Medical Council of Tanganyika (MCT) lengo lenu ni lipi kwa vijana wetu? Njooni mueleze

Medical Council of Tanganyika (MCT) lengo lenu ni lipi kwa vijana wetu? Njooni mueleze

Ni kweli mkuu,kuna madaktari sasa hivi wanagraduate ila ni majanga matupu.

Bora mitihani iwepo maana huko vyuoni kazi ni kuiba mitihani tu na kwa watoto wa kike ndio basi tena,wanabebwa kwa gharama ya ngono
Kwa hiyo unataka useme Law School nayo ifutwe? Si walishafaulu chuoni?

Post zako zinaonesha umetoka vyuo vile vya kubebwa bebwa. Kama mko vizuri mnaogopa nini? Kama hamjui hata sheria zinazosimamia mabaraza yenu, mtajua kutibu? Mwandiko wenyewe taabu tupu. Mtakuja kuua watanzania nyie. Tena wawape mitihani migumu, siku hizi mnachomekwa na wazazi wenu vyuoni hata kama hamna sifa. Ukifeli nenda kwenye NGOs.


 
Ni kweli mkuu,kuna madaktari sasa hivi wanagraduate ila ni majanga matupu.

Bora mitihani iwepo maana huko vyuoni kazi ni kuiba mitihani tu na kwa watoto wa kike ndio basi tena,wanabebwa kwa gharama ya ngono
Hatujakataa mitiani ? Je wajua enzi na enzi dr in intern ship wanapofanyia KAZI huwa wanaweza bakishwa kwenye idara Kama hajafanya vizuri ? Mda wa intern ni mwaka mmoja ila unajua huko kwenye field Kuna watu huchelewa kumaliza intern? ,Why ? Je wajua huko intern watu hupewa passmark? Sasa naomba MCT waseme majukum yao ni yapi , na KWA nini pesa iyo inayotumika tunga mitiani, saisha mitiani wasiwape Machief kwenye hospital husika ambao wanakaa nao hao intern KILA siku ,KILA saa , maana umalizapo intern pale ulipo bado wanapewa vyeti, Sasa MCt katika hili KAZI yao ni ipi? Kama sio ufisadi,na ukiritimba tu,

Tunajua mengi ndani ya WIZARA ya afya,pengine nidanganya sio WIZARA hii ya afya nasema mkuu
 
KWa iyo ina maana gani Kama Sio kuhujum uchumi, maana vijana wanadaiwa pesa huko bord lini wataanza kuzirejesha ? Maana mtu anabaki ameshikili cheti tu maana yake hawezi ajirika popote, maana yake NIKUWEKA Cheti kabatin na kuendesha bajaji, MCT ni kwamba hawajui serikali imewekeza pesa NYINGI KWa Hawa vijana? Na Sio chin mil 30, KWa KILA kijana, pesa hizi ni kodi za WATANZANIA

Hawa ni wahujum uchumi wengine, yani tz kila taasisi IMEKUA kambare ,wanafanya Mambo ya ajabu ajabu bila kupima effect
Haiwezi kuwa uhujumu uchumi..ni sawasawa na kusema watu wanaopata mkopo chuo wasidisco kisa wanamkopo
 
Tatizo wa vyuo vya kata wamekuwa wengi sana, na kichwani ni empty, hatuwezi kuruhusu mambumbumbu kuja ku deal na maisha yetu kirahisi hivo. Big up MCT , tena hiyo mitihani iwe nondo kweli.
 
Haiwezi kuwa uhujumu uchumi..ni sawasawa na kusema watu wanaopata mkopo chuo wasidisco kisa wanamkopo
Hapa unazungumzia vitu viwili tofauti Sana mkuu, mama akibeba mimba ikatoka ni bahati mbaya, ila akijifungua salama lazima mtoto atunzwe KWa wivu mkubwa Sana.
Sio kwamba amezaliwa tena katika mazingira Magum alafu ukamnyoge, au mtupe chooni, big no

Hivyo kila Jambo linatatuliwa kulingana na umuhim wake ,yule kadisco ,hii ni product tiyari ,mfano unamwambia anezaliza unga wa ngano pamoja na reject zote mpaka anapata unga wa kupeleka sokoni ,akautupe ziwani au aweke gereda ikanyagekanyage ,utakua ni ujinga wa kiwango cha juu
 
Tatizo wa vyuo vya kata wamekuwa wengi sana, na kichwani ni empty, hatuwezi kuruhusu mambumbumbu kuja ku deal na maisha yetu kirahisi hivo. Big up MCT , tena hiyo mitihani iwe nondo kweli.
Aisee umeandika Kama ni mmojawapo wa MCT, sikia medicine sio theory zenu, medicine KILA siku unajifunza , medicine hakuna anaejua KILA kitu, medicine tunafundishana bila kujali una level gani, medicine exposure ni Jambo muhim kuliko yote ,

