Hawa ni wasomi wanaofanya tafiti za kutosh siyo nyie wachawi na wanaomwamini mwamposa zero brain. Anatumia fikra finyu za watanzania kujitajirisha eti mtume na nabiiHuyo Lamark ni mungu wako?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa ni wasomi wanaofanya tafiti za kutosh siyo nyie wachawi na wanaomwamini mwamposa zero brain. Anatumia fikra finyu za watanzania kujitajirisha eti mtume na nabiiHuyo Lamark ni mungu wako?
Kuna bajaji mia nne zinapita sasa hivi hapa zinamilikiwa na wadudu.Issue ya kujaa wafanyakazi is no big deal, nadhani unajua watumishi wanalipwa posho kwa taratibu za kawaida wanapohudhuria huko. Pia baadhi ya idara ziko huko zaidi ya wiki moja iliyopita.
Unategemea mahudhurio yawe hafifu Mkuu?
Well SpokenKumekucha Arusha naona mwitikio mkubwa wa wafanyakazi je! Wamelazimishwa?(tetesi) na je kama ni Kwa hiari yap wanamategemeo Gani?
Sina hakika kama Kuna jipya maana Kwa mara ya kwanza mgeni rasmi(rais) kaingia mitini,makamo Hana maamuzi ya papo Kwa hapo ataahidi kumfikishia ujumbe rais(changa la macho)yetu macho.
Halafu nyuma ya makamo nawaona mawaziri akiwemo mwigulu alivyo siriaz utadhani anauchungu na nchi hii,kumbe "fisi"
Kwani hao wadudu walikuwa na kazi gani.Hebu ninaomba unipe hints kidogo kuhusu hao the so called wadudu.Makonda Kufanikiwa Kuwaongoza wadudu na kuwafanya Watii Serkali Inabidi wampe Honorary PhD kwa leo hii Nimemkubali Aisee wadudu ilikuwa vigumu sana kuwaongoza na kuwafanya wakutii
Lucas Mwashambwa
Kumekucha Arusha naona mwitikio mkubwa wa wafanyakazi je! Wamelazimishwa?(tetesi) na je kama ni Kwa hiari yap wanamategemeo Gani?
Sina hakika kama Kuna jipya maana Kwa mara ya kwanza mgeni rasmi(rais) kaingia mitini,makamo Hana maamuzi ya papo Kwa hapo ataahidi kumfikishia ujumbe rais(changa la macho)yetu macho.
Halafu nyuma ya makamo nawaona mawaziri akiwemo mwigulu alivyo siriaz utadhani anauchungu na nchi hii,kumbe "fisi"
ITAKUWA NYAMA YA MBWAWafanyakazi tulie, nyama zipo chini
Angekuwepo ni yale yale unataka kumuona au unataka stahiki zetu wafanyakazi ziwe boraKuna tatizo Gani mheshimiwa RAISI asiwepo?
Acha kumlinganisha lisu, mtoe lisu hapo ni kumnyima heshima yakeMwigulu mchumi nguli yule hata maprof wa uchumi wanamwogo akitoa hoja za kiuchumi hakuna mwenye ubavu wa kumkosoa kama ilivyo kwa lisu hakuna prof wa sheria wa kumkosoa. Lisu ana div one ya pont tatu HGL mwingulu and division one ya pont tatu EGM wote wawili wamesoma ilborou
Kwa lipi lisu anamzidi mchumi nguli. Kimbuka sheria kila mtu anawez kusoma lakini siyi uchumi. Sheria ngwini wote wanakillmbilia huko. Lakini uchumi unahitaji pure mathematicianAcha kumlinganisha lisu, mtoe lisu hapo ni kumnyima heshima yake
Sawa.Hawa ni wasomi wanaofanya tafiti za kutosh siyo nyie wachawi na wanaomwamini mwamposa zero brain. Anatumia fikra finyu za watanzania kujitajirisha eti mtume na nabii
Wadudu ni kundi la vijana wasaniii wenye culture yao ya mavazi si wezi wala vibakaArusha ndiyo mkoa wenye wadudu. Hatari sana!!
Huku Katavi wadudu tunawaangamiza na dawa aina ya DDT lkn Arusha wadudu wanaongea na RC. Maajabu haya.
Mwanadamu unamwita mdudu, na unasema si vibaka! wale kwa muonekano wao wanaonekana vibaka.Wadudu ni kundi la vijana wasaniii wenye culture yao ya mavazi si wezi wala vibaka
LabdaKujiandaa wapi salon au
We unawajua wadudu wewe, wale sio wadudu, wale ni wasanii tuu wameiba jina la hao wahuni wadudu... Elewa hivyo... Na hapo chuga zile swagz zao hatuzipendiMakonda Kufanikiwa Kuwaongoza wadudu na kuwafanya Watii Serkali Inabidi wampe Honorary PhD kwa leo hii Nimemkubali Aisee wadudu ilikuwa vigumu sana kuwaongoza na kuwafanya wakutii
Lucas Mwashambwa
Hiyo tabia ya wadudu kutokuwa vibaka ama wezi imeanza baada ya Makonda kuwa RC wa Arusha?Wadudu ni kundi la vijana wasaniii wenye culture yao ya mavazi si wezi wala vibaka
MakondaKuna tatizo Gani mheshimiwa RAISI asiwepo?