Meli vita za China zinafanya mazoezi halisi ya moto katika pwani ya Australia. Serikali ya Australia ijifunze yaliyoikuta Ukraine

Meli vita za China zinafanya mazoezi halisi ya moto katika pwani ya Australia. Serikali ya Australia ijifunze yaliyoikuta Ukraine

Hili ni onyo kwa Australia ambayo ni "the U.S vassal state" kibaraka wa Marekani.

Kwa nini China ipeleke meli zake 3 za kivita pwani ya Australia na kufanya mazoezi hayo kati kati ya Australia na New Zealand kwenye bahari ya Tasmania?

View attachment 3244285
Chinese exercises 150km from Sydney

Ikumbukwe kuwa Australia ndiyo ilitangulia kupeleka spy plane karibu na visiwa vya China katika Bahari ya Kusini ya China kulingana na maagizo ya Marekani.

View attachment 3244316

Aussies dont dare to play with South China Sea anytime


Wakati wa mazoezi hayo ya jeshi la Navy la China, ndege zinazosafiri kati ya Australia na New Zealand zimelazimika kufuta safari au ku-divert route kwa sababu za kiusalama.

Siku ya Alhamisi, idara ya ulinzi ya Australia ilisema meli za China zilionekana maili 150 (kilomita 276) kutoka Sydney, ndani ya eneo la kipekee la kiuchumi la Australia. Leo Ijumaa zimeanza kufanya "live drill fire."

Maofisa wa Australia wameanza kuwatafuta wenzao wa China ili kuwe na mazungumzo kuhusu hilo.

Australia imeuliza China kwa nini inafanya mazoezi ya moto kati ya Australia na New Zealand, na kwa nini ilani zaidi haikutolewa ili kuepusha usumbufu kwa ndege za kibiashara.

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China Guo Jiakun amesema kuwa Kamandi ya Kusini ya jeshi la Navy la China ilipanga kundi la meli hizo kufanya mazoezi na mafunzo ya mbali ya baharini.

"Mazoezi haya daima yamekuwa yakifanywa kwa usalama, kwa njia iliyosawazishwa na kitaaluma, na kwa mujibu wa sheria ya kimataifa."
– Guo Jiakun
Haijafahamika iwapo mazoezi hayo yamekamilika au bado. Mpaka sasa Jeshi la China halijasema chochote kuhusu hilo.

Haya mataifa ambayo ni vibaraka wa Marekani wajifunze yaliyowakuta Ukraine. Ngoja tuone baada ya hili onyo kama watarudia kupeleka spy planes kwenye eneo la South China Sea.
China ataishia kufanya tu hayo mazoezi lkn hakuna kitu atafanya china ni mwanasesere tu kwa u.s.a pia asimchukulie poa australia atakalishwa akifanya masihara kwani hajifunzi kwa urusi dhidi ya ukraine?
 
Ndo uache sasa kuandika utopolo ushabiki maandazi wa kutaka china ijiingize kwenye migogoro na vita za kijinga ukifikiri vita ni lelemama. Mambo ya vita tena za muda mrefu zitaishia kumpa anguko tu china uanze kulialia hayo mavita awaachie wenye mbavu nene yeye china aendelee kutengeneza mafekero wachina wayauze kariakoo eastleigh na kwenginepo wapate kuendelea kuishi vizuri
Mbavu nene vita zinawaingiza kwenye national debt? Hizo ni mbavu nene kweli?

China imeipa onyo Australia na hatutaona tena Australia ikifanya ujinga wake wa kushinikizwa na Marekani kupeleka spy plane eneo la South China Sea
 
China ataishia kufanya tu hayo mazoezi lkn hakuna kitu atafanya china ni mwanasesere tu kwa u.s.a pia asimchukulie poa australia atakalishwa akifanya masihara kwani hajifunzi kwa urusi dhidi ya ukraine?
China haina mpango wa kuivamia Australia imefanya hivyo kuionya Australia na ndio maana umeona maafisa wa Australia wameomba wawe na mazungumzo na wa China

Na Waziri wa Mambo ya nje wa Australia ameomba awe na mazungumzo ya private na Wang Yi wa China wote wako S.A kwenye G-20 summit

Australia haina nguvu yoyote ya kijeshi kuizidi China. Ukilinganisha naval capabilities, ukubwa wa Aussie Navy ni kama tu China coast guard
 
Hata israeli walijua iko salama na mifumo yao kedekede na mwembe za CNN israel airdefence is inpanetratable .. na sisi wabongo tukaanza kuimba the same songs israel israel .. mpaka walivyodundwa na dunia ikaamka
Walidundwa na nani embu tukumbushe.
 
