Mei Mosi Kitaifa jijini Arusha na vioja vyake

Mei Mosi Kitaifa jijini Arusha na vioja vyake

Kumekucha Arusha naona mwitikio mkubwa wa wafanyakazi je! Wamelazimishwa?(tetesi) na je kama ni Kwa hiari yap wanamategemeo Gani?

Sina hakika kama Kuna jipya maana Kwa mara ya kwanza mgeni rasmi(rais) kaingia mitini,makamo Hana maamuzi ya papo Kwa hapo ataahidi kumfikishia ujumbe rais(changa la macho)yetu macho.

Halafu nyuma ya makamo nawaona mawaziri akiwemo mwigulu alivyo siriaz utadhani anauchungu na nchi hii,kumbe "fisi"
Acheni ushambenga, Rais ni binadamu. Hamtafanikiwa na maupuuzi yenu hayo
 
Mwigulu mchumi nguli yule hata maprof wa uchumi wanamwogo akitoa hoja za kiuchumi hakuna mwenye ubavu wa kumkosoa kama ilivyo kwa lisu hakuna prof wa sheria wa kumkosoa. Lisu ana div one ya pont tatu HGL mwingulu and division one ya pont tatu EGM wote wawili wamesoma ilborou
Chawa promax
 
Kumekucha Arusha naona mwitikio mkubwa wa wafanyakazi je! Wamelazimishwa?(tetesi) na je kama ni Kwa hiari yap wanamategemeo Gani?

Sina hakika kama Kuna jipya maana Kwa mara ya kwanza mgeni rasmi(rais) kaingia mitini,makamo Hana maamuzi ya papo Kwa hapo ataahidi kumfikishia ujumbe rais(changa la macho)yetu macho.

Halafu nyuma ya makamo nawaona mawaziri akiwemo mwigulu alivyo siriaz utadhani anauchungu na nchi hii,kumbe "fisi"
Umenifanya nicheke kwa sauti hiyo paragraph ya mwisho,,
 
Hakuna ngonjera na mashairi? [emoji23][emoji23][emoji23]
Au wanaovunja matofali na vichwa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
poleni sana watumishi wa umma, hasa walimu maana nyinyi wakati wa uchaguzi ndio mnawasaidia kuiba kura nyinyi mna sehemu yenu motoni.
 
Mwigulu mchumi nguli yule hata maprof wa uchumi wanamwogo akitoa hoja za kiuchumi hakuna mwenye ubavu wa kumkosoa kama ilivyo kwa lisu hakuna prof wa sheria wa kumkosoa. Lisu ana div one ya pont tatu HGL mwingulu and division one ya pont tatu EGM wote wawili wamesoma ilborou
Ilborou ndio kitu gani??

Mzee wangu kasoma Ilboru na Tabora boys same as to my brother ila bado wanaheshimu watu wengine kama kawaida.

Huwezi puuza maoni ya wengine kisa eti umesoma Ilboru??
 
Kwa lipi lisu anamzidi mchumi nguli. Kimbuka sheria kila mtu anawez kusoma lakini siyi uchumi. Sheria ngwini wote wanakillmbilia huko. Lakini uchumi unahitaji pure mathematician
Una uhakika?Au ni ujuaji mwingi tu?
 
Back
Top Bottom