Tetesi: Meli ya Tanzania inashikiliwa na vikosi vya Iran kwa wizi wa mafuta

Tetesi: Meli ya Tanzania inashikiliwa na vikosi vya Iran kwa wizi wa mafuta

Haupo duniani wewe, nenda bandarini kajionee.
Acha uongo serikali yenyewe imepanic hakuna kinachoendelea Majaliwa mwenyewe kakiri maoni ya wananchi yatazingatiwa wakishakubaliana sasa inashangaza mwananchi wewe wa kawaida keyboard warrior unadanganya watu soshomidia😏
 
Acha uongo serikali yenyewe imepanic hakuna kinachoendelea Majaliwa mwenyewe kakiri maoni ya wananchi yatazingatiwa wakishakubaliana sasa inashangaza mwananchi wewe wa kawaida keyboard warrior unadanganya watu soshomidia😏
Unaijuwa serikali ya Tanzania au unaisikia tu?
 
Unaota.

Na hao waarabu wako zitakuwa haziwatoshi kichwani kuendelea na shughuli hapo Bandarini katika mazingira yaliyopo hivi sasa nchini.
mazingira yepi hayo? Mbona shemeji zangu wanachapa kazi hapa Tanzania sasa hivi, una team nzima ya wanasheria na Wataalaam, wapo wanaokaa palepale Hoteli yao waliouziwa zamani ya Kilimanjaro Kempinski?

Serena wamekataa kukaa, wanasema ya kishamba hii. Wameshawavua wapangaji wa Dollar 2,00 kwa mwezi huko Masaki, wao wanawalipa hao wapangaji wakatafute kwengie double. nani anakaa? Watu wanafungasha chao wanaenda kutafuta nyumba kwengine. Waarabu wanafanya kufuru sasa hivi Dar.

Watoto wa mjini wote kimya, wanalamba asali tu.


Unaowassikia kupiga kelele ni hawa wa Mbeya na Kagera huko. Tibaijuka and Company wamumizwa sana kaka yao Karamagi kuukosa ulaji.
 
Acha uongo serikali yenyewe imepanic hakuna kinachoendelea Majaliwa mwenyewe kakiri maoni ya wananchi yatazingatiwa wakishakubaliana sasa inashangaza mwananchi wewe wa kawaida keyboard warrior unadanganya watu soshomidia😏
Serikali hii ya CCM nayoijuwa mimi? Usifanye mchezo bana, serikali amabayo inategemewa Afrika nzima?

kweli upo Tanzania lakini huijuwi Tanzania. Hivi unaishi wapi wewe?
 
DP World watachukwa wao Jet ya mafuta, wanataka wafufue bomba la mafuta la Zambia na waongeze lingine la Gas. kazi iendelee.

Watu tupo Zambia na Congo nyie bado mpo Dar?
Hii hongo uliyopewa kuwatetea wajomba itakua imetuna sana.
 
Habari wana jukwaa?

Inasemekana meli moja inayopeperusha bendera ya Tanzania imekamatwa na vikosi vya wana maji vya Iran ikiwa na shehena ya mafuta ghafi ipatayo tani 900 ambayo ni ya wizi.

---

Iran's Revolutionary Guards seized a tanker holding 900 metric tons of "smuggled fuel" and 12 crew members based on a court order, a report by the semi-official Fars news agency said on July 7.

"A vessel carrying 900 tons of smuggled fuel with 12 crew members was seized by the Revolutionary Guards' Navy patrol vessels in the Persian Gulf with a court order," Fars news reported from Iran's southern port of Bandar Abbas.

No further detail about the ship has been given.

Iran, which has some of the world's cheapest fuel prices due to heavy subsidies and the plunge in the value of its national currency, has been fighting rampant fuel smuggling by land to neighbouring countries and by sea to Gulf Arab states.

British maritime security company Ambrey said on Thursday it was aware of an attempted seizure by Iranian forces of a small Tanzanian flagged tanker, around 59 nautical miles northeast of the Saudi Arabian port city of Dammam.

Tumechelewa sana kua tunawaibia hawa

Ili uendelee lazima uweze kuwanyonya mataifa mengine

Tunatakiwa tuwaibie mafuta mengi kadri iwezekanavo
 
Bendera yetu inachezewa hovyo sijui wizara ya mambo ya nje wana lipi la kutuambia hii michezo haijaanza jana wala juzi kina mijitu inanufaika kupitia Bendera yetu.
 
DP World watachukwa wao Jet ya mafuta, wanataka wafufue bomba la mafuta la Zambia na waongeze lingine la Gas. kazi iendelee.

Watu tupo Zambia na Congo nyie bado mpo Dar?
Teh teh teh 😂😂😂 wewe 'pro-establishment' una propaganda kweli kweli.
 
Unaota.

Na hao waarabu wako zitakuwa haziwatoshi kichwani kuendelea na shughuli hapo Bandarini katika mazingira yaliyopo hivi sasa nchini.
Mazingira gani? Wabongo bana hivi unadhani watu wenye akili zao wataacha kufanya mambo ya msingi kwajili ya wajinga mnaopiga kelele?
 
Usajili wa meli upo hivyo duniani. Panama na Liberia zimesajili meli kibao wakati nchi zenyewe wala hazimiliki hata meli.
Ukishusha gharama ya kusajilia meli, kodi na gharama nyinginezo na ukawa na mazingira mazuri kwa shipping industry mbona wamiliki wa meli wanasajilia kwako kwa wingi.
Samahani hivi Meli ikisajiliwa Tanganyika,tunapata faida gani Kama nchi?
 
Back
Top Bottom