Vita vimesaidia nini Marekani zaidi ya kupoteza billions of dollars kwenye unnecessary conflicts and wars?

Deni la Marekani limefikia USD 36 trillion na kila baada ya siku 100 kwa wastani Marekani inaongeza deni la USD 1 trillion, yote hayo ni matokeo ya vita

Marekani imeshindwa hata kuboresha miundombinu yake kwa kuwa inatumia billions of money kwenye vita. Kumekuwa na ongezeko la homelessness, inflation, kumekuwa na mass layoffs kwenye makampuni za Marekani n.k

Wakati Marekani ikiwekeza kwenye vita China imeiovertake Marekani na kuwa the world's largest manufacturing power, imekuwa na the kargest GDP PPP kuizidi Marekani na kwenye crtitical technology so far China iko mbele ya Marekani

"There is no instance of a nation benefitting from prolonged warfare."
Sun Tzu (Chinese general and strategist)


Chawa wa china ktk ubora wako,
 
Mmaichukulia Aistralia kama kanchi kadogo... ipo kwenye United Kingdom mjue.. ni british hao.. wala msiwe na wasiwasi.. China hawezi haribu chochote.. zaidi ya kujitutumua tu
Aus ni nchi kubwa kwenye ramani lakini kwenye nguvu za kijeshi ni kanchi kadogo ukilinganisha na China

Unazungumzia Britain, ilikuwa zamani. Kwa sasa jeshi lenyewe la Uingereza lina wanajeshi 70k walio active the smallest since Napoleonic era

Wanajeshi active wa Uingereza hawawezi hata kuijaza Old Trafford zama za Uingereza zilishaisha

Imagine mpaka leo bado Britain wanastruggle kuchangia 2.5% tu ya NATO
 
Uingereza, Japan, Canada, Australia, na Spain ni constitutional monarchies ambazo ni Liberal democracy.
Unaelewa maana ya Liberal democracy?
Huo ndio mfumo huru ?
 
Marekani anapenda sana kuwapotosha vibaraka wake wa Indo-Pacific na the Far East Asia waichokoze China

Huwa anawaaminisha kuwa China ni adui yao. Na kwa sababu China inazidi kuimarisha jeshi lake na kulifanya modern anawaambia China inajipanga kufanya expansionism kwenye ukanda wa Indo-Pacific

Anamuahidi kibaraka wake kumpa ulinzi, anafungua military base na kupeleka American troops

Kisha anaanza kumuuzia silaha huku akimdanganya kibaraka wake kuwa atamlinda dhidi ya China

Hayo ndiyo mambo Marekani anayofanya kwa it's vassal states kama Philippines, Japan, South Korea, Taiwan na Australia.

Anawauzia sana silaha kijanja akiwaaminisha kuwa China ni taifa hatari wanataka kuitawala Far East na Indo-Pacific

Anawaingiza katika security partnership and agreement mfano AUKUS (Aus, UK, US)

Kuna The Mutual Defense Treaty kati ya Marekani na Philippines

Sasa hivi wapo kwenye mchakato wa trilateral agreement na Japan & South Korea

Ila siku taifa lolote kati ya hayo likijichanganya kuingia vitani na China ndipo watakaposhangaa Marekani ikiwa haina msaada wowote kwao

Ukiingia kwenye vita akaona unaelekea kushindwa Marekani anakukimbia kama alivyofanya kwa Ukraine
Kwa hiyo Marekani ni KIPOTOSHI?
 
Japan, South Korea, Philippines wangechagua upande wa China.

Haya mataifa ya Asia kama China, S.K, Japan, N.K, India n.k halafu imagine na Russia nayo iwe upande wao

Yangekuwa kitu kimoja Marekani hasingekuwa na influence eneo la Indo-Pacific na kungekuwa na balance of power kwenye huo ukanda.

