DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Makonda Kufanikiwa Kuwaongoza wadudu na kuwafanya Watii Serkali Inabidi wampe Honorary PhD kwa leo hii Nimemkubali Aisee wadudu ilikuwa vigumu sana kuwaongoza na kuwafanya wakutiiTupe uhusiano wa div one na uongozi,bashite ana div ngapi maana amejaza uwanja leo
Anaweza kuwa kashapewa maagizo na Huenda mama samia Anafatilia Kila kinachoendelea So kwenye Hotuba atamwambia Aseme niniMakamo hawezi pewa hayo mamlaka na hata akipewa atasema tu hapo uwanjani kuufarahisha imma baada ya hapo Pini kama Kawa,nchi ya ajabu sana.
Na bila wadudu leo hapanogi,Kwa bashite kaupiga mwingi sana ngoja tuone onesho la makonda na wadudu hapa Amri Abeid.Makonda Kufanikiwa Kuwaongoza wadudu na kuwafanya Watii Serkali Inabidi wampe Honorary PhD kwa leo hii Nimemkubali Aisee wadudu ilikuwa vigumu sana kuwaongoza na kuwafanya wakutii
Lucas Mwashambwa
Imekosa mvutoMgeni mpango mama yupo wapi leo?
Wamenusa harufu ya hotuba isiyo na matumainiHalafu watu wengi hawana furaha, wapo wapo tu
Kwamba uamuzi wa kutangaza nyongeza ya mishahara rais huwa anatangaza hapo uwanjani kama surprise, na sio jambo linalojadiliwa kwanza? Hizo sherehe hapo zimepata kiki kwakuwa mpenda sifa Makonda yuko hapo.Kumekucha Arusha naona mwitikio mkubwa wa wafanyakazi je! Wamelazimishwa?(tetesi) na je kama ni Kwa hiari yap wanamategemeo Gani?
Sina hakika kama Kuna jipya maana Kwa mara ya kwanza mgeni rasmi(rais) kaingia mitini,makamo Hana maamuzi ya papo Kwa hapo ataahidi kumfikishia ujumbe rais(changa la macho)yetu macho.
Halafu nyuma ya makamo nawaona mawaziri akiwemo mwigulu alivyo siriaz utadhani anauchungu na nchi hii,kumbe "fisi"
Mgeni mpango mama yupo wapi. Ameenda chukua kitambukisho chako Cha kizimkazi
mzanzibari yule kaona mhangaike na tanganyika yenuKuna tatizo Gani mheshimiwa RAISI asiwepo?
wadudu wameona wasimwangushe bashiteKumekucha Arusha naona mwitikio mkubwa wa wafanyakazi je! Wamelazimishwa?(tetesi) na je kama ni Kwa hiari yap wanamategemeo Gani?
Sina hakika kama Kuna jipya maana Kwa mara ya kwanza mgeni rasmi(rais) kaingia mitini,makamo Hana maamuzi ya papo Kwa hapo ataahidi kumfikishia ujumbe rais(changa la macho)yetu macho.
Halafu nyuma ya makamo nawaona mawaziri akiwemo mwigulu alivyo siriaz utadhani anauchungu na nchi hii,kumbe "fisi"
hawana matumaini wacha wanendelee kupiga miayo wanabahati leo kajua kamewakaHalafu watu wengi hawana furaha, wapo wapo tu
Kumekucha Arusha naona mwitikio mkubwa wa wafanyakazi je! Wamelazimishwa?(tetesi) na je kama ni Kwa hiari yap wanamategemeo Gani?
Sina hakika kama Kuna jipya maana Kwa mara ya kwanza mgeni rasmi(rais) kaingia mitini,makamo Hana maamuzi ya papo Kwa hapo ataahidi kumfikishia ujumbe rais(changa la macho)yetu macho.
Halafu nyuma ya makamo nawaona mawaziri akiwemo mwigulu alivyo siriaz utadhani anauchungu na nchi hii,kumbe "fisi"
Wabongo mkiwekewa moonshot na wasanii sjui wadudu ......kwishneyyNa bila wadudu leo hapanogi,Kwa bashite kaupiga mwingi sana ngoja tuone onesho la makonda na wadudu hapa Amri Abeid.
Kuna mdau anasema hapo wamejaa waduduWafanyakazi wapi hao waliojaa
Kwani mei mosi ni suala la muungano?Kuna tatizo Gani mheshimiwa RAISI asiwepo?
Kwahiyo 1.3 ndo hakikisho la utendaji Bora wa kuleta mabadiliko katika nchi?Mwigulu mchumi nguli yule hata maprof wa uchumi wanamwogo akitoa hoja za kiuchumi hakuna mwenye ubavu wa kumkosoa kama ilivyo kwa lisu hakuna prof wa sheria wa kumkosoa. Lisu ana div one ya pont tatu HGL mwingulu and division one ya pont tatu EGM wote wawili wamesoma ilborou