mangichogo
JF-Expert Member
- Oct 30, 2023
- 837
- 1,482
Nakubaliana na wewe kama imefikia atua ya watu kufurahia kuona watu wengine wakizuiliwa kupata chakula, maji na madawa. Basi ujue binadamu tumefikia atua mbaya sanaDini imeathiri pakubwa uwezo wa asili wa binadamu kufikiri.
Kitakuwa kimewezeshwa sana na IranInavyoonekana hiki kikundi cha wahouth kina nguvu kuliko hata Hezbollah
Hao Yemen wanajitia vidole wanacheka wenyewe,hawana impact yoyote kwenye hii vita ni kutaka atention tu km na wao wapo.Dini imeathiri pakubwa uwezo wa asili wa binadamu kufikiri.
Sawa sawa hahahah kulialia hamchelewi. Motroo ukiwashwa mnaanza kuitafuta huruma ya duniaIsrael huna ubavu kwa Yemen siwalisha kumutwa wote yeye na America walikuwa wakimsaidia Saud Arabia
Unatumia kipimo gani kufika hitimisho hili?Mimi ninamuona anayewaza kama wewe kuwa ni mtu mjinga.kwa sababu magaidi wote wametengenezwa na Marekani na ushahidi umo hata osama alikuwa kijana wa CIA.mimi ni mkristo lakini najua hakuna watu wapenda amani na wachamungu kama waislamu.
Hao ni magaidi tu kama alshababuMeli ya Israel imetekwa na Wapiganaji wa Houthi ikiwa na ma baharia wa Kijapani, hii imefuatia tangazo la hivi majuzi kuionya Israel kua meli zake zote zitalipuliwa zikikatisha Yemen [emoji779] [emoji1267][emoji1134]Israeli Ship Seizure Update
Israeli media confirmed that Houthis attacked a ship that is partially owned by an Israeli company and now have control of it.
The source claimed that there were no Israelis on the ship - only Japanese.
RiseGSView attachment 2818835
Ulitaka Israel wasemeje?Hii meli ilikua imekodiwa na Japan ila inamilikiwa na kampuni ya Uingereza, imesheheni raia wa Ufilipino na mataifa mengine ila hakukua na Muisraeli, dunia ikiendelea kuwachekea hawa watu italia, nafikiri wanaofanya maandamano wanapaswa kuanza kuona matukio kama haya.
==========================
The Israel Defense Forces says the hijacking of a shipping vessel in the Red Sea by the Iran-backed Houthis in Yemen is a “very serious incident on the global scale.”
It says the ship was sailing from Turkey to India with an international civilian crew, without any Israelis aboard.
“This is not an Israeli ship,” the IDF adds.
The military directly blames the Houthis for the hijacking.
There are no Israelis among the crew aboard the Galaxy Leader ship. Arabic-language media outlets say there are 52 crew members aboard the vessel.
The Bahaman-flagged vessel is registered under a British company, which is partially owned by Israeli tycoon Abraham Ungar, who goes by Rami. The vessel was leased out to a Japanese company at the time of the hijacking.
The Iran-backed Houthis have vowed to target Israeli-linked vessels in the Red Sea.
Nani atainunua?Hii meli waniuzie hela zikawasaidie huko gaza.
first na second World war, Kimbari ya Rwanda, Mauaji ya Latin America, kusafisha red Indians kule US kote huko washiriki ni wenzakoUkishakuwa muislam ugaidi unakuwa rohoni mwako
Usidanganyike hakuna mabikira
Kabsa,mm pia nlikua mtu wa dini sana lakin nlikuja kugundua too much is harmful,cjui nielezeeje lakin usipo makinika inaweza kudestroy... humanity kwasabab sio wote wanaongoza hizo dini sio wa MunguDini imeathiri pakubwa uwezo wa asili wa binadamu kufikiri.
nadhani wewe ndio mpumbavu kwa kudhania watu ndio wanavyowaza.. fanya kwenza kutafuta maoni ndio uje na results yako bwege we.. Uislam na waislam wanasema waziwazi misikitini na vyombo vya habari kuwa lazima wawasaidie waislam wenzao wa Palestina na sio wa Sudan au huo china ndio jambo la kushangazaKuna wapumbavu humu wanafikiri kola anaye mchukia Israel ni mwisilamu,huo ni ujinga na upotofu wa fikra,mie ni mkristo mkatoliki,lkn naichukia sana Israel juu ya yale inayoyafanya Israel kwa mda mrefu.ni uonevu,unyanyasaji na ukandamizaji mkubwa.wayahudi ni zaidi ya makabulu wa afrika kusini.yeyote yule mpenda haki bira kujali dini yake,anamchukia Israel.
Pole sanaHii meli ilikua imekodiwa na Japan ila inamilikiwa na kampuni ya Uingereza, imesheheni raia wa Ufilipino na mataifa mengine ila hakukua na Muisraeli, dunia ikiendelea kuwachekea hawa watu italia, nafikiri wanaofanya maandamano wanapaswa kuanza kuona matukio kama haya.
==========================
The Israel Defense Forces says the hijacking of a shipping vessel in the Red Sea by the Iran-backed Houthis in Yemen is a “very serious incident on the global scale.”
It says the ship was sailing from Turkey to India with an international civilian crew, without any Israelis aboard.
“This is not an Israeli ship,” the IDF adds.
The military directly blames the Houthis for the hijacking.
There are no Israelis among the crew aboard the Galaxy Leader ship. Arabic-language media outlets say there are 52 crew members aboard the vessel.
The Bahaman-flagged vessel is registered under a British company, which is partially owned by Israeli tycoon Abraham Ungar, who goes by Rami. The vessel was leased out to a Japanese company at the time of the hijacking.
The Iran-backed Houthis have vowed to target Israeli-linked vessels in the Red Sea.
Sawa muisrali wa kwa mpalange tumekusikiaHalafu msije kuanza kulia lia hapa IDF wanaua watoto na wazee.
Pole sanaWewe umevimbiwa ubwabwa baada ya madrassa au nini? Uturuki kwenda India kunahusisha Israel wapi, mumechanganyikiwa kwa kweli....
Na mtakufa sana.