Meli vita za China zinafanya mazoezi halisi ya moto katika pwani ya Australia. Serikali ya Australia ijifunze yaliyoikuta Ukraine

Meli vita za China zinafanya mazoezi halisi ya moto katika pwani ya Australia. Serikali ya Australia ijifunze yaliyoikuta Ukraine


hawana madhara yoyote walishia kukata mauno wakati wa ziara ya Nancy Pelosi huku wakiwa wameshatoa maneno ambayo nyie pro china mliamini kabisa Pelosi hatii mguu Taiwan, na hata angejaribu angezuiwa matokeo yake yakawa tofauti. China ni mikwara mingi tu aanzishe vita akose masoko ya kuuza bidhaa zake then wachina wakale wapi?
Halafu china ni nani mpaka iipangie Australia cha kufanya? thinking za kikomunisti ni ushetani mtupu aisee
Hivi kweli kuna taifa lolote duniani linaweza kufanya tangazo hadharani kama hilo?

Hata Israel na uadui wake na Iran haiwezi kufanya hivyo. Acheni habari za kipropaganda na za kitoto

Marekani mwenyewe inakubali kuwa Taiwan ni sehemu ya China na hawana diplomatic relationship na Taiwan wanakubaliana na "One China Policy"

Hakukuwa na jipya kwenye safari ya Pelosi kwenda Taiwan. Tangu Pelosi ameenda Taiwan kuna lolote jipya? Nothing, bado Marekani wanasupport One China Principle
 


Hivi kuna taifa lolote duniani lunaweza kufanya tangazo hadharani kama hilo?

Hata Israel na uadui wake na Iran hata haiwezi kufanya hivyo. Acheni habari za kipropaganda na za kitoto

Marekani mwenyewe inakubali kuwa Taiwan ni sehemu ya China na hawna diplomatic relationship na Taiwan wanakubaliana na "One China Policy"

Hakukuwa na jipya kwenye safari ya Pelosi kwenda Taiwan. Tangu Pelosi ameenda Taiwan kuna lolote jipya? Bado Marekani wanasupport One China Principle
Pole sana China ni mikwara tu na siku akijingiza kwenye vita kama anavyofanya US an west European utakuja kulialia hapa
 
Ukorofi wa China ni huu.
Huwezi kutegemea UNCLOS watoe maamuzi ya kuitendea haki China wakati ni taasisi inayoendeshwa na nchi za Magharibi

Kihistoria hivyo visiwa ni vya China China ilidai mamlaka juu ya visiwa hivyo kabla ya WW2 huku Philippines haikudai mamlaka juu ya visiwa hivyo hadi 1978

Philippines inadai mamlaka juu ya visiwa hivyo kwa vile viko ndani ya ukanda wake wa kipekee wa kiuchumi (EEZ)

Mkataba wa Umoja wa Mataifa wa Sheria ya Bahari inaweka bayana kwamba EEZ ya nchi moja haibatilishi moja kwa moja madai ya eneo la nchi nyingine, na nchi hizo mbili zinapaswa kutatua mizozo kupitia mazungumzo. Kitu ambacho Philippines hawataki wakishinikizwa na Marekani

Hii ni ramani ya China ROC ya Februari 1948, ambayo inajumuisha uhuru na mamlaka juu ya Visiwa vya Bahari ya Kusini mwa China na maji yao ya karibu

20250222_091336.jpg



Philippines ilikuwa wapi kudai kuwa ni visiwa vyake wakati huo mpaka kufika 1978 ndio ianze kudai kuwa ni vyake?

China iko sahihi sana kuchukua visiwa hivyo kwani ni sehemu ya China, na Philippines wataendelea kuumia na kulalamika na kulialia kila siku kuwa China Coast Guard inawaonea but hakuna jinsi

China will firmly defend its sovereignty and territorial integrity na Philippines hawana lolote cha kuifanya China
 
Pole sana China ni mikwara tu na siku akijingiza kwenye vita kama anavyofanya US an west European utakuja kulialia hapa
Vita vimesaidia nini Marekani zaidi ya kupoteza billions of dollars kwenye unnecessary conflicts and wars?

Deni la Marekani limefikia USD 36 trillion na kila baada ya siku 100 kwa wastani Marekani inaongeza deni la USD 1 trillion, yote hayo ni matokeo ya vita

Marekani imeshindwa hata kuboresha miundombinu yake kwa kuwa inatumia billions of money kwenye vita. Kumekuwa na ongezeko la homelessness, inflation, kumekuwa na mass layoffs kwenye makampuni za Marekani n.k

Wakati Marekani ikiwekeza kwenye vita China imeiovertake Marekani na kuwa the world's largest manufacturing power, imekuwa na the kargest GDP PPP kuizidi Marekani na kwenye crtitical technology so far China iko mbele ya Marekani

"There is no instance of a nation benefitting from prolonged warfare."
Sun Tzu (Chinese general and strategist)


 
Wala huhitaji kudanganywa ili usiipende CCP ya China, Hakuna binadamu mwenye akili timamu atakayechagua kuishi au kufungamana na mfumo wa ukandamizaji dhidi ya mfumo huru.
Mfumo huru upi ?
 
Japan, South Korea na Philippines ni Liberal states, haziwezi kufungamana na China yenye mfumo wa kiimla dhidi ya Marekani ambayo ni taifa Liberal na tajiri.
Japan haina mfumo wa kiimla ?
 
Not to expand NATO eastwards after the end of the USSR
Walikubalinia lini, wapi na viongozi gani wakuu waliohusika katika hayo makubaliano?

Unafahamu NATO–Russia Founding Act 1997 ilihusu nini??
 
Unachekesha.
The emperor of Japan is the hereditary monarch and head of state of Japan
Uingereza, Japan, Canada, Australia, na Spain ni constitutional monarchies ambazo ni Liberal democracy.
Unaelewa maana ya Liberal democracy?
 
Vita vimesaidia nini Marekani zaidi ya kupoteza billions of dollars kwenye unnecessary conflicts and wars?

Deni la Marekani limefikia USD 36 trillion na kila baada ya siku 100 kwa wastani Marekani inaongeza deni la USD 1 trillion, yote hayo ni matokeo ya vita

Marekani imeshindwa hata kuboresha miundombinu yake kwa kuwa inatumia billions of money kwenye vita. Kumekuwa na ongezeko la homelessness, inflation, kumekuwa na mass layoffs kwenye makampuni za Marekani n.k

Wakati Marekani ikiwekeza kwenye vita China imeiovertake Marekani na kuwa the world's largest manufacturing power, imekuwa na the kargest GDP PPP kuizidi Marekani na kwenye crtitical technology so far China iko mbele ya Marekani

"There is no instance of a nation benefitting from prolonged warfare."
Sun Tzu (Chinese general and strategist)


Ndo uache sasa kuandika utopolo ushabiki maandazi wa kutaka china ijiingize kwenye migogoro na vita za kijinga ukifikiri vita ni lelemama. Mambo ya vita tena za muda mrefu zitaishia kumpa anguko tu china uanze kulialia hayo mavita awaachie wenye mbavu nene yeye china aendelee kutengeneza mafekero wachina wayauze kariakoo eastleigh na kwenginepo wapate kuendelea kuishi vizuri
 
Mmaichukulia Aistralia kama kanchi kadogo... ipo kwenye United Kingdom mjue.. ni british hao.. wala msiwe na wasiwasi.. China hawezi haribu chochote.. zaidi ya kujitutumua tu
 
Back
Top Bottom