Mei Mosi Mwanza: Rais Samia ahutubia, aahidi kuongeza mishahara kuanzia mwakani, agusia mafao ya wastaafu

As times goes tutaona vizuri na kufanya comparison.
Sawa mkuu.

Pia kati Marais wote waliopita kasoro Jiwe, ni yupi aliyewahi kutembea ardhini kwa gari halafu juu akalindwa na Helkopita?

Sijui bi mkubwa naye atafikia hiyo hatua, ila tuendelee kunywa mtori kwanza.
 
His legacy will remain vibrant for ever
 
Sawa
 
mama anaongeaa saa ngapi ?
 
Hta Yule Jamaa Alietangazwa Kwamba na Lisu Kwamba Amefariki Kwa Corona Huko Kenya, Nimemuona Leo Hapa Mza Akiwa kwenye Msafara, Hata Huyo Jamaa Mweusi Mwembamba alokaa katikati ya Samia na Mpango nae pia Alikuwa kwenye Flontline Ya Mwendazake... Kizazi za Magu Bado Kinaishi.
 
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Madame Samia Suluhu Hassan
Ameondoka Asubuhi Dodoma ~ Mwanza
Jioni Atakuwa Dodoma

Wote Macho [emoji849][emoji849][emoji849]Kwa Mama
Anajiandaa Kwenye Kenya akitoka Mza.
 
Asipoongeza mishahara mama ataongoza kwa shida, maana watumishi wanamanung'uniko mazito
 
Nayo ni hoja, kumbe baada ya maajabu ya kufa 'JIWE' ulitaka pasiwepo mrithi? WAZA mbele mdogo wangu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…