Meli vita za China zinafanya mazoezi halisi ya moto katika pwani ya Australia. Serikali ya Australia ijifunze yaliyoikuta Ukraine

China ataishia kufanya tu hayo mazoezi lkn hakuna kitu atafanya china ni mwanasesere tu kwa u.s.a pia asimchukulie poa australia atakalishwa akifanya masihara kwani hajifunzi kwa urusi dhidi ya ukraine?
 
Mbavu nene vita zinawaingiza kwenye national debt? Hizo ni mbavu nene kweli?

China imeipa onyo Australia na hatutaona tena Australia ikifanya ujinga wake wa kushinikizwa na Marekani kupeleka spy plane eneo la South China Sea
 
China ataishia kufanya tu hayo mazoezi lkn hakuna kitu atafanya china ni mwanasesere tu kwa u.s.a pia asimchukulie poa australia atakalishwa akifanya masihara kwani hajifunzi kwa urusi dhidi ya ukraine?
China haina mpango wa kuivamia Australia imefanya hivyo kuionya Australia na ndio maana umeona maafisa wa Australia wameomba wawe na mazungumzo na wa China

Na Waziri wa Mambo ya nje wa Australia ameomba awe na mazungumzo ya private na Wang Yi wa China wote wako S.A kwenye G-20 summit

Australia haina nguvu yoyote ya kijeshi kuizidi China. Ukilinganisha naval capabilities, ukubwa wa Aussie Navy ni kama tu China coast guard
 
Hata israeli walijua iko salama na mifumo yao kedekede na mwembe za CNN israel airdefence is inpanetratable .. na sisi wabongo tukaanza kuimba the same songs israel israel .. mpaka walivyodundwa na dunia ikaamka
Walidundwa na nani embu tukumbushe.
 
Chawa wa china ktk ubora wako,
 
Mmaichukulia Aistralia kama kanchi kadogo... ipo kwenye United Kingdom mjue.. ni british hao.. wala msiwe na wasiwasi.. China hawezi haribu chochote.. zaidi ya kujitutumua tu
Aus ni nchi kubwa kwenye ramani lakini kwenye nguvu za kijeshi ni kanchi kadogo ukilinganisha na China

Unazungumzia Britain, ilikuwa zamani. Kwa sasa jeshi lenyewe la Uingereza lina wanajeshi 70k walio active the smallest since Napoleonic era

Wanajeshi active wa Uingereza hawawezi hata kuijaza Old Trafford zama za Uingereza zilishaisha

Imagine mpaka leo bado Britain wanastruggle kuchangia 2.5% tu ya NATO
 
Uingereza, Japan, Canada, Australia, na Spain ni constitutional monarchies ambazo ni Liberal democracy.
Unaelewa maana ya Liberal democracy?
Huo ndio mfumo huru ?
 
Kwa hiyo Marekani ni KIPOTOSHI?
 
Kabla ya influence ya Marekani hapo Indo-Pacific kulitokea haya:

1. Urusi na Japan zilipigana mwaka 1904 na mpaka sasa bado zinagombea Kuril Islands. Muda wowote zitapigana bila influence ya US, ndio akisuruhisha vita iishe.

2. Japan iliiteka Manchuria ya China, ikaipiga Ufilipino na kufanya mauaji na ubakaji Korea. Wote hao hawaipendi na hawawezi ungana nayo.

3. China iligombea na mpaka sasa inabishana mipaka na kila jirani. Inabishana bahari na Japan na Ufilipino. Hao wote hawawezi ungana nayo. China inaidai Urusi eneo lake, hadi huu mji wa Vladivostok ni eneo la China lile. Muda wowote Wachina wakiamua Warusi watakiona cha mtemakuni. Watu ambacho hawajui ni kuwa ni rahisi China kupigana na Urusi kuliko kupigana na Marekani, kwanza walipigana mwaka 1969.

Mwaka 1964 Wachina waliamua kufanya review ya mipaka yao na kulitaka eneo lao la Urusi, mazungumzo kwa miaka mitano yakafeli wakapigana kimyakimya mipakani. Sasa imagine China wanafanya review tena. Kwa upande wa Marekani, China hawadaiani chochote hivyo wanaweza wasiingiliane maslahi na wasipigane.

4. China inagombana na India eneo la Ladakh. Hao nao unataka eti waungane dhidi ya Marekani. Wakati China inaungana na Pakistan kwenye ugomvi na India.

************
Huyo Australia ni mshirika wa Uingereza na Marekani. Hawezi achana na watu anaojua na waliotoka mbali wakisaidiana eti ashirikiane na Wachina wanaogombana na kila jirani yao.

Hata China yenyewe ilipokea misaada ya Marekani kwa airlift kupitia milima ya Himalaya. Airlift ngumu ya jeshi la anga la Marekani kuwahi kutokea hadi leo, ndege zaidi ya 500 za Marekani zilidondoka milimani kwa tufani, ukungu, kugonga safu za milima, mvua kali, dhoruba na usumbufu wote wa ile milima. US ilipoteza marubani na wanaanga zaidi ya 1,000 kwa ajili ya China kujikomboa dhidi ya Japan.

Hapo Korea ni Marekani iliingilia kati Warusi wasiiteke nchi nzima. Hatimaye zikatokea nchi mbili, iliyowahi tekwa na Urusi unaiona hadi sasa ilivyo.

********

Kwahiyo hao Asians usidhani ni wapumbavu hawajui kuchagua, hakuna mwendawazimu atachagua kushirikiana na China kijeshi wakati lengo la China ni expansionism na kudaiana maeneo na kila jirani.
 
Hata China yenyewe haiwahitaji mataifa kama Japan na India
 
WEWE MBWA WEWE NAONA SIJUI CHINA WALIKUPA NIMI WEWE UNAVYOWAHUSUDU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…