Changia KWa adabu , nitajie ni vyuo gani vya kata vyatoa MD, LAKIN pia Kama ulimanisha shule za kata ,WEWE ni mpumbavu kwamba mtoto toka shule za kata inamuondelea uhalali wa akili zake , so wamanisha ukisoma shule za kata ni mbulula? Basi Kama kweli Ili ni tusi kubwa KWa serikali,

Huna adabu kabisa
 
Tatizo wa vyuo vya kata wamekuwa wengi sana, na kichwani ni empty, hatuwezi kuruhusu mambumbumbu kuja ku deal na maisha yetu kirahisi hivo. Big up MCT , tena hiyo mitihani iwe nondo kweli.
 
Tatizo wa vyuo vya kata wamekuwa wengi sana, na kichwani ni empty, hatuwezi kuruhusu mambumbumbu kuja ku deal na maisha yetu kirahisi hivo. Big up MCT , tena hiyo mitihani iwe nondo kweli.
Sasa unadhani mtihani wa siku moja unaweza kupima hilo?..

Big No.
 
Tatizo wa vyuo vya kata wamekuwa wengi sana, na kichwani ni empty, hatuwezi kuruhusu mambumbumbu kuja ku deal na maisha yetu kirahisi hivo. Big up MCT , tena hiyo mitihani iwe nondo kweli.
WEWE hujui kitu na hujui afya tz imetokea wapi, Kama upo MCT Basi umebebwa na mjomba ,shangazi , kaka, baba nk, Unajua Amo , ndo wametufundisha KAZI , Hawa ndo wale waliokua wanamaliza CO, na kuchukua advance diploma, Hawa ndo wengi waliact Kama surgeon, nk katika idara tofauti, hapa namkumbuka Dr Amata, n.k waliokua G/ Dodoma KWa KAZI yao iliyotukuka na wamenifundisha KAZI Sana, leo wabwabwaja tu hujui lolote ni wakuja tu kwenye furn hii,

Acheni tetea ujinga Kisa upo hapo , Kuna watu hawakuwa Md ila wameifikisha WIZARA ya afya ulipo ikuta WEWE, unakua na mawazo ya kijinga Sana, kabla ya kuzungumzia lolote juu ya sector hii , kaa chini tafakari,

So Kipindi hicho wizi ,ulaghi , ukiritimba wa MCT Kama wa Sasa ulikuepo?

Nani amekwambia medical student anamaliza chuo anajua KILA kitu ? In medicine mengi unayapata ukiwa field , hasa wakati wa intern ,hujui kitu kaa kimiya kuliko onyesha upumbavu wako ndani ya umma wa jf

Waulize mawaziri wa afya wakueleweshe Kama unacho ongea sio ujinga maana wamepitia huko
 
Sina mengi ,kwanza niwasalimu, wanajf popote mlipo, KILA mmoja KWa imani yake.

Pili niende kwenye mada moja kwa moja

Tanzania tunavyama vingi Kama sio utitiri vinanvyo simamia taaluma flani flani ,nk, ila leo nimejikite KWa Hawa MEDICAL COUNCIL OF TANGANYIKA (MCT).

Binafsi Kama baba na mlezi ambae nimepitia Iyo taaluma na kusonga mbele, ningependa ( MCT) mnipe majibu.

Taaluma manayosimamia najua mnaijua vizuri,ndo maana mpo apo,mnajua pamoja na intern inachukua miaka sita shule kumalizika ,inayojumlisha mafunzo ya vitendo na theory ilo Sina shaka kabisa kwamba hamjui.

Enzi zetu hatukua na post intern exam, japo ni hivi karibuni mlianzisha ,binafsi Sina shida na Hili ,WENDA lego lenu nikumpima uyu Dr nini amejifunza zaidi, japo sion logic yoyote ,kwani alipo kule si ana waangalizi wake kwenye hospital aliyopo, Sasa unampa mtiani umemfundisha nini badala ya mtiani kupewa pale Hospital alipofanyia intern.

NAOMBA JIBUN ILI PIA
Hamjatosheka Sasa nasikia mmekuja na kitu kinaitwa pre intern Exam , kwamba vijana wamemaliza masomo ya miaka mitano, walim wao ,vyuo vimejiridhisha kwamba wako vizuri na wamefaulu nyie ndo ,mwajifanya kutoamini vyuo vyao, walim wao ,kwamba mnatoa mtiani wa kuwapima tena Ili waende intern, ebo nyie vipi ,kuzalisha ukiritimba mpaka kwenye maisha ya watu,
Nyie mlioko hapo na kugawana posho mlifanyiwa hivi?

1.Sasa toeni majibu Iyo pre intern exam KWa awa vijana impact yake ni ipi, ?

