Sos21
JF-Expert Member
- Jul 25, 2021
- 507
- 2,183
Hakuna aliyebora...wote wametapakaa damu za wasio na hatiaHuijui Ujerumani wewe. Kaulize kule Namibia na nchi zote ambazo Ujerumani ilitawala, ukimaliza hapo linganisha na nchi zilizotawaliwa na Uingereza tangu mwanzo. Bora Mfaransa kuliko Mjerumani, bora Mwingereza kuliko Mfaransa, kamwe usitawalike na Mbelgiji
Sent from my LG-M200 using JamiiForums mobile app