Mei Mosi Kitaifa jijini Arusha na vioja vyake

Mei Mosi Kitaifa jijini Arusha na vioja vyake

Makonda Kufanikiwa Kuwaongoza wadudu na kuwafanya Watii Serkali Inabidi wampe Honorary PhD kwa leo hii Nimemkubali Aisee wadudu ilikuwa vigumu sana kuwaongoza na kuwafanya wakutii
Lucas Mwashambwa
Na bila wadudu leo hapanogi,Kwa bashite kaupiga mwingi sana ngoja tuone onesho la makonda na wadudu hapa Amri Abeid.
 
🙄 DUH ASEE MBONA HII HATARI NA MAUMIVU MAKUBWA
 
Kumekucha Arusha naona mwitikio mkubwa wa wafanyakazi je! Wamelazimishwa?(tetesi) na je kama ni Kwa hiari yap wanamategemeo Gani?

Sina hakika kama Kuna jipya maana Kwa mara ya kwanza mgeni rasmi(rais) kaingia mitini,makamo Hana maamuzi ya papo Kwa hapo ataahidi kumfikishia ujumbe rais(changa la macho)yetu macho.

Halafu nyuma ya makamo nawaona mawaziri akiwemo mwigulu alivyo siriaz utadhani anauchungu na nchi hii,kumbe "fisi"
Kwamba uamuzi wa kutangaza nyongeza ya mishahara rais huwa anatangaza hapo uwanjani kama surprise, na sio jambo linalojadiliwa kwanza? Hizo sherehe hapo zimepata kiki kwakuwa mpenda sifa Makonda yuko hapo.
 
Kumekucha Arusha naona mwitikio mkubwa wa wafanyakazi je! Wamelazimishwa?(tetesi) na je kama ni Kwa hiari yap wanamategemeo Gani?

Sina hakika kama Kuna jipya maana Kwa mara ya kwanza mgeni rasmi(rais) kaingia mitini,makamo Hana maamuzi ya papo Kwa hapo ataahidi kumfikishia ujumbe rais(changa la macho)yetu macho.

Halafu nyuma ya makamo nawaona mawaziri akiwemo mwigulu alivyo siriaz utadhani anauchungu na nchi hii,kumbe "fisi"
wadudu wameona wasimwangushe bashite
 
Dah nilitaka kutoka huku kijiji nkamuone live basi tena huenda Mungu alitaka hii nauli nipeleke mahala pengine🔥
 
Wafanyakazi wapi hao waliojaa
Kumekucha Arusha naona mwitikio mkubwa wa wafanyakazi je! Wamelazimishwa?(tetesi) na je kama ni Kwa hiari yap wanamategemeo Gani?

Sina hakika kama Kuna jipya maana Kwa mara ya kwanza mgeni rasmi(rais) kaingia mitini,makamo Hana maamuzi ya papo Kwa hapo ataahidi kumfikishia ujumbe rais(changa la macho)yetu macho.

Halafu nyuma ya makamo nawaona mawaziri akiwemo mwigulu alivyo siriaz utadhani anauchungu na nchi hii,kumbe "fisi"
 
Mwigulu mchumi nguli yule hata maprof wa uchumi wanamwogo akitoa hoja za kiuchumi hakuna mwenye ubavu wa kumkosoa kama ilivyo kwa lisu hakuna prof wa sheria wa kumkosoa. Lisu ana div one ya pont tatu HGL mwingulu and division one ya pont tatu EGM wote wawili wamesoma ilborou
Kwahiyo 1.3 ndo hakikisho la utendaji Bora wa kuleta mabadiliko katika nchi?
 
Back
Top Bottom