2.Alafu naomba mtueleze KWa uwazi majukum yunu yawe wazi msije kua mnaingilia mpaka KAZI za TCU, maana nimeona kijana wangu KILA kukicha anaomba pesa ,nikiuliza ya nini naenda kuverify vyet vya form 4, 6, Ili nitume maombi MCT Ili kufanya mtiani

Swali
KWa Iyo nyie mmejigeuza TCU iliyomdahili uyu mwanafunzi kwenye chuo chake, akapata na mkopo bord, asilimia 100, leo wewe unataka vyeti vya nyuma Ili iweje?
2. Awa vijana mnaowachelewesha KWa ukiritimba tu ,badala waende intern wamalize wapate pa kujiegesha, Ili kuanza angalau rejesha pesa walizokopa ,Ili iwasaidie vijana wengine ,je mnaona mnawatendea haki watanzania ,na Kama sivyo KWa nini muendelee kalia viti hivyo

Mwisho naomba MCT mlete maji live , vinginevyo nitajua Kuna kitu nyuma ya pazia ambacho mnapitia mlango wa nyuma kukifanikisha KWa malengo YENU
Baba umeweka nondo zilizoenda shule!! Usitegemee mchumia tumbo yeyote wa MCT kutia mguu hapa kujibu nondo hizi za moto!!
Mct wanachofanya ni ubunifu wa kupata pesa!! Wanatafuta pesa kuanzia kwa clinical assistant hadi kwa super specialist!! Ni ubunifu wa kupiga pesa bila kujali maumivu na usumbufu wanaosababisha!!! Baba ukisubiri majibu hapa utasubiri sana!! La msingi ni wahusika kuweka pingamizi la mitihani hii mahakamani!! Pre-interns exam na post interns exam ni batili. Walimu wao wakithibitisha kuwa mwanafunzi amefuzu baada ya miaka 5 inatosha!! Na waliokuwa wanasimamia interns wakisema wamefuzu inatosha!!
 
Huu mfumo wa kureniew Kwa CPD sijui binafsi siuafiki basi tu. namfikiria jamaa yangu yupo rukwa huko anaendesha bajaji ana miaka miwili saiv kazi hana anakusanya vipi hizo points??? baadhi ya vitu ni vya ajabu sana.

Nawajua wataalamu kibao wa lab ngazi ya degree waliopo mtaani ...hawa hizo CPD watazifanyia wapi pindi walitaka kureniew hizo leseni? Yaani sina kazi ,na hakuna dalili ya kuajiriwa ..halafu hiyo hela kidogo nayopata Kwa kupambana mtaani nikahudhurie training kisa kureniew leseni ....aah wap

ingekua better mfumo huo WA kureniew uanze kumkaba mtu akishaingia kwenye system ....japo shida nyingine huwez mtoa mtu kwenye ajira kisa hajareniew leseni na wataalamu wengi huwa hawarenew humo makazini.
Hata MCT wameshaleta huo upuuzi wa CPD!! Ni loophole ya rushwa tu wala hakuna chochote!! Japo kwa sasa bado hawajaanza kukomalia CPD ila tayari huo utaratibu wameuweka. Ilì urenew leseni wanataka cpd point 20!!! Ni ubunifu wa kupiga pesa!! Mtu anaanzisha kakozi ka ovyo ovyo ili atoe cpd na watu wanajiandikisha ka kozi hako hako kwa malipo!! Si wanatakz cpd? Lakini ni wizi na uonevu wa hali ya juu!!
 
Baba umeweka nondo zilizoenda shule!! Usitegemee mchumia tumbo yeyote wa MCT kutia mguu hapa kujibu nondo hizi za moto!!
Mct wanachofanya ni ubunifu wa kupata pesa!! Wanatafuta pesa kuanzia kwa clinical assistant hadi kwa super specialist!! Ni ubunifu wa kupiga pesa bila kujali maumivu na usumbufu wanaosababisha!!! Baba ukisubiri majibu hapa utasubiri sana!! La msingi ni wahusika kuweka pingamizi la mitihani hii mahakamani!! Pre-interns exam na post interns exam ni batili. Walimu wao wakithibitisha kuwa mwanafunzi amefuzu baada ya miaka 5 inatosha!! Na waliokuwa wanasimamia interns wakisema wamefuzu inatosha!!
Nimekuelewa Sana mkuu , Mambo huanza taratibu then yanasonga usijali , ILIHALI najua maana ya taaluma hii najua , lenye mwanzo lina mwisho ipo siku tutakua mfano wa vyama vingine hasa idara ya afya, na vyama vingine vya kitaaluma, KWANZA watuambie majukum yao ni yapi,? Hatuwezi kuwa twaburuzwa kijinga Zama hizi,
 
