Mei 7, 1919 Vita ya Kwanza Duniani ilituharibia sana, Tanzania tungekuwa mbali sana

Hakuna aliyebora...wote wametapakaa damu za wasio na hatia

Sent from my LG-M200 using JamiiForums mobile app
 
Tabora au Kigoma?
Tabora; eneo ambalo waarabu walikuwa wakikusanya watumwa na kuwapeleka bagamoyo; baadaye mwarabu akampokea Dr. Livingstone kama mgeni, na mwishowe mwarabu akatelekeza mji kutokana na hofu ya biashara ya utumwa.​
 
Na kumchukua Azori mbele ya mkewe mjamzito kisha kwenda kumuua, na kumlipua kwa bomu mwandishi wa habari katikati ya askari, ipi bora viboko au kifo.
Ahahaha nimecheka ila jins ulivyo ibua swala la azory gwanda


Mm nadhani swla hili aukizwe alikuwa wazir wa maswla ya kigeni bwan professor. Kabudi anjuwa vzr kilichotokea

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…