Kukiwa na balance of power inachangia sana amani na utulivu duniani

Na Marekani anajua kuwa hayo mataifa kiuchumi, kiteknolojia, kijeshi yakiungana ushawishi wake upande wa Indo-Pacific lazima upotee

Ndio maana anafanya juu chini kupandikiza uadui hasa kati ya mataifa hayo na China na anataka kuyatumia to containing China's influence in Indo-Pacific region
Kabla ya influence ya Marekani hapo Indo-Pacific kulitokea haya:

1. Urusi na Japan zilipigana mwaka 1904 na mpaka sasa bado zinagombea Kuril Islands. Muda wowote zitapigana bila influence ya US, ndio akisuruhisha vita iishe.

2. Japan iliiteka Manchuria ya China, ikaipiga Ufilipino na kufanya mauaji na ubakaji Korea. Wote hao hawaipendi na hawawezi ungana nayo.

3. China iligombea na mpaka sasa inabishana mipaka na kila jirani. Inabishana bahari na Japan na Ufilipino. Hao wote hawawezi ungana nayo. China inaidai Urusi eneo lake, hadi huu mji wa Vladivostok ni eneo la China lile. Muda wowote Wachina wakiamua Warusi watakiona cha mtemakuni. Watu ambacho hawajui ni kuwa ni rahisi China kupigana na Urusi kuliko kupigana na Marekani, kwanza walipigana mwaka 1969.

Mwaka 1964 Wachina waliamua kufanya review ya mipaka yao na kulitaka eneo lao la Urusi, mazungumzo kwa miaka mitano yakafeli wakapigana kimyakimya mipakani. Sasa imagine China wanafanya review tena. Kwa upande wa Marekani, China hawadaiani chochote hivyo wanaweza wasiingiliane maslahi na wasipigane.

4. China inagombana na India eneo la Ladakh. Hao nao unataka eti waungane dhidi ya Marekani. Wakati China inaungana na Pakistan kwenye ugomvi na India.

************
Huyo Australia ni mshirika wa Uingereza na Marekani. Hawezi achana na watu anaojua na waliotoka mbali wakisaidiana eti ashirikiane na Wachina wanaogombana na kila jirani yao.

Hata China yenyewe ilipokea misaada ya Marekani kwa airlift kupitia milima ya Himalaya. Airlift ngumu ya jeshi la anga la Marekani kuwahi kutokea hadi leo, ndege zaidi ya 500 za Marekani zilidondoka milimani kwa tufani, ukungu, kugonga safu za milima, mvua kali, dhoruba na usumbufu wote wa ile milima. US ilipoteza marubani na wanaanga zaidi ya 1,000 kwa ajili ya China kujikomboa dhidi ya Japan.

Hapo Korea ni Marekani iliingilia kati Warusi wasiiteke nchi nzima. Hatimaye zikatokea nchi mbili, iliyowahi tekwa na Urusi unaiona hadi sasa ilivyo.

********

Kwahiyo hao Asians usidhani ni wapumbavu hawajui kuchagua, hakuna mwendawazimu atachagua kushirikiana na China kijeshi wakati lengo la China ni expansionism na kudaiana maeneo na kila jirani.
 
Kabla ya influence ya Marekani hapo Indo-Pacific kulitokea haya:

1. Urusi na Japan zilipigana mwaka 1904 na mpaka sasa bado zinagombea Kuril Islands. Muda wowote zitapigana bila influence ya US, ndio akisuruhisha vita iishe.

2. Japan iliiteka Manchuria ya China, ikaipiga Ufilipino na kufanya mauaji na ubakaji Korea. Wote hao hawaipendi na hawawezi ungana nayo.

3. China iligombea na mpaka sasa inabishana mipaka na kila jirani. Inabishana bahari na Japan na Ufilipino. Hao wote hawawezi ungana nayo. China inaidai Urusi eneo lake, hadi huu mji wa Vladivostok ni eneo la China lile. Muda wowote Wachina wakiamua Warusi watakiona cha mtemakuni. Watu ambacho hawajui ni kuwa ni rahisi China kupigana na Urusi kuliko kupigana na Marekani, kwanza walipigana mwaka 1969.

