Mkiliwa vichwa mnaanza kujilizaWanaukumbi.
Ansar Allah ya Yemen AILIPUA meli ya mafuta ya Ugiriki katika Bahari Nyekundu kwa kukiuka marufuku ya kusafiri kwenda bandari za Israel.
Yemen wamesema wazii kabisa hawataki kuona Meli yeyote ikipita red sea kupeleka bidhaa zozote Israel kwa wauaji wa Watoto wa Gazza.
View: https://x.com/jacksonhinklle/status/1827129076798067032?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Libya walikuwa na maendeleo gani ambayo leo hawana, mbona wako vizuri tu na tena sasa hivi ndio wako huru.Sasa baada ya kumfyeka libya imepiga hatua ipi kimaendeleo kama gadafi ndiye alikuwa tatizo?!
Sawa sawa upo sahihi kabisaLibya walikuwa na maendeleo gani ambayo leo hawana, mbona wako vizuri tu na tena sasa hivi ndio wako huru.
Gaddafi alitumia rasilimali za Libya kulea ugaidi na ndio maana wananchi wake wakamuua baada ya kumuasi.
Wanaukumbi.
Ansar Allah ya Yemen AILIPUA meli ya mafuta ya Ugiriki katika Bahari Nyekundu kwa kukiuka marufuku ya kusafiri kwenda bandari za Israel.
Yemen wamesema wazii kabisa hawataki kuona Meli yeyote ikipita red sea kupeleka bidhaa zozote Israel kwa wauaji wa Watoto wa Gazza.
View: https://x.com/jacksonhinklle/status/1827129076798067032?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Ulipo mkono wa makafiri dhidi ya waislamu/uislamu utaungana nao. Ipo siku utaelewaLibya walikuwa na maendeleo gani ambayo leo hawana, mbona wako vizuri tu na tena sasa hivi ndio wako huru.
Gaddafi alitumia rasilimali za Libya kulea ugaidi na ndio maana wananchi wake wakamuua baada ya kumuasi.
Huyo Yemeni Houthi muache hivyo hivyo.Huwa ugomvi wanauanza wao,wakianza kuchapwa utasikia ohoo wanaua watoto na wanawake,ila uzuri wa israel huwa akiamua kufanya lake,hasikilizi kelele za mtu,
Wewe alokwambia kwamba hiyo meli imebeba misaada kupeleka Israel ni nani....??? Hapo kwenye bahari nyekundu ni just a way to pass ... Meli inaweza kuwa inaenda sehemu nyingine tu... Ila kwa mawazo mafupi ya watu kama ninyi mnadhani inakwenda Israel...... Nonsense!!!Kwahyo ww unaumia sn hzo meli zinazobeba misaada Kwa Israel hili aendelee kushambulia shule , refugees camp na hospital na Israel vikwazo hvyo vinamuuma sana maana hakuna kinachoingia na vikiingia vinazunguka bara Zima la Africa vikifika Israel bei juu
In order to know more about "The Traffic in the Red Sea" you need more than madrassat class for the cretins.Wewe alokwambia kwamba hiyo meli imebeba misaada kupeleka Israel ni nani....??? Hapo kwenye bahari nyekundu ni just a way to pass ... Meli inaweza kuwa inaenda sehemu nyingine tu... Ila kwa mawazo mafupi ya watu kama ninyi mnadhani inakwenda Israel...... Nonsense!!!
Mchawi sana na mshirikina mkubwa.... Kutwa kucha kuwaroga nduguzo.... Hata kusoma hujui.... Lishirikina likubwa wewe....Mshirikina wewe shoga wewe mtoto wa kiume unaitwa kapumbu kuna nini zaidi ya Upinde.
Kwa hio wewe umewachana na Paulo sio 😄Afrika inabaki shamba la bibi kwa kukumbatia tamaduni za kigeni kwa kudanganywa eti ni dini na wenyewe wanakubali. Waafrika sisi ni misukule kabisa.