DENG XIAOPING
JF-Expert Member
- Mar 6, 2022
- 2,396
- 2,598
Hakuna mahali mimi nilipo sifia mauaji, ndio maana utawala wa CCM nimeuita utawala mbovu.Kwahiyo inapendeza zaidi wakikuua mafichoni!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna mahali mimi nilipo sifia mauaji, ndio maana utawala wa CCM nimeuita utawala mbovu.Kwahiyo inapendeza zaidi wakikuua mafichoni!
Sawa.Hakuna mahali mimi nilipo sifia mauaji, ndio maana utawala wa CCM nimeuita utawala mbovu.
1919 hata Tanzania haikuwepo.mgewezaje kuwa mbali?Mimi sio mtaalamu wa historia, ila kwa historia yangu ndogo niliyopata O-level ninaamini Tanganyika chini ya Ujerumani ingekuwa Taifa kubwa sana hapa Afrika zaidi ya hapa ilipo leo. Waliotuharibia walikuwa Waingereza waliokabidhiwa taifa leo. Hatukupaswa tuwe marafiki na waingereza. They were hopeless.
Nafikiria jinsi Ujerumani ilivyoendelea. Jinsi wajerumani wanavyofanya kazi kwa bidii. Nafikiria infrastructures walizojenga ambazo hadi sasa zinadumu. Hebu fikiria reli zetu. Hivi Tanganyika leo tungekuwa wapi tungeendelea kutawaliwa na waingereza. Naamini wangetunyorosha akili zetu - Tungekuwa mbali sana kifikra, kiuchumi na tusingekuwa wavivu kama sasa. Hofu yangu kubwa ni labda kukosa uwezo wa kumiliki ardhi. Lakini ardhi ya nini wakati mataifa yenye barafu kama Ukraine na Russia bado tunategemea toka kwao Chakula.
Tukumbuke tu kwamba kabla Ujerumani haijanyang'anywa eneo lake lililohusisha Tanganyika tarehe 7 Mei 1919, na kupewa Uingereza, eneo la maziwa makuu tulikuwa chini ya himaya iliyoitwa German East Africa (GEA) lilokuwa ni eneo linalohusisha nchi za sasa za Tanganyika, Burundi, Rwanda, na sehemu ndogo ya Msumbiji huku makao yake yakiwa Bagamoyo (1885–1890) kisha yakahamia Dar es Salaam (1890–1916) na kwa muda mfupi yakaenda Tabora (1916).
Mwingereza alituharibia sana.
Steve Nyerere, Yericko Nyerere au Makongoro Nyerere ?Nyerere ndie aliyetuharibia Nchi na ndie aliyepanda mbegu za uharibifu.
Waingereza sio watukwa ujumla Ujerumani ni watu wenye kufanya vitu kwa malengo ya muda mrefu.
Natumaini nchi au taifa lenye maendeleo makubwa pale ulaya Ujerumani haipungui kuwa ya 3.
Nina ushuhuda mimi binafsi kuna sehemu na fanya kazi, hapo Ujerumani wana uwekezaji wao kupitia jimbo la hamburg vitu wavyofanya, wanavyoleta si vya leo wala kesho bali ni vya kesho kutwa na kuendelea , wao hawana interest yoyote wanayo pata kwa uwekezaji huo bali charity tu.
Mtoa mada umeelezea kitu cha muhimu mno na chenye msingi wa aina yake, kuna tofauti kubwa mno kati ya Uingereza na Ujerumani kwenye swala la maendeleo ya moja kwa moja.
OkHistoria ni nzuri sana, ukitaka ufurahie zaidi, jaribu kutembelea kituo cha Dr Livingstone Tabora, utajifunza mengi
Mashule / vyuo , barabara , hospital na mahuduma yote yalianzishwa na mkoloni na hadi leo zinatumikahakuna mkoloni mwenye unafuu wote walikuja Kwa ajili ya Mali ghafi na si kukuboreshea maisha.
Unapenda sana ukoloni na utumwa ?Mashule / vyuo , barabara , hospital na mahuduma yote yalianzishwa na mkoloni na hadi leo zinatumika
Mi naona kungekuwa na ufadhali wa maisha ktk nchi za Afrika Kama mkoloni angebaki kutawala
Kama itatufanya usiwe jobless , upate huduma za kijamii na kutokua na rushwa bora uwepoUnapenda sana ukoloni na utumwa ?
Kiwango cha watu kutokujua kusoma kilikuwaje Tanzania pindi wakoloni walivyoondoka? Na uwiano WA mgawanyo WA huduma za afya ulikuwaje wakati WA ukoloni na baada ya Sisi kujitawala wenyewe.Mashule / vyuo , barabara , hospital na mahuduma yote yalianzishwa na mkoloni na hadi leo zinatumika
Mi naona kungekuwa na ufadhali wa maisha ktk nchi za Afrika Kama mkoloni angebaki kutawala
Jibu swali unapenda ukoloni na utumwa ?Kama itatufanya usiwe jobless , upate huduma za kijamii na kutokua na rushwa bora uwepo
Pale Kilimanjaro Kuna shamba la kahawa la mzungu linalowapa kazi watu zaidi 7000 ,tokea miaka ya utumwa Hadi leo. Najiuliza Kama nikutegemea serikali kungeweka fursa Kama hizi au kuicha jamii ifie mbali
Unauliza kama nani?Jibu swali unapenda ukoloni na utumwa ?
(a) Ndio
(b) Hapana
Mbona ni swali jepesi tu lenye kuhitaji jawabu la ndio au hapana au limekuwa swali gumu kwako?Unauliza kama nani?
Ukimya nalo ni jibu la utumwa maomboleo