Meli ya Israel yatekwa Yemen
Yemen naona ana ng'ang'ania haswa kupigana na Israel i wnt problem... wacha tuone wanaoshangilia kule press tv yaani wana furaha haswa.. let wait tutafute pop corn zetu tusubiri movie... Ujanja wa Magaidi kwa sasa ni kukamata raia wa nje... maana hamna Myahudi hata mmoja kwenye hiyo cargo ship
Acha kutetea magaidi
 
Mjapani huyo anapeleka silaha Israel, afu kuna watu wanasema wawachiwe. Hao ni kupiga risasi kabisa
 

Attachments

  • IMG-20231119-WA0062.jpg
    IMG-20231119-WA0062.jpg
    122.7 KB · Views: 3
Muda mfupi uliopita kiongozi wa wanamgambo wa Houth wa nchini Yemen wameteka meli yenye bendera ya Israel kusini mwa bahari nyekundu iliyokuwa ikielekea bahari ya mediteranean.
Kiongozi wa Houth amethibitisha hilo na kusema ni katika juhudi zao za kupambana na Israel inayoua watoto na akinamama huko Gaza,
Kabla ya leo wanamgambo hao wamewahi kurusha makombora kuelekea kusini ya Israel kwa lengo hilo hilo.
Hilo lemetokea leo wakati makombora kadhaa yamerushwa kwa mara nyengine katikati ya Israel kutoka Gaza na ambako mapigano makali yameripotiwa huko kaskazini ya eneo la Gaza.
Chanzo ni mtandao wa Aljazeera.
Habari zaidi tutawaletea baadae.
Unajua maana ya meli kuwa na bendera ya nchi fulani?

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Nini maoni Yako kikiwaka kati ya Israel na Yemen?
Me maoni yangu Yemen wautangazie ulimwengu kuwa wanajiweza na wale wapumbavu wa kuandamana watulie or else kama anavyosema Netanyahu...
 
Muda mfupi uliopita kiongozi wa wanamgambo wa Houth wa nchini Yemen wameteka meli yenye bendera ya Israel kusini mwa bahari nyekundu iliyokuwa ikielekea bahari ya mediteranean.
Kiongozi wa Houth amethibitisha hilo na kusema ni katika juhudi zao za kupambana na Israel inayoua watoto na akinamama huko Gaza,
Kabla ya leo wanamgambo hao wamewahi kurusha makombora kuelekea kusini ya Israel kwa lengo hilo hilo.
Hilo lemetokea leo wakati makombora kadhaa yamerushwa kwa mara nyengine katikati ya Israel kutoka Gaza na ambako mapigano makali yameripotiwa huko kaskazini ya eneo la Gaza.
Chanzo ni mtandao wa Aljazeera.
Habari zaidi tutawaletea baadae.
VIPI ILE MELI ILIYOTEKWA NA IRANI YENYE BENDERA YA TANZANIA VIPI???
AU HILO HUJUI ALWAZ??
MELI INA BENDERA YA ISRAEL AFU MABAHARIA NA WAMILIKI WAHINDI 🤣🤣🤣
 
Hii vita ya ya magaidi hamasi na watoto tundu wa Israeli, ni mwanzo tu kabla vita haijapanuka na kuwa vita vya 3 vya Dunua
 
Muda mfupi uliopita kiongozi wa wanamgambo wa Houth wa nchini Yemen wameteka meli yenye bendera ya Israel kusini mwa bahari nyekundu iliyokuwa ikielekea bahari ya mediteranean.
Kiongozi wa Houth amethibitisha hilo na kusema ni katika juhudi zao za kupambana na Israel inayoua watoto na akinamama huko Gaza,
Kabla ya leo wanamgambo hao wamewahi kurusha makombora kuelekea kusini ya Israel kwa lengo hilo hilo.
Hilo lemetokea leo wakati makombora kadhaa yamerushwa kwa mara nyengine katikati ya Israel kutoka Gaza na ambako mapigano makali yameripotiwa huko kaskazini ya eneo la Gaza.
Chanzo ni mtandao wa Aljazeera.
Habari zaidi tutawaletea baadae.
SI ULISEMA IDF MASHOGA HAWAWEZI KUINGIA GAZA
 
Mjapani huyo anapeleka silaha Israel, afu kuna watu wanasema wawachiwe. Hao ni kupiga risasi kabisa
Kwaiyo Mjapani sikuhizi anatengeneza Magari aina hizo kwenye hiyo Ship? hadi Humvee.

Nyie Waislam acheni ujinga hadi France anasema yupo tayari kuchukua wagonjwa wote awatibie Ufaransa nyie kazi yenu kupiga kelele kwenye Keyboard
 
Muda mfupi uliopita kiongozi wa wanamgambo wa Houth wa nchini Yemen wameteka meli yenye bendera ya Israel kusini mwa bahari nyekundu iliyokuwa ikielekea bahari ya mediteranean.
Kiongozi wa Houth amethibitisha hilo na kusema ni katika juhudi zao za kupambana na Israel inayoua watoto na akinamama huko Gaza,
Kabla ya leo wanamgambo hao wamewahi kurusha makombora kuelekea kusini ya Israel kwa lengo hilo hilo.
Hilo lemetokea leo wakati makombora kadhaa yamerushwa kwa mara nyengine katikati ya Israel kutoka Gaza na ambako mapigano makali yameripotiwa huko kaskazini ya eneo la Gaza.
Chanzo ni mtandao wa Aljazeera.
Habari zaidi tutawaletea baadae.
wanachokitafuta Houthi watakipata, wenzao Hezbullah jana usiku mzima wameanza kuonja joto la jiwe.
 
Sawa.
Israel imesikika ikiilalamikia Iran kuwa ndio waliohusika juu ya kwamba tangazo limetoka kwa makamanda wa Yemen
Israel inasema hiyo meli si mali yao peke yao.Inaimiliki na washirika wenzako.
Kitanuka soon
 
Hao jamaa wanahangaika kweli lakini Israel ni kama imewaweka kiporo hivi...

Kama wanataka vita hao jamaa wacross tu border wajisogeze ndani ya ardhi ya Israel...

Kuendelea kupiga kelele wakiwa kwenye ardhi ya Yemen ni sawa na mbwa muoga anayebweka ndani ya fensi...

Wanajua kabisa Israel hawezi peleka operesheni yeyote ya kijeshi ndani ya Yemen
 
Back
Top Bottom