Ndiyi. Plato(philosopher) said that someone who excels in the class is likely to excel in so many things.Kwahiyo 1.3 ndo hakikisho la utendaji Bora wa kuleta mabadiliko katika nchi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyi. Plato(philosopher) said that someone who excels in the class is likely to excel in so many things.Kwahiyo 1.3 ndo hakikisho la utendaji Bora wa kuleta mabadiliko katika nchi?
Ilboru Kuna EGM?Mwigulu mchumi nguli yule hata maprof wa uchumi wanamwogo akitoa hoja za kiuchumi hakuna mwenye ubavu wa kumkosoa kama ilivyo kwa lisu hakuna prof wa sheria wa kumkosoa. Lisu ana div one ya pont tatu HGL mwingulu and division one ya pont tatu EGM wote wawili wamesoma ilborou
Hawa ni wale washamba wanaovaa minguo kama vichaa, miviatu takataka halafu wanajiina ndio wajanja hapa mjini, wakati ni wachumba tu hawana la maanaSamahani mkuu hili neno lina maana gani? Nmesomasoma humu wadudu ,ina maanisha nini?
Oh sawa asanteHawa ni wale washamba wanaovaa minguo kama vichaa, miviatu takataka halafu wanajiina ndio wajanja hapa mjini, wakati ni wachumba tu hawana la maana
Ngoja tuendelee na mtoriWafanyakazi tulie, nyama zipo chini
Sasa mfumo wa hiyo elimu ya darasani una uhakika inakidhi hali halisi iliyopo mtaani kwa muhitimu kutumia elimu hiyo kuleta mabadiliko katika jamii yake?Ndiyi. Plato(philosopher) said that someone who excels in the class is likely to excel in so many things.
Arusha ndiyo mkoa wenye wadudu. Hatari sana!!Wadudu nao wapo
Lakini pia jumuisha na chawa wote nao wanaingia kwenye kundi hili la wadudu........ Hili neno baadae litachangia sana kuwasambaratisha kwa jinsi lilivyo na ukakasiOh sawa asante
🤣🤣🤣🤣Wabongo mkiwekewa moonshot na wasanii sjui wadudu ......kwishneyy
Ova
Ni bodaboda now days ndio wanaitwa wadudu....... So tuna chawa na wadudu😀Samahani mkuu hili neno lina maana gani? Nmesomasoma humu wadudu ,ina maanisha nini?
Mwongo mkubwa wewe. Mwigulu kasoma Ilboru O-level. Na advance kasoma Mazengo ambapo alipata div II. Huko UDSM ndo alipiga first class.Mwigulu mchumi nguli yule hata maprof wa uchumi wanamwogo akitoa hoja za kiuchumi hakuna mwenye ubavu wa kumkosoa kama ilivyo kwa lisu hakuna prof wa sheria wa kumkosoa. Lisu ana div one ya pont tatu HGL mwingulu and division one ya pont tatu EGM wote wawili wamesoma ilborou
Kujiandaa wapi salon auLabda mama bado anajiandaa, tumpe muda
Combination ganiMwongo mkubwa wewe. Mwigulu kasoma Ilboru O-level. Na advance kasoma Mazengo ambapo alipata div II. Huko UDSM ndo alipiga first class.
Ni upumbavu huuArusha ndiyo mkoa wenye wadudu. Hatari sana!!
Huku Katavi wadudu tunawaangamiza na dawa aina ya DDT lkn Arusha wadudu wanaongea na RC. Maajabu haya.
Hao wadudu ni watu ? au ni wadudu kweli? Kwahiyo mlitaka ahutubie wadudu?Kuna mdau anasema hapo wamejaa wadudu
Ova
Heinrich Hertz alifariki na miaka 37, alikuwa na shule ya kubahatisha?Hoja za bashite hata std one anamzidi. Hii ndo tofauti kati ya usomi na uzwazwa. Halafu mtu nwenye shule ya kubahatisha lazima afe haraka kama jpm mana hafit kwa lolote ispokuw nguvu tu
Ndiyo. Kwani hujui kama Lamark ameshasema kuwa if you are not fit you die ealier. Survival of the fittestHeinrich Hertz alifariki na miaka 37, alikuwa na shule ya kubahatisha?
Huyo Lamark ni mungu wako?Ndiyo. Kwani hujui kama Lamark ameshasema kuwa if you are not fit you die ealier. Survival of the fittest
Mwigulu mchumi nguli yule hata maprof wa uchumi wanamwogo akitoa hoja za kiuchumi hakuna mwenye ubavu wa kumkosoa kama ilivyo kwa lisu hakuna prof wa sheria wa kumkosoa. Lisu ana div one ya pont tatu HGL mwingulu and division one ya pont tatu EGM wote
Issue ya kujaa wafanyakazi is no big deal, nadhani unajua watumishi wanalipwa posho kwa taratibu za kawaida wanapohudhuria huko. Pia baadhi ya idara ziko huko zaidi ya wiki moja iliyopita.Kumekucha Arusha naona mwitikio mkubwa wa wafanyakazi je! Wamelazimishwa?(tetesi) na je kama ni Kwa hiari yap wanamategemeo Gani?
Sina hakika kama Kuna jipya maana Kwa mara ya kwanza mgeni rasmi(rais) kaingia mitini,makamo Hana maamuzi ya papo Kwa hapo ataahidi kumfikishia ujumbe rais(changa la macho)yetu macho.
Halafu nyuma ya makamo nawaona mawaziri akiwemo mwigulu alivyo siriaz utadhani anauchungu na nchi hii,kumbe "fisi"