Meli ya Israel yatekwa Yemen
Meli ya Israel imetekwa na Wapiganaji wa Houthi ikiwa na ma baharia wa Kijapani, hii imefuatia tangazo la hivi majuzi kuionya Israel kua meli zake zote zitalipuliwa zikikatisha Yemen [emoji779] [emoji1267][emoji1134]Israeli Ship Seizure Update

Israeli media confirmed that Houthis attacked a ship that is partially owned by an Israeli company and now have control of it.

The source claimed that there were no Israelis on the ship - only Japanese.

RiseGSView attachment 2818835
sasa muuwe na hao baharia wa kijapani ili kunogee
 
Ila "merekani" shenzi sana wajapan walikua ngangari wabishi kinoma ukisikia banzai charge watu wanakuja kama mazombie leo hii japan mchele si mchele tende si tende
 
Muda mfupi uliopita kiongozi wa wanamgambo wa Houth wa nchini Yemen wameteka meli yenye bendera ya Israel kusini mwa bahari nyekundu iliyokuwa ikielekea bahari ya mediteranean.

Kiongozi wa Houth amethibitisha hilo na kusema ni katika juhudi zao za kupambana na Israel inayoua watoto na akinamama huko Gaza.

Kabla ya leo wanamgambo hao wamewahi kurusha makombora kuelekea kusini ya Israel kwa lengo hilo hilo.

Hilo lemetokea leo wakati makombora kadhaa yamerushwa kwa mara nyengine katikati ya Israel kutoka Gaza na ambako mapigano makali yameripotiwa huko kaskazini ya eneo la Gaza.

Chanzo ni mtandao wa Aljazeera.

Habari zaidi tutawaletea baadae.
 
[emoji298]️[emoji839] Tel Aviv is investigating the #Yemen-i seizure of an (Israeli) cargo ship in the Red Sea.

[emoji298]️ A leader in the Ansar Allah group, the #Yemeni Armed Forces: Our forces took an #Israeli ship to the shores of #Yemen

[emoji298]️#Israeli journalist, Doron Kadosh: More details about the hijacked ship: The #Israeli relationship with the ship is somewhat indirect, as it was chartered from a British company to a Japanese company, and the British company is partly owned by #Israeli businessman Rami Unger; According to him.View attachment 2818840
Ni suala la muda USA atasogeza merivita pale red sea na anayetafutwa ni Iran, Kwa sababu ameshatangaza kuiangamiza Israel na USA, Sasa hawawezi kumsubiri mpaka awe na nuclear.
 
Yemen naona ana ng'ang'ania haswa kupigana na Israel i want problem... wacha tuone wanaoshangilia kule press tv yaani wana furaha haswa.. let wait tutafute popcorn zetu tusubiri movie... Ujanja wa Magaidi kwa sasa ni kukamata raia wa nje... maana hamna Myahudi hata mmoja kwenye hiyo cargo ship
 
Sawa.
Israel imesikika ikiilalamikia Iran kuwa ndio waliohusika juu ya kwamba tangazo limetoka kwa makamanda wa Yemen
Israel inasema hiyo meli si mali yao peke yao.Inaimiliki na washirika wenzako.
Yemen bwana wake ni Iran ila Iran atapatikana tu lets wait
 
Back
Top Bottom