Mwigulu mchumi nguli yule hata maprof wa uchumi wanamwogo akitoa hoja za kiuchumi hakuna mwenye ubavu wa kumkosoa kama ilivyo kwa lisu hakuna prof wa sheria wa kumkosoa. Lisu ana div one ya pont tatu HGL mwingulu and division one ya pont tatu EGM wote wawili wamesoma ilborouKumekucha Arusha naona mwitikio mkubwa wa wafanyakazi je! Wamelazimishwa?(tetesi) na je kama ni Kwa hiari yap wanamategemeo Gani? Sina hakika kama Kuna jipya maana Kwa mara ya kwanza mgeni rasmi(rais) kaingia mitini,makamo Hana maamuzi ya papo Kwa hapo ataahidi kumfikishia ujumbe rais(changa la macho)yetu macho.Alafu nyuma ya makamo nawaona mawaziri akiwemo mwigulu alivyo siriaz utadhani anauchungu na nchi hii,kumbe "fisi"
Tupe uhusiano wa div one na uongozi,bashite ana div ngapi maana amejaza uwanja leoMwigulu mchumi nguli yule hata maprof wa uchumi wanamwogo akitoa hoja za kiuchumi hakuna mwenye ubavu wa kumkosoa kama ilivyo kwa lisu hakuna prof wa sheria wa kumkosoa. Lisu ana div one ya pont tatu HGL mwingulu and division one ya pont tatu EGM wote wawili wamesoma ilborou
Hoja za bashite hata std one anamzidi. Hii ndo tofauti kati ya usomi na uzwazwa. Halafu mtu nwenye shule ya kubahatisha lazima afe haraka kama jpm mana hafit kwa lolote ispokuw nguvu tuTupe uhusiano wa div one na uongozi,bashite ana div ngapi maana amejaza uwanja leo
Daaah!Kuna tatizo Gani mheshimiwa RAISI asiwepo?
Tusha DUMULWAUkiona Rais kakimbia ndio mjue ni Yale Yale tu.
Hoja za Musukuma nazo unazisemaje?Hoja za bashite hata std one anamzidi. Hii ndo tofauti kati ya usomi na uzwazwa. Halafu mtu nwenye shule ya kubahatisha lazima afe haraka kama jpm mana hafit kwa lolote ispokuw nguvu tu
Hanaga hoja hata moja ispokuwa comedy. Ukimweka pamoja na lisu au mwigulu atakimbia yuleHoja za Musukuma nazo unazisemaje?
Huwezi jua,labda atapigiwa simu.Tatizo lipo sana Huwa risala ya wafanyakazi huweza badili mawazo ya mgeni rasmi(rais) ila si mwingine yeyote
Makamo hawezi pewa hayo mamlaka na hata akipewa atasema tu hapo uwanjani kuufarahisha imma baada ya hapo Pini kama Kawa,nchi ya ajabu sana.Huwezi jua,labda atapigiwa simu.
Ama katoa ruhusa kwa makamu kuupiga mwingi kadiri atakavyoona😃😃
Labda ni injection ya Lisu dawa bado inapenyaKwa mara ya kwanza mgeni rasmi(rais) kaingia mitini,makamo Hana maamuzi ya papo Kwa hapo ataahidi kumfikishia ujumbe rais(changa la macho)yetu macho.
Wadudu nao wapoKumekucha Arusha naona mwitikio mkubwa wa wafanyakazi je! Wamelazimishwa?(tetesi) na je kama ni Kwa hiari yap wanamategemeo Gani?
Sina hakika kama Kuna jipya maana Kwa mara ya kwanza mgeni rasmi(rais) kaingia mitini,makamo Hana maamuzi ya papo Kwa hapo ataahidi kumfikishia ujumbe rais(changa la macho)yetu macho.
Halafu nyuma ya makamo nawaona mawaziri akiwemo mwigulu alivyo siriaz utadhani anauchungu na nchi hii,kumbe "fisi"