Hata MCT wameshaleta huo upuuzi wa CPD!! Ni loophole ya rushwa tu wala hakuna chochote!! Japo kwa sasa bado hawajaanza kukomalia CPD ila tayari huo utaratibu wameuweka. Ilì urenew leseni wanataka cpd point 20!!! Ni ubunifu wa kupiga pesa!! Mtu anaanzisha kakozi ka ovyo ovyo ili atoe cpd na watu wanajiandikisha ka kozi hako hako kwa malipo!! Si wanatakz cpd? Lakini ni wizi na uonevu wa hali ya juu!!
Sory mkuu naomba kirefu Cha CPD
 
Sory mkuu naomba kirefu Cha CPD
CPD = CONTINUOUS PROFESSIONAL DEVELOPMENT. Wanaleta mfumo wa eti kujiridhisha kuwa huyh daktari huwa anajiendeleza. Wanaandaa vikozi ambavyo mtu akishiriki anapewa point kadhaa. Hizo pointi lazima zifike 20 ili wakubali ku-renew leseni yako ya ku-practice kama daktari. Wajanja wanajitokeza wanaandikishwa na kusajiliwa (kwa pesa ndefu) huko mct kama taasisi zenye vibali vya kuendesha semina na kozi zinazopelekea mtu kupata cpd points kadhaa!! Kozi zingine wajanja wanaendesha online wanapiga pesa na wewe wanàkupa cpd points kadhaa!! Ukiangalià hivyo vikozi viko shallow sana!! Afadhali zile clinical meetings zingetumika watu kupata hizo cpd points!! Hzkuna anayeweza kukataa kuwa clinical meetings huchangia sana hiyo professional development endelevu!!
 
A
WEWE hujui kitu na hujui afya tz imetokea wapi, Kama upo MCT Basi umebebwa na mjomba ,shangazi , kaka, baba nk, Unajua Amo , ndo wametufundisha KAZI , Hawa ndo wale waliokua wanamaliza CO, na kuchukua advance diploma, Hawa ndo wengi waliact Kama surgeon, nk katika idara tofauti, hapa namkumbuka Dr Amata, n.k waliokua G/ Dodoma KWa KAZI yao iliyotukuka na wamenifundisha KAZI Sana, leo wabwabwaja tu hujui lolote ni wakuja tu kwenye furn hii,

Acheni tetea ujinga Kisa upo hapo , Kuna watu hawakuwa Md ila wameifikisha WIZARA ya afya ulipo ikuta WEWE, unakua na mawazo ya kijinga Sana, kabla ya kuzungumzia lolote juu ya sector hii , kaa chini tafakari,

So Kipindi hicho wizi ,ulaghi , ukiritimba wa MCT Kama wa Sasa ulikuepo?

Nani amekwambia medical student anamaliza chuo anajua KILA kitu ? In medicine mengi unayapata ukiwa field , hasa wakati wa intern ,hujui kitu kaa kimiya kuliko onyesha upumbavu wako ndani ya umma wa jf

Waulize mawaziri wa afya wakueleweshe Kama unacho ongea sio ujinga maana wamepitia huko
AMO walifundishwa na MDs ficha ujinga basi. Mimi sio daktari lakini huwezi kunidanganya kiasi hiki. Bwege wewe utakuwa haohao wa vyuo vya kata. Internship sio field we pimbi. We kwanza kama ni daktari huna akili na hukupaswa kuwa.
 
A

AMO walifundishwa na MDs ficha ujinga basi. Mimi sio daktari lakini huwezi kunidanganya kiasi hiki. Bwege wewe utakuwa haohao wa vyuo vya kata. Internship sio field we pimbi. We kwanza kama ni daktari huna akili na hukupaswa kuwa.
Sasa KWa sababu wateswa na laana ya ukoo wako ,sikia
Nakufuta pande zote za Dunia, kusini,mashariki , magharibi na kaskazin, nakufuta kuanzia familia YAKO, majirani , ,nakufuta anzia unywele wako mpaka kidole chako za mwisho, mpaka utakapo tubu KWa imani YAKO , na kutoa laki moja ,mia tano KWa KILA maskini Alie Barabarani mpaka laki kuisha ,na imekua
 
A

AMO walifundishwa na MDs ficha ujinga basi. Mimi sio daktari lakini huwezi kunidanganya kiasi hiki. Bwege wewe utakuwa haohao wa vyuo vya kata. Internship sio field we pimbi. We kwanza kama ni daktari huna akili na hukupaswa kuwa.
Nimeisha kupa ujira wako ,unapo post kwangu post KWa adabu, najua namanisha nini, tulikua, tupo na Mungu anajua tupo viwango gani , watu Kama Nyie nawapena Sana , siku jamii ijifunze na imekua
 
Back
Top Bottom