Mwaka 1964 Wachina waliamua kufanya review ya mipaka yao na kulitaka eneo lao la Urusi, mazungumzo kwa miaka mitano yakafeli wakapigana kimyakimya mipakani. Sasa imagine China wanafanya review tena. Kwa upande wa Marekani, China hawadaiani chochote hivyo wanaweza wasiingiliane maslahi na wasipigane.

4. China inagombana na India eneo la Ladakh. Hao nao unataka eti waungane dhidi ya Marekani. Wakati China inaungana na Pakistan kwenye ugomvi na India.

************
Huyo Australia ni mshirika wa Uingereza na Marekani. Hawezi achana na watu anaojua na waliotoka mbali wakisaidiana eti ashirikiane na Wachina wanaogombana na kila jirani yao.

Hata China yenyewe ilipokea misaada ya Marekani kwa airlift kupitia milima ya Himalaya. Airlift ngumu ya jeshi la anga la Marekani kuwahi kutokea hadi leo, ndege zaidi ya 500 za Marekani zilidondoka milimani kwa tufani, ukungu, kugonga safu za milima, mvua kali, dhoruba na usumbufu wote wa ile milima. US ilipoteza marubani na wanaanga zaidi ya 1,000 kwa ajili ya China kujikomboa dhidi ya Japan.

Hapo Korea ni Marekani iliingilia kati Warusi wasiiteke nchi nzima. Hatimaye zikatokea nchi mbili, iliyowahi tekwa na Urusi unaiona hadi sasa ilivyo.

********

Kwahiyo hao Asians usidhani ni wapumbavu hawajui kuchagua, hakuna mwendawazimu atachagua kushirikiana na China kijeshi wakati lengo la China ni expansionism na kudaiana maeneo na kila jirani.
Hata China yenyewe haiwahitaji mataifa kama Japan na India
 
Hili ni onyo kwa Australia ambayo ni "the U.S vassal state" kibaraka wa Marekani.

Kwa nini China ipeleke meli zake 3 za kivita pwani ya Australia na kufanya mazoezi hayo kati kati ya Australia na New Zealand kwenye bahari ya Tasmania?

View attachment 3244285
Chinese exercises 150km from Sydney

Ikumbukwe kuwa Australia ndiyo ilitangulia kupeleka spy plane karibu na visiwa vya China katika Bahari ya Kusini ya China kulingana na maagizo ya Marekani.

View attachment 3244316

Aussies dont dare to play with South China Sea anytime


Wakati wa mazoezi hayo ya jeshi la Navy la China, ndege zinazosafiri kati ya Australia na New Zealand zimelazimika kufuta safari au ku-divert route kwa sababu za kiusalama.

Siku ya Alhamisi, idara ya ulinzi ya Australia ilisema meli za China zilionekana maili 150 (kilomita 276) kutoka Sydney, ndani ya eneo la kipekee la kiuchumi la Australia. Leo Ijumaa zimeanza kufanya "live drill fire."

Maofisa wa Australia wameanza kuwatafuta wenzao wa China ili kuwe na mazungumzo kuhusu hilo.

Australia imeuliza China kwa nini inafanya mazoezi ya moto kati ya Australia na New Zealand, na kwa nini ilani zaidi haikutolewa ili kuepusha usumbufu kwa ndege za kibiashara.

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China Guo Jiakun amesema kuwa Kamandi ya Kusini ya jeshi la Navy la China ilipanga kundi la meli hizo kufanya mazoezi na mafunzo ya mbali ya baharini.

"Mazoezi haya daima yamekuwa yakifanywa kwa usalama, kwa njia iliyosawazishwa na kitaaluma, na kwa mujibu wa sheria ya kimataifa."
– Guo Jiakun
Haijafahamika iwapo mazoezi hayo yamekamilika au bado. Mpaka sasa Jeshi la China halijasema chochote kuhusu hilo.

Haya mataifa ambayo ni vibaraka wa Marekani wajifunze yaliyowakuta Ukraine. Ngoja tuone baada ya hili onyo kama watarudia kupeleka spy planes kwenye eneo la South China Sea.
WEWE MBWA WEWE NAONA SIJUI CHINA WALIKUPA NIMI WEWE UNAVYOWAHUSUDU
 
Back
Top Bottom