Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Acha kutetea magaidiYemen naona ana ng'ang'ania haswa kupigana na Israel i wnt problem... wacha tuone wanaoshangilia kule press tv yaani wana furaha haswa.. let wait tutafute pop corn zetu tusubiri movie... Ujanja wa Magaidi kwa sasa ni kukamata raia wa nje... maana hamna Myahudi hata mmoja kwenye hiyo cargo ship
Unajua maana ya meli kuwa na bendera ya nchi fulani?Muda mfupi uliopita kiongozi wa wanamgambo wa Houth wa nchini Yemen wameteka meli yenye bendera ya Israel kusini mwa bahari nyekundu iliyokuwa ikielekea bahari ya mediteranean.
Kiongozi wa Houth amethibitisha hilo na kusema ni katika juhudi zao za kupambana na Israel inayoua watoto na akinamama huko Gaza,
Kabla ya leo wanamgambo hao wamewahi kurusha makombora kuelekea kusini ya Israel kwa lengo hilo hilo.
Hilo lemetokea leo wakati makombora kadhaa yamerushwa kwa mara nyengine katikati ya Israel kutoka Gaza na ambako mapigano makali yameripotiwa huko kaskazini ya eneo la Gaza.
Chanzo ni mtandao wa Aljazeera.
Habari zaidi tutawaletea baadae.
Nini maoni Yako kikiwaka kati ya Israel na Yemen?Yemen naona ana ng'ang'ania haswa kupigana na Israel i wnt problem...
Yemen anataka kununua kesi isiyomhusu.Mjapani huyo anapeleka silaha Israel, afu kuna watu wanasema wawachiwe. Hao ni kupiga risasi kabisa
Utetezi upi hapo nimeweka? when you talk to me use your brain usije kama foolishAcha kutetea magaidi
Me maoni yangu Yemen wautangazie ulimwengu kuwa wanajiweza na wale wapumbavu wa kuandamana watulie or else kama anavyosema Netanyahu...Nini maoni Yako kikiwaka kati ya Israel na Yemen?
Jipe moyo kama awaliTaifa teule limeanza kujitetea,Ndo ishatiwa kwapani.
Baadae mtaanza kulia ooh wanashambulia raia, wakati mnawachokoza mnajiona mashujaa.Taifa teule limeanza kujitetea,Ndo ishatiwa kwapani.
VIPI ILE MELI ILIYOTEKWA NA IRANI YENYE BENDERA YA TANZANIA VIPI???Muda mfupi uliopita kiongozi wa wanamgambo wa Houth wa nchini Yemen wameteka meli yenye bendera ya Israel kusini mwa bahari nyekundu iliyokuwa ikielekea bahari ya mediteranean.
Kiongozi wa Houth amethibitisha hilo na kusema ni katika juhudi zao za kupambana na Israel inayoua watoto na akinamama huko Gaza,
Kabla ya leo wanamgambo hao wamewahi kurusha makombora kuelekea kusini ya Israel kwa lengo hilo hilo.
Hilo lemetokea leo wakati makombora kadhaa yamerushwa kwa mara nyengine katikati ya Israel kutoka Gaza na ambako mapigano makali yameripotiwa huko kaskazini ya eneo la Gaza.
Chanzo ni mtandao wa Aljazeera.
Habari zaidi tutawaletea baadae.
Mwana kulitafuta mwana kulipataYemen bwana wake ni Iran ila Iran atapatikana tu lets wait
SI ULISEMA IDF MASHOGA HAWAWEZI KUINGIA GAZAMuda mfupi uliopita kiongozi wa wanamgambo wa Houth wa nchini Yemen wameteka meli yenye bendera ya Israel kusini mwa bahari nyekundu iliyokuwa ikielekea bahari ya mediteranean.
Kiongozi wa Houth amethibitisha hilo na kusema ni katika juhudi zao za kupambana na Israel inayoua watoto na akinamama huko Gaza,
Kabla ya leo wanamgambo hao wamewahi kurusha makombora kuelekea kusini ya Israel kwa lengo hilo hilo.
Hilo lemetokea leo wakati makombora kadhaa yamerushwa kwa mara nyengine katikati ya Israel kutoka Gaza na ambako mapigano makali yameripotiwa huko kaskazini ya eneo la Gaza.
Chanzo ni mtandao wa Aljazeera.
Habari zaidi tutawaletea baadae.
Hiyo vita wanaenda huko mazima Hammas,Yemen ni ugwadu tu.Yemen bwana wake ni Iran ila Iran atapatikana tu lets wait
Kwaiyo Mjapani sikuhizi anatengeneza Magari aina hizo kwenye hiyo Ship? hadi Humvee.Mjapani huyo anapeleka silaha Israel, afu kuna watu wanasema wawachiwe. Hao ni kupiga risasi kabisa
wanachokitafuta Houthi watakipata, wenzao Hezbullah jana usiku mzima wameanza kuonja joto la jiwe.Muda mfupi uliopita kiongozi wa wanamgambo wa Houth wa nchini Yemen wameteka meli yenye bendera ya Israel kusini mwa bahari nyekundu iliyokuwa ikielekea bahari ya mediteranean.
Kiongozi wa Houth amethibitisha hilo na kusema ni katika juhudi zao za kupambana na Israel inayoua watoto na akinamama huko Gaza,
Kabla ya leo wanamgambo hao wamewahi kurusha makombora kuelekea kusini ya Israel kwa lengo hilo hilo.
Hilo lemetokea leo wakati makombora kadhaa yamerushwa kwa mara nyengine katikati ya Israel kutoka Gaza na ambako mapigano makali yameripotiwa huko kaskazini ya eneo la Gaza.
Chanzo ni mtandao wa Aljazeera.
Habari zaidi tutawaletea baadae.
Kitanuka soonSawa.
Israel imesikika ikiilalamikia Iran kuwa ndio waliohusika juu ya kwamba tangazo limetoka kwa makamanda wa Yemen
Israel inasema hiyo meli si mali yao peke yao.Inaimiliki na washirika wenzako.