lissu, despite all the odds, hakuna mkamilifu, tusimame nae, asibwage manyanga, asimame na Mbowe na kukomaa nae mpaka kieleweke dakika ya mwisho, akishindwa ndipo awaachie hawa Wachagga na hii saccos yao, wao na manyumbu wao, ateam up na Zitto, tumuingize Ikulu 2025?.

Hivyo nauliza, kwa vile Media za Wenzetu Zinafanya Endorsment, Je Ni Wakati Muafaka Sasa Media za Tanzania Tuanze Kufanya Endorsment?. Sisi JF pia tufanye endorsment Kati FAM na TAL, JF Tumuendorse Nani?.

Kama waandamizi wetu wame muendorse Lissu, JF katika umoja wetu tusimame na Lissu?.

Paskali.
naona unafanya endorsement ya kisayansi mno Mwalimu dah!..

unang'ata na kupulizi kisiasa zaidi aise!🐒
 
Media zinaogopa kuwa against govt, zinatakiwa ziwe kama za marekani. Kwa mfano kipindi hiki pale chadema ilitakiwa kuwe na media zinazomu endorse lissu na zingine mbowe, yaani kwa mfano wakati tbc inamshadidia mbowe azam inamshadidia lissu. Hawa kina clouds, efm, crown na wengine wangekuwa na mtu wao badala ya kula sahani moja na tbc ilipoegemea na zenyewe zipo hukohuko. Kule kenya kila mgombea ana media zake zinazomu endorse bila hofu ya kushushiwa rungu na govt
 
Kaka heshima kwako,

Mbona siku hizi umeanza kutokua na akili? Shida nini, umri au maslahi?

Zamani ulikua hutabiriki ila sasa unajitabiri mwenyewe. Poor you brother!!

Rudi kwenye mstari..
(Nb: click to Expand quotation usome nilichobold)
Kabisa Mkuu yaani kasomeshwa na walimu wa Kichaga bila ubaguzi leo lijamaa linawabaguwa hadharani
 
Wanabodi,
Mada kama hii niliileta 2015 Kuelekea Octoba 2015: Je, Sasa ni Wakati wa Media Zetu Kufanya Endorsement ya Wagombea?

Media za Wenzetu Zinafanya Endorsment, Je Ni Wakati Muafaka Sasa Media za Tanzania Tuanze Kufanya Endorsment?. Kati FAM na TAL, JF Tumuendorse Nani?


Japo JF members we are all equal, lakini lazima tukubali watu hatulingani uwezo!, kuna wenzetu wana uwezo kuliko wengine mfano mwana jf huyu

Kama mwanachama mwandamizi hivi wa jf, ame muendorse Lissu, who are you usimuendorse?.

Kwanini sisi JF katika umoja wetu tusimuendorse Tundu Lissu, despite all the odds, hakuna mkamilifu, tusimame nae, asibwage manyanga, asimame na Mbowe na kukomaa nae mpaka kieleweke dakika ya mwisho, akishindwa ndipo awaachie hawa Wachagga na hii saccos yao, wao na manyumbu wao, ateam up na Zitto, tumuingize Ikulu 2025?.

Hivyo nauliza, kwa vile Media za Wenzetu Zinafanya Endorsment, Je Ni Wakati Muafaka Sasa Media za Tanzania Tuanze Kufanya Endorsment?. Sisi JF pia tufanye endorsment Kati FAM na TAL, JF Tumuendorse Nani?.

Kama waandamizi wetu wame muendorse Lissu, JF katika umoja wetu tusimame na Lissu?.

Paskali.
Pascal Mayalla hukuipata hii

 
Wewe huwezi kuwa positive na mambo ya Chadema.
So,ungejikita tu kwenye mitano Tena Kwa mama.

Kule sio sehemu Yako kaka,acheni unafiki kana kwamba hamjui upumbavu wa chama chenu.

Mbona hujawahi kushusha andiko la maana,kila siku kusifu na kuabudu mpaka shetani anawangaa.

Kiufupi,Kuna mtu mnamwogopa ila hams3mi.
 
Wanabodi,
Mada kama hii niliileta 2015 Kuelekea Octoba 2015: Je, Sasa ni Wakati wa Media Zetu Kufanya Endorsement ya Wagombea?

Media za Wenzetu Zinafanya Endorsment, Je Ni Wakati Muafaka Sasa Media za Tanzania Tuanze Kufanya Endorsment?. Kati FAM na TAL, JF Tumuendorse Nani?


Japo JF members we are all equal, lakini lazima tukubali watu hatulingani uwezo!, kuna wenzetu wana uwezo kuliko wengine mfano mwana jf huyu

Kama mwanachama mwandamizi hivi wa jf, ame muendorse Lissu, who are you usimuendorse?.

Kwanini sisi JF katika umoja wetu tusimuendorse Tundu Lissu, despite all the odds, hakuna mkamilifu, tusimame nae, asibwage manyanga, asimame na Mbowe na kukomaa nae mpaka kieleweke dakika ya mwisho, akishindwa ndipo awaachie hawa Wachagga na hii saccos yao, wao na manyumbu wao, ateam up na Zitto, tumuingize Ikulu 2025?.

Hivyo nauliza, kwa vile Media za Wenzetu Zinafanya Endorsment, Je Ni Wakati Muafaka Sasa Media za Tanzania Tuanze Kufanya Endorsment?. Sisi JF pia tufanye endorsment Kati FAM na TAL, JF Tumuendorse Nani?.

Kama waandamizi wetu wame muendorse Lissu, JF katika umoja wetu tusimame na Lissu?.

Paskali.
media zetu bado ziko fofofo, tangu mwaka 2015 bado tu hawajalifanyia kazi wazo lako kuntu, labda sasa wataamka toka usingizi wa pono.
 
Back
Top Bottom