saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,683
- 7,222
Acheni ushambenga, Rais ni binadamu. Hamtafanikiwa na maupuuzi yenu hayoKumekucha Arusha naona mwitikio mkubwa wa wafanyakazi je! Wamelazimishwa?(tetesi) na je kama ni Kwa hiari yap wanamategemeo Gani?
Sina hakika kama Kuna jipya maana Kwa mara ya kwanza mgeni rasmi(rais) kaingia mitini,makamo Hana maamuzi ya papo Kwa hapo ataahidi kumfikishia ujumbe rais(changa la macho)yetu macho.
Halafu nyuma ya makamo nawaona mawaziri akiwemo mwigulu alivyo siriaz utadhani anauchungu na nchi hii,kumbe "fisi"
Chawa promaxMwigulu mchumi nguli yule hata maprof wa uchumi wanamwogo akitoa hoja za kiuchumi hakuna mwenye ubavu wa kumkosoa kama ilivyo kwa lisu hakuna prof wa sheria wa kumkosoa. Lisu ana div one ya pont tatu HGL mwingulu and division one ya pont tatu EGM wote wawili wamesoma ilborou
Kitambo,Walikukaba?Hiyo tabia ya wadudu kutokuwa vibaka ama wezi imeanza baada ya Makonda kuwa RC wa Arusha?
Umenifanya nicheke kwa sauti hiyo paragraph ya mwisho,,Kumekucha Arusha naona mwitikio mkubwa wa wafanyakazi je! Wamelazimishwa?(tetesi) na je kama ni Kwa hiari yap wanamategemeo Gani?
Sina hakika kama Kuna jipya maana Kwa mara ya kwanza mgeni rasmi(rais) kaingia mitini,makamo Hana maamuzi ya papo Kwa hapo ataahidi kumfikishia ujumbe rais(changa la macho)yetu macho.
Halafu nyuma ya makamo nawaona mawaziri akiwemo mwigulu alivyo siriaz utadhani anauchungu na nchi hii,kumbe "fisi"
Mimi sio msemaji wa combination za watuCombination gani
Nothing at allKwani bado mei Mosi inaendelea hapo Arusha? Makamu kaahidi nn?
Uwanja kujaa hakuhusiani na ujinga ulioupa kipaumbele.Watu wame-miss miziki na viroja vya jamii ndiyo maana wamejazana waone.Tupe uhusiano wa div one na uongozi,bashite ana div ngapi maana amejaza uwanja leo
Ilborou ndio kitu gani??Mwigulu mchumi nguli yule hata maprof wa uchumi wanamwogo akitoa hoja za kiuchumi hakuna mwenye ubavu wa kumkosoa kama ilivyo kwa lisu hakuna prof wa sheria wa kumkosoa. Lisu ana div one ya pont tatu HGL mwingulu and division one ya pont tatu EGM wote wawili wamesoma ilborou
Ndiyo maana wanaitwa waduduKitambo,Walikukaba?
Una uhakika?Au ni ujuaji mwingi tu?Kwa lipi lisu anamzidi mchumi nguli. Kimbuka sheria kila mtu anawez kusoma lakini siyi uchumi. Sheria ngwini wote wanakillmbilia huko. Lakini uchumi unahitaji pure mathematician