Mei Mosi Kitaifa jijini Arusha na vioja vyake

Ilboru Kuna EGM?
 
Naomba mnitazamie na yule bwana makalio makubwa, naye yupo?
 
Ndiyi. Plato(philosopher) said that someone who excels in the class is likely to excel in so many things.
Sasa mfumo wa hiyo elimu ya darasani una uhakika inakidhi hali halisi iliyopo mtaani kwa muhitimu kutumia elimu hiyo kuleta mabadiliko katika jamii yake?

Maana naona mara nyingi watu mnasifiana divisions na GPA na kingereza kizuri, ilihali ukija kwenye uhalisia vitendo sifuri kabisa....
 
Mwongo mkubwa wewe. Mwigulu kasoma Ilboru O-level. Na advance kasoma Mazengo ambapo alipata div II. Huko UDSM ndo alipiga first class.
 
Hoja za bashite hata std one anamzidi. Hii ndo tofauti kati ya usomi na uzwazwa. Halafu mtu nwenye shule ya kubahatisha lazima afe haraka kama jpm mana hafit kwa lolote ispokuw nguvu tu
Heinrich Hertz alifariki na miaka 37, alikuwa na shule ya kubahatisha?
 

Issue ya kujaa wafanyakazi is no big deal, nadhani unajua watumishi wanalipwa posho kwa taratibu za kawaida wanapohudhuria huko. Pia baadhi ya idara ziko huko zaidi ya wiki moja iliyopita.

Unategemea mahudhurio yawe hafifu Mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…