Meli ya pili ya Urusi inaungua moto, Admiral Grigorovich (Navy) wanaendelea kuokoa

***** sasa Putin mbona una putout tena. Mambo ya kuremba mashoga mwishowe nawe uwe kama wao.
Khaa kuungua Moto kitu gani mbona karume na kariakoo paliungua.
Putin go fire fire fire (ila Leo tumekamatika)
 
Acha kutatalika kama mabisi Kama hutaki basi kaa kwa kutulia ule mlenda wako
 
Usiamishe magoli.....taarifa huko meli inaungua Kazime moto kenge wahed
 
Kha! Iifike mahali dunia iwaonee huruma Warusi, maana wao hawana hatia, yote hii imesababishwa na Putin....
 
Oyaaaa [emoji23][emoji23]

[emoji91][emoji91][emoji91]the russian Ministry of defense announced that a su-25 and a mig-29 of the ukrainian Air Force Were Shot down in the luhansk region [emoji91][emoji91][emoji91]
Sasa bro si aibu hii wenzie wali clear anga la iraq ndani ya wiki hakuna nzi paa yeye hadi kwenye huu mwezi Ukrain bado anadunda angani?
 
Hizi dharau sasa, fanya kweli Putin! Piga popote pale, iwe hospitali, shuleni, kanisani, msikitini, piga popote ili mradi pawe Ukraine!
 
Haijazibitika
 
Hiyo meli imezushiwa kupigwa Neptune tokA mwanzoni mws Vita. Ni ajabu hili limerudi Tena na pengine Ni ukweli ama Ni uzushi.
Nb. Meli hi inayozushiwa anguko Ni meli ya kisasa na mpya zaidi katika Russian Marina .
Hivyo basi Kama itakua kweli Kama rumours zinavyosema basi Ni pico kubwa RF
 
Ukraine wako vizuri kimbinu za kivita eneo.la maji tayari wameshaonyesha superiority kivita

Wanabomoa meli zile ambazo ndio.uti wa mgongo na pride ya Jeshi.la urusi na warusi

Hizo meli walizobomoa lila mrusi anajizojua.kuwa ndizo baba zao kivita
 
***** sasa Putin mbona una putout tena. Mambo ya kuremba mashoga mwishowe nawe uwe kama wao.
Khaa kuungua Moto kitu gani mbona karume na kariakoo paliungua.
Putin go fire fire fire (ila Leo tumekamatika)
Putin = NATO , sizitaki mbich hiz
 
unajikana tena we lesbian
moderators waanze kusafisha watu km ww , mnaharibu radha ya jf , jf ilikuwa tamu enzi za kila mtu anashusha nondo mpk unahisi umefika sehemu husika , ila watu wa jamii yetu mnaleta utoto wa fb huku jf
 
meli iliyolipuliwa mwanzon ni tofauti na hii
 
Putin sio binadam ndani yake anaongozwa na roho ya ukatili ambao muda sio mrefu utamgeukia. Nataka dunia yote ijuwe Mungu yupo Putin must go by God sake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…