Desprospero
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 1,015
- 2,493
Ni mzima anachapa kazi kwani mlitaka kumuona kila mahali?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BAGAMOYO,TANGA, MKURANGATaja Moja kama wewe ni mkweli.
Fuatilia kinachojiri kwenye Maadhimisho ya siku ya Mei Mosi Kitaifa, Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Arusha, leo Mei 1, 2024
Fuatilia kinachojiri kwenye Maadhimisho ya siku ya Mei Mosi Kitaifa, Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Arusha, leo Mei 1, 2024
Kuna Mengi Sana Na Waswahili Wanasema Nyama Ya Usiku HainoniWhy RAISI kakacha?
😀😂Mpiga mwingi kaingia mitini ujue hakuna kitu hapo hadi mwenyewe anaona aibu kusimama mbele za watu.
Wese mkoa kwa sasa ni 3500/lita na hakuna hata mpango wakayaondoa hayo makodi.
Ahahahahaha!!!!BAGAMOYO,TANGA, MKURANGA
Hahahaha walimu nao kuchukulia kazi yao kama wito ndiyo maana maslahi yao hucheleweshwa, watabaki vivyo hivyoMtoto wangu wa darasa la Saba nimemwambia usiende shuleni Leo,baadhi ya wilaya za Tanzania zimewaambia walimu waendelee kufundisha siku Yao ya wafanyakazi
Anataka kuwachosha wafanyakazi wasiwezi hata kufikiria maslahi yaoHuyu MC anawatesa sana hawa wafanyakazi, kukimbizana ndo nini
Are you sure?Why RAISI kakacha?